Michezo Mingine Sio.....

Aya ita mvua mpaka inyeshe nisikie kidume anakoroma namtenganisha kichwa na kiwiliwili
 
View attachment 49498

Ndio unakuta mtoto wako ni mmoja wa hao waliopigishwa magoti...unafanyaje?

Aisee! Hii picha inanikumbusha enzi zileeeeeeee! Tulikuwa tunaishi Ilala Flats(miaka ya 70), kulikuwa na makundi kati yetu na watoto wa Ilala Mchikichini! Ilikuwa ubabe ubabe tu! Siku hizi mnaita Bifu kwa kwenda mbele!
 
hapo ujue kuwa baadae huyo dogo atakuja kuwa mwanasiasa na baadae kuwa Waziri katika Serikali yetu.
 
Duh! sijui hapa ni wapi ktk Afrika? Inaonesha ni nini kinachoendelea kunako jamii husika. Watoto kila cku wanaangalia picha za kutisha, kinachofuata ni kujaribu kuigiza. Noma sana.
 
Duh! sijui hapa ni wapi ktk Afrika? Inaonesha ni nini kinachoendelea kunako jamii husika. Watoto kila cku wanaangalia picha za kutisha, kinachofuata ni kujaribu kuigiza. Noma sana.

Kweli mkuu haya yatakua mambo ya vibanda umiza
 
Jamani hapo ni wapi? Naogopa kuamini kwamba haya yalitokea Tanzania!!!

Tiba
 
Wewe uite mchezo, lakini unaweza ukawa haukua mchezo wala masihakra. Watoto kama hawa walitumiwa na waasi kufanya ukatili mbaya kuliko maelezo kule Siera Leon.
 
Ndio unakuta mtoto wako ni mmoja wa hao waliopigishwa magoti...unafanyaje?
Unamshukuru Mungu wako kwa kukupa hekima ya kulea mtoto wako vizuri, kwa kiasi fulani unagundua kuwa hauhusiki kuzalisha MAJAMBAZI.
 
Huu sio mchezo wa watoto watakua wameona watu wazima
...Ni michezo tu hakuna kingine hapo. Huoni huyo wa pili kutoka kulia ancheka.ingekuwa dogo kawapiga mkwara wa kweli hakuna ambaye angecheka....!! But it has message though!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…