T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,174
- 28,322
HahahaTumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Mno Ndugu Zangu
Kwema lakini mkuu
HahahaTumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Mno Ndugu Zangu
Mi ugonjwa wangu shingo yenye wimbi (kama ile ya aliewahi kuwa wa afya) kwa kweli napenda sanaMwanaume uliyekamilika ukipishana na mwanamke wa hivi, lazima shingo yako igeuke.
Hasa ukute ndo kavalia kanga moja, ndo katoka kuoga mnapishana koridoni
Au umkute kavalia suti yenye sketi fupi anaokota faili lililodondoka ofsini
Au kajilaza TU kwa uchovu kifudi fudi kitandani na kanga moja tu kifuani
Au kavalia dera anajaribu kukatiza mfereji wenye maji mengi akivuta vuta dera lake juu ya magoti lisiloe na maji
Ila kinachonisikitisha zaidi kwa Sasa,
utakuta wanawake wanahangaika Kwenye saluni na mahospitalini kuondoa hii michirizi
KWAKWELI MUNGU NI FUNDI SANA
View attachment 1985658View attachment 1985659View attachment 1985660View attachment 1985661
Unajimaliza kisaikolojia blazaMimi Huwa tamaa ikiniwaka navuta picture ya kopo la ARV, basi mkunyenge unasinyaa wenyewe
Hiyo kitu sipendi kwa kweli..nashangaa mnapendaje, kitu natural and soft skin.Exactly
Weee haiwezekani naomba nije nione nihakikisheIla wanaume mnatuchanganya jamani 😂😂😂 mana mnavyovipenda kila siku mnaibua vipya ...Kama ndo ivyo basi Shemeji yenu amebahatika
Yani nmecheka mpaka kwenye daladala wananishangaa Dk 5 sasa nacheka tuTumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Mno Ndugu Zangu
Weeeh unataka balaa ndugu yangu, mimi mali ya mtu shauriyoWeee haiwezekani naomba nije nione nihakikishe
Usiogope nitapambana nae..... yangu ni kuona tu bila yy kujuaWeeeh unataka balaa ndugu yangu, mimi mali ya mtu shauriyo
Hata kama hupendi michirizi utakutana nayo hata kwenye mandaziHiyo kitu sipendi kwa kweli..nashangaa mnapendaje, kitu natural and soft skin.
Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
Punguza uchoyo kwa vijana.Weeeh unataka balaa ndugu yangu, mimi mali ya mtu shauriyo
Nawaangalia Halafu Nasema Hii BhaghoshaaHivi ndio vitu vitamu.
Hii "BAGOSHAAAA"
#YNWA
Mistari ya dhambi...
Eeeh hatuna, na siyapendi. Tena Bora tu sinaWembamba hawana kumbe!?