mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
nakumbuka mimi nilikua napenda sana kucheza kombolela na kwenda kujificha kwenye mikahawa na mchuchu kombolela zamu yangu ikifika nilikua nahonga natoa shs 100 mwenzangu ananisurfia kisha kama kawa kwenye mikahawa na ladies mwingne nilijikuta namaliza mzunguko wote wa ladies waliokuwepo ilikuwa nomaaaa.........but ni enzi hizo not now kuna ngoma take care utapoteaaaaa