Samcezar JF-Expert Member May 18, 2014 13,096 22,627 Oct 26, 2021 #61 Mimi nikiona hiyo kitu sitasimamisha na ndio mwisho wangu na huyo mwanamke.
K kakamina JF-Expert Member May 23, 2021 453 533 Oct 26, 2021 #62 Wanaume wengine Mafura Sana yaani dah Mnataka wadada waanze tena kuharibu ngozi zao Kwa sababu eti wanaume wengi wanapenda ngozi kupasuka Kwa sababu ya Mafuta kizidi chini ya ngozi Hii hatari Sana Kwa afya
Wanaume wengine Mafura Sana yaani dah Mnataka wadada waanze tena kuharibu ngozi zao Kwa sababu eti wanaume wengi wanapenda ngozi kupasuka Kwa sababu ya Mafuta kizidi chini ya ngozi Hii hatari Sana Kwa afya
ngome1838 JF-Expert Member Feb 20, 2019 2,029 2,471 Oct 26, 2021 #63 DeepPond said: Kule mikoa ya Kanda ya ziwa, Wao wanasema Hiyo Ni dalili ya mwanamke mwenye maji mengi Click to expand... Hawajui kitu, watulie tuendelee kujilia vyetu
DeepPond said: Kule mikoa ya Kanda ya ziwa, Wao wanasema Hiyo Ni dalili ya mwanamke mwenye maji mengi Click to expand... Hawajui kitu, watulie tuendelee kujilia vyetu
DeepPond JF-Expert Member Nov 18, 2017 40,458 99,095 Oct 26, 2021 Thread starter #64 ngome1838 said: Hawajui kitu, watulie tuendelee kujilia vyetu Click to expand...
uujn JF-Expert Member Mar 24, 2019 666 849 Oct 26, 2021 #65 Depal said: Vitovu vya kuingia ndani Click to expand... Wenye vitovu kama honi tujiandae
Elvis Legacy JF-Expert Member Aug 10, 2017 3,386 4,715 Nov 2, 2021 #67 Nahisi nimepigwa na kitu kizito kichwani.