ubuntu2012
Member
- Oct 13, 2012
- 25
- 1
Tanzania ipewe ushindi wa kushindwa mara zote
Tumeshangilia hajatokea wa mwisho!1500 METRES Final sasa kuna Mtanzania anakimbia labda tutapata medal
Fingers Crossed
Yaa wazo zuri. au tufanye mashindano wenyewe kama mtihani wa form six halafu kila mwanariadha apate gold au silver. tujiwekee viwango vyetu. kama vile 100 mts ukotumia nusu dkk unapata gold. Aisee tutakuwa na gold asilimia 95. Halafu hizo gold medo tusitumie gold yetu. tukanunue gold China au India.
Tumeshangilia hajatokea wa mwisho!
Mie nilimuona Boxer Sema alionewa ni kweli Huyu wampe maandalizi mazuri na wawe wanampeleka sana Kenya mtizame Mo Farah alikuwa anapelekwa sana Kenya Sema Huyu watasema kafanya vibaya watamvunja moyo wakirudi hapewi mafunzo wala hawatomshughulikia mpaka karibu na mashindano.Unajua nini katika wanariadha wote wa Tanzania niliowaona kwenye mshindano haya huyu ndio kanifurahisha
Huyu alikuwa anashindana, sio hao wengine hata sijui kwanini walikwenda
Huyu alikuwa analeta upinzani kwaanaoshindana nao, WaTZ wengine walikuwa hawako kwenye mbio moja na wanaoshindana nao.
Huyu kwa umri wake akiendelezwa vizuri anaweza kuja kutupa heshima.
Ila kwa maandalizi yetu yalivyo huyu hutakuja kumsikia tena.
Mie nilimuona Boxer Sema alionewa ni kweli Huyu wampe maandalizi mazuri na wawe wanampeleka sana Kenya mtizame Mo Farah alikuwa anapelekwa sana Kenya Sema Huyu watasema kafanya vibaya watamvunja moyo wakirudi hapewi mafunzo wala hawatomshughulikia mpaka karibu na mashindano.
Nadhani busara ni Tanzania ipewe ushindi wa upendeleo.
northern Island mu Irish jamaa alimpiga mu Irish ngumi za uso nyingi ila BBC wanaonyesha reply za Mu Irish tu mtangazaji kajifanya Mtanzania kashinda round ya mwisho tu ah upendeleo upo kwa washindanaji wa Britain Sema 400m vijiti wale Nigeria wamewafanyia kusudi England kuwawekea mikono kijanja.Huyo bondia ilikuwaje? alikuwa anapigana na mtu wa wapi?
Last time/mwaka gani umemuona Mtanzania anashindana kwenye Diamonds League?
Kipindi niko mitaa ya akina Cipha, wabongo walikuwepo wanashiriki kwenye Diamond League
Angalia leo Metres 5000 kwa Wanawake hakuna hata mbongo mmoja, ila kuna mshiriki wa Papua New Guinea ambaye alizungukwa mara mbili na wenzake
Halafu wapelekwe bungeni kupongezwa.wakirudi tukawapokee ....
northern Island mu Irish jamaa alimpiga mu Irish ngumi za uso nyingi ila BBC wanaonyesha reply za Mu Irish tu mtangazaji kajifanya Mtanzania kashinda round ya mwisho tu ah upendeleo upo kwa washindanaji wa Britain Sema 400m vijiti wale Nigeria wamewafanyia kusudi England kuwawekea mikono kijanja.
Kwanini hawa jamaa wa Olympic wasibadilishe viwango vya ushindaji kama walivyofanya kwenye Elimu hapa TZ! Kuwepo na medali hata za Aluminium!