Acha kutuchanganya, hapa alikuwa ni sponsor kwenye hiyo show, kuwa designer ni kuandika lebo ya biashara kwenye T-Shirt. Basi kila aliyefiwa na kufyatua t-shirt ni designer. Duh bongo ma-designer kibaao.
watu huanza mbali, kama michuzi ameanza na clothing line ya fulana, achaneni nae... atakua, kesho atawaonyesha nguo design nyingine na ghafla itakuwa michuzi blog and fashion designs ltd na hata anaweza kuingia ubia na hassanali