Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
- Thread starter
- #17,101
Wadau waitwa Mapinduzi Stars
Imeandikwa na Joachim Nyambo, Mbeya; Tarehe: 22nd April 2011 @ 23:20 Imesomwa na watu: 41; Jumla ya maoni: 0
Habari Zaidi: Kocha Rwanda aipa mtihani Simba
Wasanii watamba kupagawisha kesho
Wadau waitwa Mapinduzi Stars
Kindai Shooting Stars yataja kikosi
‘Jitokezeni tamasha la Marian'
Samatta azivuruga Lyon, TFF
Mwanamichezo Bora Taswa kuzawadiwa gari
Zanzibar Heroes mambo yazidi kueleweka
Maugo bado amtamani Kaseba
Mambo bado magumu Simba
Safari ya Stars Msumbiji yaiva
Gofu Province Open kuanza Mei 7
Mgosi aivuruga Simba
Wanaotaka kushiriki Miss Mbeya Vijijini wapewa somo
Kombe la CCM kuanza kesho
Tamasha la Mzalendo Halisi Juni Dar es Salaam
TFF yafuta uchaguzi Villa Squad
Mapacha, Profesa Jay kukamua pamoja
Tamasha la Pasaka mambo safi
Uwanja Simba kugharimu sh. Bil.75
Habari zinazosomwa zaidi: Balaa lingine kwa Chenge
Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
‘Housigeli' anataka kuniharibia ndoa
Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
Vatican yamvua jimbo Askofu
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
KAMATI ya Maandalizi ya timu ya Mkoa wa Mbeya ‘Mapinduzi Stars' imewataka wadau kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Magereza jijini hapa lengo likiwa ni kuwapa morali wachezaji kujiandaa vyema na michuano ya Kombe la Taifa.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Emanuel Kavenga alitoa hamasa hiyo alipozungumza na HABARILEO na kwamba awali ilikuwa Mapinduzi Stars iwe inafanya mazoezi Uwanja wa Sokoine, lakini imeshindikana kutokana na uwanja huo sasa kutumika na vijana wa halaiki wanaojiandaa kwa shughuli ya uwashaji wa Mwenge wa Uhuru Mei mwaka huu.
Kavenga alisema kutokana na hali hiyo kamati imelazimika kuomba Uwanja wa Magereza ili utumike kwa maandalizi ya timu hiyo.
Alisema kamati pia iko katika mchakato wa kuandaa michezo kadhaa ya kuipima nguvu Mapinduzi Stars ili kubaini upungufu uliopo na kuyafanyia kazi mapema ili mpaka michuano inaanza kikosi hicho kiwe kimesheheni kila idara.
Alisema lengo la kamati yake chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Mbeya (MREFA) ni kuhakikisha kikosi hicho kinachonolewa na Juma Mwambusi kinaitumia vyema nafasi ya kuwa mwenyeji wa kituo kwa kusakata soka safi na kuibuka bingwa.
Imeandikwa na Joachim Nyambo, Mbeya; Tarehe: 22nd April 2011 @ 23:20 Imesomwa na watu: 41; Jumla ya maoni: 0
Habari Zaidi: Kocha Rwanda aipa mtihani Simba
Wasanii watamba kupagawisha kesho
Wadau waitwa Mapinduzi Stars
Kindai Shooting Stars yataja kikosi
‘Jitokezeni tamasha la Marian'
Samatta azivuruga Lyon, TFF
Mwanamichezo Bora Taswa kuzawadiwa gari
Zanzibar Heroes mambo yazidi kueleweka
Maugo bado amtamani Kaseba
Mambo bado magumu Simba
Safari ya Stars Msumbiji yaiva
Gofu Province Open kuanza Mei 7
Mgosi aivuruga Simba
Wanaotaka kushiriki Miss Mbeya Vijijini wapewa somo
Kombe la CCM kuanza kesho
Tamasha la Mzalendo Halisi Juni Dar es Salaam
TFF yafuta uchaguzi Villa Squad
Mapacha, Profesa Jay kukamua pamoja
Tamasha la Pasaka mambo safi
Uwanja Simba kugharimu sh. Bil.75
Habari zinazosomwa zaidi: Balaa lingine kwa Chenge
Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
‘Housigeli' anataka kuniharibia ndoa
Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
Vatican yamvua jimbo Askofu
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
KAMATI ya Maandalizi ya timu ya Mkoa wa Mbeya ‘Mapinduzi Stars' imewataka wadau kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Magereza jijini hapa lengo likiwa ni kuwapa morali wachezaji kujiandaa vyema na michuano ya Kombe la Taifa.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Emanuel Kavenga alitoa hamasa hiyo alipozungumza na HABARILEO na kwamba awali ilikuwa Mapinduzi Stars iwe inafanya mazoezi Uwanja wa Sokoine, lakini imeshindikana kutokana na uwanja huo sasa kutumika na vijana wa halaiki wanaojiandaa kwa shughuli ya uwashaji wa Mwenge wa Uhuru Mei mwaka huu.
Kavenga alisema kutokana na hali hiyo kamati imelazimika kuomba Uwanja wa Magereza ili utumike kwa maandalizi ya timu hiyo.
Alisema kamati pia iko katika mchakato wa kuandaa michezo kadhaa ya kuipima nguvu Mapinduzi Stars ili kubaini upungufu uliopo na kuyafanyia kazi mapema ili mpaka michuano inaanza kikosi hicho kiwe kimesheheni kila idara.
Alisema lengo la kamati yake chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Mbeya (MREFA) ni kuhakikisha kikosi hicho kinachonolewa na Juma Mwambusi kinaitumia vyema nafasi ya kuwa mwenyeji wa kituo kwa kusakata soka safi na kuibuka bingwa.
PRINT