Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Roberto Mancini warns Carlos Tevez he must get fit before FA Cup final

• Argentinian having treatment on hamstring injury in Milan
• Jérôme Boateng also faces missing out on FA Cup final



  • Daniel Taylor
  • guardian.co.uk, Thursday 21 April 2011 23.00 BST <li class="history">Article history
    Carlos-Tevez-will-not-be--006.jpg
    Carlos Tevez, who missed the FA Cup semi-final against Manchester United, will not be considered for the final unless he has proved his fitness. Photograph: John Peters/Man Utd via Getty Images

    Roberto Mancini has warned Carlos Tevez he will be automatically ruled out of the FA Cup final unless the Argentinian can prove his fitness before the game at Wembley.
    Tevez is in Milan, having decided he would rather have treatment for his hamstring injury with the Argentina national team's doctor rather than City's medical staff. City's manager said he did not have an issue with that decision but he has informed his captain he will not be considered for the final against Stoke City on 14 May if he has not been fit enough to play in the home Premier League match against Tottenham Hotspur four days earlier.
    The same applies to Jérôme Boateng, who is recuperating from a knee operation, although Tevez is the greater issue because of his status as the club's leading scorer and most important player.
    "Tevez has decided he wants to be with the Argentinian physio for treatment," Mancini said. "I think he has confidence in his own physio. His injury is not easy to deal with and he always works with this physio so it is not unusual for this to happen. He is doing well and I hope we can have him available for the final but Carlos and Jérôme will both have to play one game before the final."
    Asked whether the alternative would mean Tevez was excluded from his plans for Wembley, Mancini replied: "Yes." The Italian's thinking is based in part on what he learned during the semi-final against Manchester United, namely that the Wembley pitch can be particularly sapping.
    Mancini was asked whether it could be Tevez's last few weeks as a City player, a question stemming from the sense that the player and his adviser, Kia Joorabchian, may try to resurrect a move from Manchester in the summer. City's manager sidestepped the issue, saying only: "I hope he can recover for the last three games [of the season]. That is important for him and important for us."
    There were no signs of concern from Mancini about a perceived lack of commitment to be drawn from Tevez's absence from Wembley for the semi-final. "I would have liked him at Wembley. I would have liked him on the pitch especially, but at this moment he has a bad injury and it is important for him to recover. He is there for treatment, morning and afternoon, with the physio. He will be [in Milan] seven to 10 days and then come back. We have another four weeks so I hope we can recover Carlos for the final. His progress has been good."
    Micah Richards, who also has a hamstring injury, will not be involved when City play at Blackburn Rovers on Monday.
 
Niece work for Cheyenne is good news for Tiger Woods' family values

Cheyenne Woods is stepping out of the shadow of her famous but flawed uncle and making a name for herself on the college golf circuit



  • cheyenne-woods-007.jpg
    Cheyenne Woods teased her uncle Tiger about his recent lack of success after she won a college event. Photograph: Michael Cohen/Getty Images

    The joke has worn thin after repeated airings in media outlets across the United States but it makes a powerful point about the most famously fallen athlete of the modern era. At last, it begins, the Woods family of golfers has found a winner.
    The punchline is that the winner in question is not Tiger Woods, whose last victory came 18 months ago, but his 20-year-old niece Cheyenne, who last week &#8211; in a style not dissimilar to her famously dominant uncle in his heyday &#8211; beat the field at the Atlantic Coast Conference (ACC) women's championship by seven shots.
    Everyone is piling on poor old Tiger, even Cheyenne, who was asked in one of her television appearances this week if she might consider giving her uncle some advice on how to win a tournament. "Maybe I should," she replied without missing a beat.
    Down the years some of Woods's rivals have paid a humiliating price on the course for such light-hearted banter. Familial bonds, however, come with advantages, not least the right to tease the most famously un-teasable man in sport. Immediately after Cheyenne's victory last Sunday Woods posted a rare entry on his Twitter feed declaring his pride in her victory. The pair have been in touch over the past few days.
    "When I was texting him I told him I had won an ACC championship, which he did, and that I was about to get my degree, which he didn't [Woods attended Stanford University but left before graduating]," Cheyenne said on Thursday's's edition of the breakfast television show Good Morning America. "But then he came back to me and said he had won four Masters, so he trumps me."
    Cheyenne is the daughter of Earl Woods Jr, one of Earl Woods's three children from his first marriage. Tiger had some contact with his half-brother growing up but the pair have been estranged for years &#8211; a broken relationship that is unlikely to be repaired after Earl Jr's contributions to the public debate following his half-brother's personal scandal. "He'll never have the same relationship with his kids. That distance will tear him up," he said, adding that their father would have been "disappointed" with Tiger's behaviour.
    In a CNN documentary at the end of last year Earl revealed he and Tiger had not been in touch since Earl Woods Sr's funeral in 2006. "I have no grudge against him. I'm disappointed. I'm a little angry. But, if he chooses to contact and to be in contact, we would love that. You know, we have unconditional love for him, whether he contacts us or not."
    All this is messy family business, all the more so for being played out in public. But throughout it all Tiger Woods has taken an interest in his niece's progress, occasionally dropping her name in conversations about up-and-coming young golfers.
    Cheyenne, for her part, has taken inspiration from her uncle's achievements. How could she not? "I first started playing golf around the time Tiger had turned pro and had won the Masters and all of that. Seeing him on TV really made me want to keep going and to keep trying to be like him."
    The ambition is admirable. Tiger Woods has the kind of talent that comes along once in a generation. Cheyenne Woods is a fine golfer but not in the same class. She won 30 tournaments as a junior and has progressed nicely in her college career at Wake Forest, where she has established herself as the best player on a traditionally strong women's team. Hers has been an impressive ascent through the ranks of the college game, all the more so because she has done it while coming under far greater scrutiny than her peers. A certain pressure comes with being Tiger Woods's niece. "I have dealt with it since I was 10 years old, so I guess I have just got used to it," she says. "I just go out on the course and play my game and not worry about the expectations other people have and what they are saying about me."
    Dianne Daley, the Wake Forest women's coach, has described her as one of the "most coachable kids I have ever had. She picks things up very quickly so that, if you are teaching her something, you only have to tell her once or twice and then she gets it and goes with it." She added that Ms Woods also had a certain charisma. "If she were not Tiger Woods's niece, she would still have a specialness about her. She has a knack for being a role model."
    That may be so but how far can Cheyenne Woods go? She has already played in one LPGA Tour event, in 2009, when she missed the cut by four shots at the Wegmans LPGA tournament in New York. The good news was the standard of her play exceeded expectations, not least her own. Better still she has improved over the past two years and has been encouraged to pursue a career in the professional game, with all the uncertainties that entails.
    Still, there are some things she can rely on, not least that she will attract a lot of media attention in the early stages of her career. She is also likely to attract a fair amount of sponsorship, being a very presentable and a very personable young woman. Indeed, there is no doubt she could give her infamously curt uncle lessons on how to comport himself in front of a microphone. As for matching his achievements on the course?
    "Who wouldn't want to have the success of Tiger Woods but I can't compare myself to him because he is a very elite athlete," she says. "There is only one Tiger Woods."

 
Niece work for Cheyenne is good news for Tiger Woods' family values

Cheyenne Woods is stepping out of the shadow of her famous but flawed uncle and making a name for herself on the college golf circuit



  • cheyenne-woods-007.jpg
    Cheyenne Woods teased her uncle Tiger about his recent lack of success after she won a college event. Photograph: Michael Cohen/Getty Images

    The joke has worn thin after repeated airings in media outlets across the United States but it makes a powerful point about the most famously fallen athlete of the modern era. At last, it begins, the Woods family of golfers has found a winner.
    The punchline is that the winner in question is not Tiger Woods, whose last victory came 18 months ago, but his 20-year-old niece Cheyenne, who last week – in a style not dissimilar to her famously dominant uncle in his heyday – beat the field at the Atlantic Coast Conference (ACC) women's championship by seven shots.
    Everyone is piling on poor old Tiger, even Cheyenne, who was asked in one of her television appearances this week if she might consider giving her uncle some advice on how to win a tournament. "Maybe I should," she replied without missing a beat.
    Down the years some of Woods's rivals have paid a humiliating price on the course for such light-hearted banter. Familial bonds, however, come with advantages, not least the right to tease the most famously un-teasable man in sport. Immediately after Cheyenne's victory last Sunday Woods posted a rare entry on his Twitter feed declaring his pride in her victory. The pair have been in touch over the past few days.
    "When I was texting him I told him I had won an ACC championship, which he did, and that I was about to get my degree, which he didn't [Woods attended Stanford University but left before graduating]," Cheyenne said on Thursday's's edition of the breakfast television show Good Morning America. "But then he came back to me and said he had won four Masters, so he trumps me."
    Cheyenne is the daughter of Earl Woods Jr, one of Earl Woods's three children from his first marriage. Tiger had some contact with his half-brother growing up but the pair have been estranged for years – a broken relationship that is unlikely to be repaired after Earl Jr's contributions to the public debate following his half-brother's personal scandal. "He'll never have the same relationship with his kids. That distance will tear him up," he said, adding that their father would have been "disappointed" with Tiger's behaviour.
    In a CNN documentary at the end of last year Earl revealed he and Tiger had not been in touch since Earl Woods Sr's funeral in 2006. "I have no grudge against him. I'm disappointed. I'm a little angry. But, if he chooses to contact and to be in contact, we would love that. You know, we have unconditional love for him, whether he contacts us or not."
    All this is messy family business, all the more so for being played out in public. But throughout it all Tiger Woods has taken an interest in his niece's progress, occasionally dropping her name in conversations about up-and-coming young golfers.
    Cheyenne, for her part, has taken inspiration from her uncle's achievements. How could she not? "I first started playing golf around the time Tiger had turned pro and had won the Masters and all of that. Seeing him on TV really made me want to keep going and to keep trying to be like him."
    The ambition is admirable. Tiger Woods has the kind of talent that comes along once in a generation. Cheyenne Woods is a fine golfer but not in the same class. She won 30 tournaments as a junior and has progressed nicely in her college career at Wake Forest, where she has established herself as the best player on a traditionally strong women's team. Hers has been an impressive ascent through the ranks of the college game, all the more so because she has done it while coming under far greater scrutiny than her peers. A certain pressure comes with being Tiger Woods's niece. "I have dealt with it since I was 10 years old, so I guess I have just got used to it," she says. "I just go out on the course and play my game and not worry about the expectations other people have and what they are saying about me."
    Dianne Daley, the Wake Forest women's coach, has described her as one of the "most coachable kids I have ever had. She picks things up very quickly so that, if you are teaching her something, you only have to tell her once or twice and then she gets it and goes with it." She added that Ms Woods also had a certain charisma. "If she were not Tiger Woods's niece, she would still have a specialness about her. She has a knack for being a role model."
    That may be so but how far can Cheyenne Woods go? She has already played in one LPGA Tour event, in 2009, when she missed the cut by four shots at the Wegmans LPGA tournament in New York. The good news was the standard of her play exceeded expectations, not least her own. Better still she has improved over the past two years and has been encouraged to pursue a career in the professional game, with all the uncertainties that entails.
    Still, there are some things she can rely on, not least that she will attract a lot of media attention in the early stages of her career. She is also likely to attract a fair amount of sponsorship, being a very presentable and a very personable young woman. Indeed, there is no doubt she could give her infamously curt uncle lessons on how to comport himself in front of a microphone. As for matching his achievements on the course?
    "Who wouldn't want to have the success of Tiger Woods but I can't compare myself to him because he is a very elite athlete," she says. "There is only one Tiger Woods."

 
Sakata la Samatta usiku wa kiza kinene Send to a friend Friday, 22 April 2011 11:02

34samatta.jpg
Mchezaji wa Simba, Samatta

Sweetbert Lukonge na Vicky Kimaro
SAKATA la mchezaji Mbwana Samata limechukua sura mpya baada ya viongozi wa African Lyon kudai kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linashirikiana na klabu ya Simba kuwahujumu na kuwadhulumu wachezaji wao.

Akizungumza jijini jana Ofisa habari wa African Lyon, Sherally Abdallah alisema kutokana na dhuluma hiyo inayofanywa na TFF katika suala zima la wachezaji wake wawili Samatta na Rashidi Gumbo wanaochezea Simba, uongozi wa timu hiyo unatarajia kukutana na uongozi wa TP Mazembe ili kuwajulisha utata uliopo kabla ya Mazembe kumsajili Mbwana.


"Jambo la kushangaza na ambalo haliingii akilini ni jinsi gani na kivipi wachezaji hao waliamishwa na kujiunga na Simba pasipo utaratibu wowote ule?,"alihoji Sherally Abdallah.

"Kusema kweli tunapenda kuwahakikishia Watanzania kuwa dhuluma dhidi ya timu yetu ndani ya TFF katika suala la Samatta na Gumbo limeanzia mbali na mpaka sasa tunavyozungumza ni kwamba wachezaji hao hakuna ambaye amehamishwa kihalali zaidi ya TFF na Simba kulazimisha kuwahamisha kinyume na taratibu licha ya barua lukuki ambazo tumeliandikia shirikisho hilo pasipo majibu yoyote kwa zaidi ya miezi sita,"aliongeza kusema Sherally Abdallah.

Alisema,"Timu ya Lyon tuliinunua 16 Juni mwaka 2010 ikiwa chini ya Mohamed Dewji na mkataba ulisainiwa na pande zote mbili ambapo orodha ya wachezaji wa Afrika Lyon iliyokabidhiwa na kupelekwa TFF Julai 26 mwaka jana iliwajumuisha wachezaji Samata na Gumbo kitu kinachodhihirisha kuwa wachezaji hao walikuwa ni wa Afrika Lyon."

"Cha kusikitisha Novemba 20 TFF iliandika barua yenye kumbukumbu namba TFF/ADM/VS-10/32 kwenye ubalozi wa Ureno kuomba visa ya Mbwana Samata ambayo ilionyesha ni mchezaji wetu halali kwa kipindi cha msimu wa 2010/2011, je ni lini na kwa taratibu zipi mchezaji huyu amehamishwa kinyemela pasipo makubalino yoyote,?"alisema Sherally Abdallah kwa kuhoji.

Wakati Lyon ikihoji suala hilo, kanuni ya 45 ya uthibitisho wa usajili inasema,Mchezaji yeyote hataruhusiwa kuchezea klabu yoyote katika michezo ya Ligi hadi usajili wake uwe umethibitishwa na TFF. TFF itatoa siku 14 kuwasilisha malalamiko au pingamizi kimaandishi juu ya usajili tangu kutangazwa majina ya wachezaji wanaoombwa kusajiliwa na klabu husika, baada ya hapo uthibitisho utakaotolewa na TFF ndiyo utakuwa wa mwisho. TFF haitapokea rufaa yoyote inayohusu usajili kwa mchezaji ambaye hakuwekewa pingamizi mwanzoni isipokuwa iwapo klabu imefanya udanganyifu wa jina la mchezaji.

Akijibu suala hilo Sherally alisema, "Septemba 3 mwaka jana tuliandika barua TFF yenye kumbukumbu namba ALF/KB/TFF/3-10 kulalamikia wachezaji hao kuwa ni wetu, tulishindwa kuweka pingamizi kwa kuwa Ligi Kuu ilianza bila ya klabu kuwa na kanuni, tukajikuta tunacheza ligi pasipo kujua kanuni za usajili zikoje, tunapenda kutoa tamko kuwa Samata na Gumbo ni wachezaji wetu halali kama hayatofuatwa hayo tuko tayari kupeleka masuala yetu CAF, FIFA na CAS.

Alisema,"Julai 21 mwaka jana tuliongea na aliyekuwa mmiliki wa Lyon, Mohamed Dewji kuhusu malalamiko yetu, Dewji aliomba kikao kikae kutoa suluhu ambacho kilikuwa chini ya Mwenyekiti Cresentius Magori, Mohamed Nassor, Kasim Dewji, Godfrey Nyange na Mlamu Ng'ambi makubaliano yalikuwa uandaliwe utaratibu wa jinsi ya sisi kulipwa kupitia kwenye mechi kati ya African Lyon na Simba na Simba na African Lyon na jukumu hili alipewa Nyange 'Kaburu'.

"Tuliamini Simba itatekeleza, lakini cha kushangaza hakuna chochote kilichofanyika na cha ajabu TFF kutoa baraka kwa Mbwana kuchezea Simba pasipo utaratibu, Desemba 12 mwaka jana tuliandika barua Simba kuomba kikao cha suala hilo na nakala TFF, lakini hakukuwa na majibu yoyote, achilia mbali pingamizi letu dhidi ya nyota hao kwenda Simba la tarehe 2/8/2010,"alisema Sherally.

Alisema,"Mwisho tulipeleka malalamiko kwenye kamati ya Maadili na Hadhi ya Wachezaji yenye barua kumbukumbu namba ALF/MKT/KKSM/HW/7-2011 ya Machi 7 mwaka huu na hakuna kikao chochote kilichokaa na kutupatia majibu ya haki yetu ya msingi."

Akizungumzia suala hilo Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah alisema tayari Shirikisho lake limewandikia barua jana viongozi wa Lyon wawasilishe vielelezo vinavyoonyesha kuwa Samata ni mchezaji wao halali.

Osiah alisema TFF inatambua mkataba halali wa Simba na mchezaji huyo na kwamba hawana mkataba wa Lyon na Samata na kuwataka viongozi hao wapeleke vithibitisho vinavyoonyesha Samata ni mchezaji wao halali.

"Fomu yao wenyewe waliyoleta ya usajili wa wachezaji wao inawafunga, katika orodha ya usajili wa wachezaji watakaocheza ligi 2010/2011 imeeleza wazi Mbwana Samata mazungumzo na viongozi wa Simba yanaendelea pia mkataba wa Samata umebaki mikononi mwa viongozi wa Simba, sasa kama klabu zenyewe zimekubaliana sisi TFF tufanyeje hatuna haki ya kumzuia mchezaji asisajili na timu nyingine wakati klabu zimeshakubaliana,"alisema Osiah.


Hata hivyo; jitahada za kumtafuta Jeshi Zakaria aliyekuwa katibu wa Lyon aliyesaini makubaliano ya kuuzwa kwa timu hiyo kwa niaba ya Mohamed Dewji pamoja na Brown Ernest aliyekuwa akiwakilisha upande pili ili waweze kutoa ufafanuzi juu ya wachezaji hao hakuweza kupatikana.





Naye aliyekuwa mmoja wa viongozi wa African Lyon, Kassim Dewji alisema, "Ni kweli Samata na Gumbo walikuwa na mkataba na Lyon wakati huo Lyon ipo chini yetu na tumewahamisha kwa makubaliano maalum kabla ya timu kuuzwa na ndio maana tuliridhia wachezaji wawili Samata na Gumbo waende Simba na mmoja Abuu Ubwa aende Yanga hayo ni maridhiano yetu na tulifanya hivyo kabla ya kuamua kuiuza timu."

"Wakati timu tunawauzia tayari wachezaji hao walikuwa wameshauzwa hivyo hawana mamlaka yoyote ya kudai kuwa ni wachezaji wao, waende TFF kuna mikataba yote ya maridhiano kati ya viongozi waliopita na Simba, hata Samata akiuzwa sasa hivi fedha zitaenda kwa Simba kwa kuwa ndio mchezaji wao halali,"alisisitiza.

Kauli hiyo ya Dewji iliungwa mkono na mmoja wa viongozi wa juu wa Simba ambaye alisema, "Hao viongozi wa Lyon waende wanapotaka kama ni CAS, CAF, FIFA waende, waonyeshe hiyo mikataba wanayodai kuwa hao ni wachezaji wao halali na isitoshe hakuna kikao chochote tulichokaa kati yetu na wao kukubaliana kuwalipa, tuwalipe nini wakati walihamishwa kabla ya wao kununua timu?, waonyeshe hizo minutes za kikao na barua ya makubalino tuliyosaini kuwa tutawalipa, mikataba yote ipo TFF waende TFF ndio wanajua kila kitu, hatuna muda wa kupoteza kuzungumzia suala la Samata mjadala tumefunga wao wafanye wanachotaka,"alisema kiongozi huyo.

Hata hivyo TFF inaonekana kupata kigugumizi kuweka wazi mkataba wa Samata kuichezea Lyon na mkataba wa Samata kuichezea Simba.
 
Comments




0 #11 sosy 2011-04-22 20:42 bila kuchezea simba nani angemuona samatta Lyon vp nyie acheni unafiki wenu
Quote









0 #10 Mudy 2011-04-22 20:06 Dah! Wabongo bwanaaaa! Hivi kama kweli ni mchezaji wenu na hakuhamishwa kihalali kwanini ile siku aliyowafunga musikate rufaa? Afr. Lyon acheni tamaa,mnajitia aibu mwacheni dogo apeperushe flag.
Quote









0 #9 Alexander Peter 2011-04-22 18:50 African Lyon unakumbuka shuka asubuhi,maskini ng~ombe wa maskini hazai,acha fitina mwache kijana akasakate kabumbu
Quote









0 #8 muharami nyambi 2011-04-22 17:09 Haya ndio nini tena nyie LYON? Hivi mna akili au mmerogwa? kila siku cc WATANZANIA tunalia kwa nini hatuna wachezaji wa kulipwa! sasa mungu anaanza kusikia kilio chetu nyie mnaanza kuleta njaa zenu. au nyie sio WATANZANIA? Hebu kuweni waungwana kidogo muacheni kijana akafanye kazi sio mnamtia mikosi.
Quote









0 #7 ramadhani 2011-04-22 16:29 hebu tuachee njaaa,mbona tunajitoa utu wetu kwa ajiri ya pesa?muda wote hao walikuwa wapi hadi leo mchezaji ameuzwa ndio wanaanza kushabikia..watz tunapenda sana shortcut...watu wameshaona kuna urahis wa kupata mamilioni,hilo swala halina tofauti na wale waliobomoa nyumba zao kwa makusudi ili walipwe pamoja na watu walioathirika na mabomu..acheni uchu wa pesa,pia FA waache uzembe kwenye mikataba yao!
Quote









0 #6 king 2011-04-22 16:28 njaaa ni mbaya sana wakati wote mlikuawa wapi ... mnaona kuna ulaji ndo mnaibuka wabongo bwana ..... acheni unoko kamavipi kunyweni Fanta itawasaidia kupunguza
Quote









0 #5 Najaribu 2011-04-22 15:25 Mimi ni shabiki wa mpira wa miguu, na msahbiki pia wa wachezaji mmoja mmoja. Lakin hili la Lyon ena, ni hatari. Hivi kweli mchezaji amechezea Simba na hakukuwa na maneno, leo kijana wa watu anataka kutoka, Lyon inataka kuweka kauzibe? Hatufiki mbali. Tena wasithubutu kwenda huko wanakotishia watakwenda ili wasimharibie kijana wa watu alijipanga kuinukia kupitia miguu yake na kipaji chake alichopewa bure na Mungu.Wamtafute Samatta mwingine wamsajili, wapo tele wenye umri kati ya 15 - 18. Waende shule za sekondari hadi za Kata watawakuta.
Quote









0 #4 CAROLINE 2011-04-22 15:24 African Lyon nyie mlitaka kijana abaki kucheza chandimu sio. Kwanza kama nini mimi mkiendeleza malumbano nawafungia msicheze ligi kuu. Huo ni umbea wa hali ya juu mbona alipokuwa Simba mlikuwa hamsemi ni kwenu?.Mtoto kapati timu ya nje mnamuwekea vikwazo.Chezeni nyie basi.Samata ataenda TP Mzembe na mkileta za kuleta mfungiwe.
Quote









0 #3 kandoro 2011-04-22 15:08 viongozi wa AFRICAN LYON acheni tamaaa,muda wote mlikuwepo wapi kulalamika kuhusu huyo samatta mpaka mnaona anasajiriawa na TP mazembe?mwacheni aoneshe kipaji chake mazembe,hilo ndio tatizo la viongozi wa kibongo
Quote









0 #2 KASANZU 2011-04-22 14:56 african lyon hama hamna jipya.
Quote









0 #1 hassan 2011-04-22 13:08 Nyie African Lyon baaada ya kuona mchezaji anauzwa kwa mamilioni ya dola ndo mnashupaa kuwa ni mali yenu. Je asingeuzwa na akaaendelea kubaki TZ na kuichezea simba ama klabu yoyote ya bongo mungelalamika?
Hii ni kuonyesha ni jinsi gani viongozi wa mpira msivyofahamu masuala ya uongozi bali ni kutaka umaarufu tu.
Quote







Refresh comments list
 
...Yamgeukia Dewji Send to a friend Friday, 22 April 2011 11:01



Vicky Kimaro
KLABU ya African Lyon imeibuka na madai mapya kwa aliyekuwa kiongozi wa timu hiyo Kassim Dewji kuwa alichukua hundi ya shilingi 5.5 milioni waliyopewa kama timu yenye nidhamu 2009/2010.

Ofisa Habari wa Lyon, Sherally Abdallah alisema Shirikisho la Soka Tanzania 'TFF' na Simba wanawahujumu na wana siri kubwa yenye dhuluma kwa timu yao.

Msemaji huyo wa Lyon alidai baada ya kushinda tuzo ya timu yenye nidhamu, TFF ilimlipa Dewji hundi ya Shs 5.5m ambayo ilikuwa zawadi yao kutoka kwa Vodacom kwa msimu wa 2009/2010 .

"Rais Leodegar Tenga alimwagiza aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu,Sunday Kayuni tufanye kikao ili turudishiwe fedha zetu, lakini mpaka hivi sasa fedha hizo zipo mikononi mwa wajanja bila ya wahusika kulipwa,"alisema Sherally.

Akizungumzia suala hilo Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah alisema Lyon waliandika barua TFF na ushahidi wanao wa kutaka fedha hizo za zawadi apewe Kassim Dewji kwa sababu wanadaiwa Shs 7m wakati zawadi za Vodacom zinatolewa akaunti ya TFF ilikuwa imeshikiliwa na TRA na ilipoachiwa ndio hizo fedha akapewa Dewji,"alisema Osiah.

Naye Kasim Dewji alipotafutwa na Mwananchi kuzungumzia suala hilo alisema,"kama wanaona wananidai waende mahakamani, kimsingi wanahangaika, wakati Lyon inapata zawadi ya Vodacom kama timu yenye nidhamu ilikuwa bado ipo chini yetu kama viongozi wake, tulikuwa hatujaiuza, hawana haki ya kudai fedha za zawadi kwa kuwa ilipata timu yenye nidhamu ikiwa chini yetu,"alisema Dewji.

Alisema,"Hawana mamlaka yoyote ya kudai fedha za zawadi, mamlaka wanayo hivi sasa tangu tulipowakabidhi rasmi timu Julai 17 mwaka jana kwa hiyo kama timu ingetwaa ubingwa, ikishinda timu bora au yenye nidhamu mwaka huu ndio wana haki ya kudai sio mwaka jana, fedha zile haziwahusu, kama wanaona wameonewa waende mahakamani,"alisisitiza Dewji.

Ofisa habari wa Lyon pia alidai kuwa Januari 16 mwaka jana kulikuwa na makubalio ya wamiliki wa awali Mohamed Dewji na TFF pamoja na viongozi wa Simba na Yanga kuhusu malipo ya mchezaji Yahya Issa kuwa alipwe stahili zake zote shilingi milioni 1,000,000 kati ya mchezo wa Yanga na Lyon na Simba na Lyon pia kiasi kama hicho, lakini kitendo hicho hakikufanyika na badala yake mzigo huo wameachiwa Lyon peke yake.

Lakini Katibu Mkuu wa TFF, Osiah alifafanua suala hilo na kusema,"Lyon waliandika barua kuwa Yahya Issa anawadai Lyon hivyo tumlipe fedha hizo kutoka kwenye makato ya mechi zao na mara ya mwisho mwezi uliopita tumemmalizia malipo yake ya shilingi 700,000."
 
Comments




0 #2 muharami nyambi 2011-04-22 17:19 Kweli livundalo halina ubani! hao LYON mala SAMATA ni mali yao leo hii tena wanadai pesa ambazo hawazijui mwanzo wake !! inaonekana hawa LYON hawana wanachokitaka zaidi ya pesa.
Quote









0 #1 hassan 2011-04-22 13:14 Hivi nyie viongozi wa African Lyon huwa mnatafakari kwanza kabla ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari au ni kukurupuka tu? Hizi ni dalili za mfa maji hata kabla ligi haijaanzaa. Ninadhani ukata umeikumba klabu kiasi kwamba mnahangaika kutafuta pa kufia.
Quote
 
Ocean View wakubali yaishe Send to a friend Friday, 22 April 2011 10:53

Sosthnes Nyoni
KLABU ya soka ya Zanzibar Ocean View imesema iko tayari kulipa faini ya Sh 600,000 kama ilivyoagizwa na Chama cha Soka Zanzibar(ZFA),lakini imekitaka chama hicho kijiandae kushitakiwa kwa maovu yake kwa wadau wa soka visiwani humo.

Kauli hiyo ya Zanzibar Ocen View imekuja baada ya ZFA kupitia katibu wake Masoud Attai kutishia kuishusha daraja klabu hiyo ikiwa itashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha baada ya kushindwa kuingia uwanjani katika mechi ya Ligi Kuu ya Visiwani humo dhidi ya Madungu iliyopaswa kuchezwa Aprili 3.

Kitisho hicho cha ZFA pia kilielekezwa kwa timu ya Miembeni ambayo nayo iliamriwa kulipa Sh 1,200,000 baada ya kukutwa na tuhuma kama za Zanzibar Ocean View.

Akizungumza na Mwananchi kwa simu kutoka Zanzibar jana Katibu Mkuu wa Zanzibar Ocean View, Hashim Salum alisema watatekeleza maagizo ya ZFA na kulipa fedha hizo,lakini amekitaka chama hicho kuacha kuongoza soka kibabe.

"Sisi hatuna tatizo kwanza wao wenyewe ZFA wanadhaminiwa na Hoteli ya Zanzibar Ocean View, tunajua kwamba matatizo yao ya kifedha ndiyo yanasababisha wao kufanya maamuzi ya kibabe,"alisema Salum.

Alisema,"Tutakachokifanya sisi ni kuwashitaki kwa wadau wa soka wajue namna ambavyo Chama chao kinaendesha soka kinavyotaka."

Salum aliongeza kuwa anashangaa Baraza la Usuluhishi ambacho ni chombo kinachoundwa na ZFA kusikiliza rufani za klabu ili hali watu walioko ndani ni yake ni wale wale waliopo ZFA hivyo akataka kiundwe chombo kingine huru.

"Hivi unategemea Baraza la Usuluhishi ambalo linaundwa na ZFA litatoa haki wakati watu waliomo ndani yake ni wale wale wa ZFA, hii ni sawa na kesi ya ngedere kumpelekea nyani unategemea maamuzi gani hapo?, ni lazima kiundwe chombo kingine ambacho ni huru vinginevyo haki hakuna,"alisema Salum.
 
Mwanamichezo bora kulamba gari Send to a friend Friday, 22 April 2011 10:45


Sosthenes Nyoni
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa)kimetangaza zawadi ya gari jipya aina ya Toyota GX 100 kwa washindi wa tuzo za wanamichezo bora wa mwaka kwenye sherehe zitakazofanyika jijini Dar es Salaam Mei 5.

Akizungumza jijini jana Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando alizitaja zawadi hizo kuwa ni pamoja gari kwa mshindi wa jumla pamoja na ofa ya siku moja ya malazi na chakula katika hoteli ya Movenpick wadhamini tukio hilo kwa kushirikiana na kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) .

Alisema washindi wengine wa tuzo hiyo watakabidhiwa zawadi ya kitita cha Sh 1milioni kila mmoja.

Mhando alisema hadi sasa ni michezo 15 iliyoorodheshwa kushindaniwa katika tuzo hizo, lakini kuna uwezekano wa kuipunguza baadhi hasa ile ambayo vyama vyake vimeshindwa kufanya mashindano ya mara kwa mara ndani na nje.

Katika hatua nyingine Mhando alitangaza kuongezwa kwa tuzo nne nyingine nne katika minyang'anyiro hicho.

Alizitaja tuzo hizo kuwa ni Tuzo ya heshima ambayo atakabidhiwa mdau yeyoye wa michezo ambaye kwa namna moja au nyingine amekuwa akichangia maendeleo ya michezo nchini, tuzo ya mwanamichezo bora chipukizi, tuzo ya mwanamichezo bora wa Tanzania anayecheza nje ya nchi na tuzo ya mwanamichezo bora wa kigeni anayecheza hapa nchini.
 
Phiri awavuruga wajumbe Send to a friend Friday, 22 April 2011 10:44

Clara Alphonce
KUACHWA kwa kocha Patrick Phiri bado kinaonekana kuwa jambo gumu miongoni mwa wajumbe wa Kamati ya utendaji wa Simba walioshindwa kuafikiana na sasa suala hilo litajadiliwa baada ya sikukuu ya Pasaka.

Kamati ya Utendaji ya Simba iliyokutana juzi kwa ajili ya kupitia ripoti ligi kuu za kocha wao Phiri pamoja na ile ya kamati ya ufundi ya timu hiyo, suala la usajili na mambo mengine yanayoiusu klabu hiyo.

Habari za ndani kutoka kwa kiongozi mmoja wa Simba zilieleza kuwa wajumbe hao walishindwa kuelewana katika kikao hicho cha juzi baada ya kutokea mabishano juu ya kocha wa mkuu Phiri kwani baadhi walikuwa wanataka aondoke na wengine walikuwa wanataka aendelea kuinoa timu hiyo.

Pia, kamati hiyo ilikubaliana suala la wachezaji wapya walionza nao mazungumzo na kufikia muafaka wapewe mikataba na kuanza kuwafanyia majaribio ya kimya kimya kwani ndio wataenda kushiriki michuano ya Kagame inayofanyika Sudan.

Wachezaji wanaodaiwa kufanya mazungumzo na Simba ni Obadia Mungusa, Mwinyi Kazimoto, Salum Machaku, Ulimboka Mwakinge, Shamte Ally na beki Godfrey Katelege raia wa Uganda anayechezea Atrico ya Rwanda.
xxxxxxxxx
Mwanza wapata kocha
Calvin Kiwia
UONGOZI wa Chama cha soka Mkoa wa Mwanza 'MZFA' umemteua Steven Matata kukinoa kikosi cha timu ya mkoa huo 'Mwanza Heroes' kwenye michuano ya Kili Taifa Cup inayotarajia kuanza kutimua vumbi mapema mwezi ujao.

Katibu wa chama hicho, Iman Mabruck aliliambia Mwananchi jana kwa simu kuwa uongozi wa MZFA umemteua Matata na kumpa jahazi la kukinoa kikosi hicho wakitegemea makubwa kutoka kwake.

"Sababu ambazo zimetufanya kumpa Matata kibarua hicho ni uzalendo pamoja na uwezo wake na kuufahamu mkoa huu kwa undani zaidi hivyo tunategemea mkoa wetu kufanya vema na hata kutwaa ubingwa wa michuano hiyo," aliongeza.

Kwa upande wake Matata aliushukuru uongozi wa MZFA kuutambua umuhimu wake na kumpa jukumu hilo.

"Nashukuru kutwaa nafasi hii ya kukiongoza kikosi cha Mwanza Heroes katika michuano ya Kili Taifa Cup, nitajitahidi kadri ya uwezo wangu wote kuhakikisha timu yangu inafanya vizuri kwenye mashindano na kutwaa ubingwa huo," alisema Matata.

Bingwa wa mashindano hayo ataondoka na kitita cha Sh. 40mil kutoka kwa wadhamini wakuu wa mashindano hayo TBL kupitia bia yake ya Kilimanjaro huku mshindi wa pili akijinyakulia Sh. 20mil na watatu Sh. 10mil.
 
Waichangia Z'bar Heroes Send to a friend Friday, 22 April 2011 10:41

Imani Makongoro
KATIKA kile kinachoonekana kwa wadau kuamua kwa dhati kuipaisha timu ya soka ya Zanzibar &#8216;Zanzibar Heroes' wadau wawili kampuni ya mafuta ya United Petroleum na klabu Azam FC wameichangia timu hiyo.

Huku United Petroleum ikikabidhi hundi ya shs 5milioni kwa uongozi wa kampuni ya Future Century ambao ni waratibu wa kampeni ya kuisaidia Heroes, wenzao wa Azam nao wamekabidhi hundi ya shs 6milioni na kuahidi kuwa bega kwa bega katika harakati za kuifikisha timu hiyo ya visiwani katika anga za juu katika mchezo wa soka duniani.

Wakati akikabidhi hundi hiyo ya shs milioni 6 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Bakhresa inayomiliki klabu ya Azam FC, Abubakar Bakhresa alisema wamejitoa kwa moyo mmoja kuisaidia timu hiyo ya taifa.

"Zanzibar Heroes ni timu yetu kufanikiwa kwake kunategemea sana jitihada za wadau na hata klabu kwani sisi ndio tunaotengeza wachezaji ambao baadae huchaguliwa kujiunga na timu za taifa."

Naye Meneja Mkuu wa kampuni ya United Petroleum Colins Chemngorem alisema wakati akikabidhi huindi hiyo kwa Future Century kuwa pamoja na kuwa biashara yao kubwa ni mafuta lakini wao pia ni wadau wakubwa wa soka la visiwani hivyo kufanikiwa kwa Heroes kutafanikisha ndoto waliyonayo kuona kuwa siku moja timu ya soka ya visiwa hivyo inatamba katika mashandano ya kimataifa.

"Tuna matumaini kuona kuwa siku moja na si mbali kuoina Zanzibar Heroes ikiwa katika chati za juu katika Ligi mbalimbali hapa Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

"Hii itawezekana kama wapenda soka wote na wadau katika Bara na Visiwani wakishikana kwa pamoja katika kuipiga jeki timuu hii na nina imani inawezekana"' akaongeza Colins.
 
Ngassa: Niko tayari kurudi Yanga Send to a friend Thursday, 21 April 2011 09:27

Clara Alphonce
ngasapalstna.jpg
Mrisho Ngasa

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga anayekipiga Azam FC, Mrisho Ngassa amesema yuko tayari kurejea Yanga lakini endapo tu viongozi wa pande zote mbili watakaa pamoja na kukubaliana maslahi.

Hatua ya Ngassa imekuja baada ya kuwepo na habari kuwa Yanga wanataka kumrudisha mshambuliaji wao huyo aliyenunuliwa na Azam FC kwa mkataba wa sh58mil msimu uliopita.

Yanga iliyotwaa ubingwa wa Tanzania Bara, iko katika mchakato wa kukifumua kikosi chake kujipanga upya kwa ajili ya michuano ya Ligi Kuu msimu ujao na Ligi ya Mabingwa Afrika, ambayo Yanga ina tiketi yake.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Yanga, Seif Ahmed amepewa jukumu la kuhakikisha inasukwa Yanga imara yenye ushindani kwa kuondoa baadhi ya wachezaji, kuongeza na kuwabakisha wengine.

Kwa kuanzia, Yanga imewasajili wachezaji kadhaa akiwemo Godfrey Taita wa Kagera Sugar, mshambuliaji wa zamani wa Simba, Pius Kisambale na kipa wa Majimaji ya Songea, Said Mohamed.

Lakini, wakati Yanga ikifanikisha upande huo, Ngassa alisema kuwa kwa upande wake hawezi kuliongelea sana suala hilo la kurudi Yanga kwa kuwa bado ana mkataba na Azam.

''Siwezi kuongelea sana suala hilo ila kwa kuwa mimi nina mkataba na Azam, sasa kama Yanga wananitaka nirudi basi wanatakiwa waongee na viongozi wangu wakikubaliana mimi niko tayari kwani ninachoangalia ni maslahi,'' alisema Ngassa.

Lakini Ngassa aliongeza kuwa kwa upande wake mpaka sasa hakuna kiongozi yoyote aliyemfuata kufanya naye mazungumzo hivyo hawezi kuliongelea sana kwani hajui chochote kinachoendelea.

Habari zilizopatikana hivi karibuni zilieleza kuwa klabu hiyo ya Yanga imetenga mamilioni ya fedha za kusajili wachezaji wapya na wenye uwezo mkubwa akiwemo Ngassa ili kuongeza nguvu katika kikosi chao cha msimu ujao.

Mbali na Ngassa, mwalimu wa timu hiyo, Sam Timbe aliwasilisha ripoti yake kiutaka uongozi wa Yanga kuhakikisha unasajili wachezaji wengi wa nje kwa ajili ya kupata Yanga imara, ya ushindani kwa michuano ya kimataifa.

Timbe aliyerithi mikoba ya Kosta Papic, raia wa Serbia, aliichukua Yanga katika kipindi kifuupi na kuipa mafanikio kwa kutwaa ubingwa kabla ya kuondoka kurudi Uganda atakakokuwa huko kwa miezi miwili.
 
Stars kuivaa Black Mambas leo


na Juma Kasesa


amka2.gif
TIMU ya taifa ya soka Tanzania, &#8216;Taifa Stars' leo inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na Msumbiji &#8216;Black Mambas' katika mchezo wa kirafiki maalumu kwa ufunguzi wa Uwanja wa Taifa wa kisasa wa nchi hiyo utakaopigwa jijini Maputo.
Stars inayonolewa na Mdenish Jan Poulsen, inashuka dimbani huku ikimkosa nyota wake Mrisho Ngassa, ambaye alitemwa dakika za mwisho katika kikosi hicho kutokana na kuwa majeruhi, huku nafasi yake ikichukuliwa na Julius Mrope.
Mechi ya leo ni muhimu kwa Stars kwa ajili ya kujiweka vema na mchezo wake wa marudiano wa kusaka tiketi ya kufuzu kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika (CAN), dhidi Jamhuri ya Afrika ya Kati uliopangwa kupigwa Juni mwaka huu mjini Bangui.
Kikosi cha Poulsen kitakuwa na kibarua kigumu cha kusaka heshima ugenini, lakini kikiwa na kumbukumbu nzuri ya kuitambia Black Mambas mwaka jana jijini Dar es Salaam, kwa bao la dakika ya 79 likiwekwa kimiani na Kigi Makasi.
Tayari kocha Poulsen amesema, anataka kuitumia michezo hiyo ili kukiweka vema kikosi chake dhidi ya Afrika ya Kati ili kupata tiketi ya kucheza fainali za CAN 2012 zinazotarajiwa kupigwa Guinea ya Ikweta na Gabon.
Kikosi cha Stars kiliondoka jijini Dar es Salaam jana alfajiri kikiwa na nyota 19 ambao ni Shabani Kado, Juma Kaseja, Shaban Dihile, Kigi Makasi, Amir Maftah, Shadrack Nsajigwa, Aggrey Morris, Nadir Haroub &#8216;Canavaro' na Juma Nyoso.
Wengine ni Nurdin Bakari, Shaban Nditi, Jabir Aziz, Ramadhan Chombo &#8216;Redondo', Mwinyi Kazimoto, Salum Machaku, Mohamed Banka, John Boko, Mbwana Samata na Julius Mrope.
Baada ya mchezo na Msumbiji, Stars itarejea jijini Dar es Salaam ambako itaingia kambini tena Mei 2 ili kujiwinda na mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Afrika ya Kusini &#8216;Bafana Bafana' inayotarajiwa kupigwa Mei 14 mwaka huu Uwanja wa Taifa jijini.
 
Yanga nidhamu bora uwanjani


na Juma Kasesa


amka2.gif
MABINGWA wa soka Tanzania Bara Yanga ya jijini Dar es Salaam, imetia fora kwa kutunza nidhamu kiwanjani katika ligi iliyomalizika hivi karibuni kwa wachezaji wake kutopata kadi nyekundu huku Majimaji ya Songea ikiongoza kwa kupata kadi sita.
Kwa mujibu wa takwimu za ligi hiyo zilizotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kupitia Ofisa habari wake Boniface Wambura, hadi ligi hiyo inamalizika Aprili 10, Yanga haikuwa na mchezaji ambaye amepata kadi nyekundu, wakati Mtibwa Sugar ikiifuatia Majimaji kwa wachezaji wake kuonyeshwa kadi tano.
Takwimu hizo zinaonyesha, mchezaji wa AFC ya Arusha Amir Msumi ameongoza kwa kupata kadi mbili nyekundu msimu mzima wa ligi hiyo huku wengine wote wakiwa wameonyeshwa mara moja.
Aidha takwimu hizo zinaonyesha kuwa, tangu kuanza kwa ligi hiyo Agosti 21 mwaka jana, jumla ya kadi 34 zilionyeshwa kwa wachezaji mbalimbali katika mechi 264 zilizochezwa.
Kupitia takwimu hizo, Toto African, Azam, African Lyon, Polisi Tanzania na JKT Ruvu zinafungana kwa kila timu wachezaji wake kuonyeshwa kadi hizo mara tatu huku Simba na Kagera Sugar zikifungana kwakuwa na kadi mbili nyekundu kila mmoja.
 
SAKATA LA MBWANA SAMATTA: Lyon kuwasilisha nondo zake TFF leo


na Juma Kasesa


amka2.gif
UONGOZI wa klabu ya soka ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, leo unatarajiwa kuwasilisha vielelezo kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuhusu madai yao kuwa mchezaji Mbwana Samatta wanayemgombea na Simba ni mali yao.
Hatua hiyo ya Lyon, inakuja baada ya uongozi wa Simba kutangaza kumuuza Samatta, kwa klabu tajiri ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kitita cha dola 100,000 za Marekani.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa timu hiyo Brown Ernest alisema, wameishakusanya vielelezo vya kutosha kuthibitisha Samatta ni mchezaji wao halali kama walivyoombwa na TFF.
Alisema, wanaamini shirikisho litazingatia vielelezo vyao ambavyo wameviwasilisha ili kuamua sakata hilo badala ya kulichukua kihisia.
Timu hizo zimeingia katika malumbano dhidi ya mchezaji huyo ambaye alikwenda kukipiga Simba kwa mkopo, lakini uongozi wa Lyon uliposikia Simba inataka kumuuza ukaibuka na kudai hawana mamlaka ya kufanya hivyo.
Tayari TFF, kupitia Katibu Mkuu wake, Angetile Osiah &#8216;Ngeta', imeishasema kuwa shirikisho hilo linamtambua Samatta kama ni mali ya Simba, kwani alihamishwa kutoka African Lyon kwa kufuata taratibu zinazohitajika.
Alisema anashangazwa na madai yanayotolewa na African Lyon kuwa alikwenda kuichezea Simba kwa makubaliano, kitu ambacho hakiwezi kusaidia lolote katika harakati zao hizo za kumdai mchezaji huyo.
 
Kocha Rwanda aipa mtihani Simba

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 22nd April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 149; Jumla ya maoni: 0


04_11_rwq5ha.jpg

Kocha wa Kiyovu ya Rwanda, Jean Marie Ntagwabira





KOCHA wa Kiyovu SC ya Rwanda, Jean Marie Ntagwabira , anayetakiwa na Simba ya Dar es Salaam, amethibitisha kufanya mazungumzo na klabu hiyo.

Kwa mujibu wa habari zilizoandikwa kwenye gazeti la The New Times la Rwanda, Ntagwabira, amethibitisha kuwapo kwa hatua hiyo, akisema, "Nimefuatwa na Simba na nimewaeleza ya kwangu," kocha huyo wa zamani wa APR na Atraco alisema.

Hata hivyo hakuweka wazi mambo aliyowaeleza, lakini alisisitiza kuwa kwa upande wake tayari ameshamaliza na sasa anawasubiri wao.

Makocha wengine ambao wamefuatwa na wekundu hao wa Msimbazi kwa mujibu wa gazeti hilo, ni Kocha Msaidizi wa The Cranes, Moses Basena na mwingine ambaye hakutajwa lakini ni Mserbia.

Ntagwabira anasemekana kuaminika kuwa kocha mwenye mafanikio makubwa nchini Rwanda na mwenye uwezo mkubwa pia wa kazi hiyo.

Akiwa amezaliwa mwaka 1974, Ntagwabira alikuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Rwanda &#8211;Amavubi Stars mwaka 2004 katika kinyang'anyiro cha Kombe la Mataifa ya Afrika.

Baadaye alizifundisha APR na Atraco na kutwaa mataji manne, matatu ya vikombe vya Amahoro na kimoja cha Cecafa.

Hivi sasa Simba inafundishwa na Mzambia Patrick Phiri. Hatua ya Simba kusaka kocha inazidi kuthibitisha kuwa timu hiyo inataka kuachana na Phiri ambaye msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwaka 2009/2010 aliiongoza Simba kutwaa ubingwa bila kupoteza mechi.
 
h.sep7.gif
master.gif

Hapatoshi Diamond kesho
ban.blank.jpg


Mwandishi wetu​

amka2.gif
BAADA ya huzuni na simanzi ya mateso na kifo cha Yesu Kristo kwenye vilima vya Golgotha, Jerusalum, kesho itakuwa siku ya kipekee kwa Wakristo wote duniani kutokana na ushindi wa mwana wa Mungu dhidi ya kifo, ikiwa ni alama ya ukombozi wa mwanadamu kutoka kwenye minyororo ya dhambi.
Alfajiri ya kesho, mfuasi wa kweli Yesu, Mariam Magdarena, na wenzake, wakiambatana hadi katika pango ambamo mwili wa Yesu Kristo ulikuwa umehifadhiwa, wakakuta mambo tofauti.
Baada ya kufika pale, walipigwa butwaa wasiamini walichoshuhudia, jiwe lililokuwa limeviringishwa katika kaburi, likiwa limesogezwa kando ukiwa ni utimilifu wa mpango wa Mungu kumleta Yesu duniani kuukomboa ulimwengu kupitia mateso na kifo, lakini siku ya tatu anafufuka.
Siku ile, Mariam Magdarena na wenzake, wakashuhudia sanda iliyokuwa imefungwa kwenye mwili wa Yesu, ikiwa kando.
Katika lindi la mshangao, anatokea malaika wa Mungu na kuwaambia, wanayemtafuta, amefufuka kutika wafu na amewatangulia Galilaya, hivyo Mariam Magdarena na wenzake kuwa mashahidi wa kwanza juu ya ufufuko wa Yesu.
Kwa kutambua uhuhimu wa siku ya Pasaka, Kampuni ya Msama Promotins ya jijini Dar es Salaa, ikaamua kutoa nafasi kwa wakristo na wengineo kuisindikiza siku hiyo kwa shangwe na furaha ya aina yake.
Zawadi pekee iliyoandaliwa na Kampuni ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, ni Tamasha la kimataifa la muziki wa injili ambalo litafanyika kesho kuanzia saa nane mchana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo ambalo limekuwa gumzo kila kona ya jiji la Dar es Salaam, mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ikiwa ni mara ya kwanza kwa mkuu wan chi kuwa mgeni rasmi katika historia ya matamasha ya injili nchini.
Rais Kikwete akiwa mkuu wa nchi iliyojengwa kwenye misingi imara ya amani, utulivu na uhuru wa kuabudu, kesho ataungana na wakristo katika tamasha hilo akitambua maana, umuhimu na thamani ya Pasaka kwa Wakristo.
Kwa upande wa Msama, anasema anamshukuru Mwenyezi Mungu kwani maandalizi yote yamekamilika kwa asilimi 100 na hasiti kutoa pongezi kwa Rais Kikwete kwa kukubali kuwa mgeni rasmi.
Msama anasema, kutokana na majukumu mengi yanayomkabili mkuu wa nchi, kitendo cha Rais Kikwete kukubali kubeba jukumu la kuwa mgeni rasmi, hakidhihirishi umuhimu wa Pasaka tu, pia upendo wake wa dhati kwa watu wote bila kujali dini.
Kwa hali hiyo, Msama anatoa wito kwa wapenzi na mashabiki wa muziki wa injili na wananchi kwa ujumla wa jijini Dar es Salaa na vitongoji vyake, kujitokeza kwa wingi kuisindikiza Pasaka wakiwa na mkuu wa nchi.
"Kamati yangu imejitahidi kufanya kila iwezalo kuhakikisha tamasha hili linakuwa lenye kiwango cha ubora wa hali ya juu, hasa ikizingatiwa mkuu wa nchi ndiye atakuwa mgeni rasmi, hivyo nawaomba wadau wa muziki wa injili tujumuike Diamond Jubilee" anasema Msama.
Kuhusu waimbaji, Msama anasema wamejiandaa vya kutosha kutoa burudani ya hali ya juu kwa kadiri roho wa Mungu atakavyomjalia kwa sababu pamoja na maandalizi, baraka za Mungu zinahitajika na kuongeza kuwa, waimbaji wote wakiwamo kutoka nje ya Tanzania, wapo tayari kwa ajili ya kesho.
Waimbaji ambao kesho watapamba Tamasha hilo linalotarajiwa kuvuta maelfu ya wapenzi, mashabiki wa muziki wa Injili na wananchi kwa ujumla, ni Rose Muhando, Upendo Nkone, Christina Shusho, Martha Mwaipaja na Boniface Mwaitege.
Mbali ya hawa kutoka Tanzania, wengine Annastazia Mukabwa, Pamela Wanderwa, Geraldine Odour aliyeshiriki kwenye albam ya Haleluya Collection Vol 5 ambayo pia itazinduliwa rasmi hiyo kesho na Solomon Mukubwa wote kutoka Kenya.
Waimbaji wengine katika tamasha hilo ni Ephraem Sekeleti kutoka Zambia na Faraja Ntaboba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Kwa upande wa waimbaji, Muhando mwimbaji bora wa mwaka 2009, kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC), anasema kwa maandalizi ambayo kila mwimbaji ameyafanya, kwa uweza wa Mungu, litakuwa tamasha la pekee kabisa.
"Ndiyo unajua kila jambo lina wakati na baraka zake, kwangu Rose naamini tamasha la safari hii, litakuwa la tofauti kwetu waimbaji kwa sababu inaonekana kila mwimbaji amefanya maandalizi ya kutosha tukijua utofauti wa tamasha la safari hii na mengine yaliyotangulia," anasema Rose.
Je, ni utofauti upi huo, Rose anasema utofauti mkubwa ni wao kuisindikiza Pasaka pamoja na mkuu wa nchi (Rais Kikwete) na kukiri kuwa, amewahi kushiriki matamasha mengi, lakini la safari hii, litabaki kuwa la kumbukumbu kwake," anasema.
Kwa niaba ya waimbaji wenzake, Rose anasema kesho ni siku ya furaha kuu kwani wanafurahia ushindi wa Yesu Kristo dhidi ya dhambi wakiwa na Rais na kusema, kwa Wakristo, ni kitu cha thamani kubwa.
Zaidi ya yote hayo, kwake (Rose) siku ya kesho ni zaidi ya tamasha kwani anakumbuka siku ya ubatizo wake, hivyo atafurahi kujumuika na waimbaji wengine wakiwemo kutoka nje ya nchi kuifurahia Pasaka.
"Nashukuru kupata nafasi hii ya kuimba kwenye tamasha kubwa la Pasaka, ni nafasi ya kipekee kwangu kujumuika na waimbaji wengine kufurahia ushindi wa Yesu Kristo pale Msalabani," alisema Mwaitege kwa njia ya simu.
Kuhusu maandalizi, Mwaitege amesema tayari amejipanga kwa kwa lengo la kutoa burudani ya kutosha kwa kadIri Mungu atakavyomjalia kwa sababu yote hutoka kwa Mungu, mwanadamu unaweza kupanga hivi, lakini ikawa vile.
Naye Upendo Nkone ambaye ni kati ya waimbaji watakaopamba jukwaa la Diamond Jubilee mbele ya Rais Kikwete, anasema ni furaha kubwa kwake kujumuika na waimbaji wengine.
Naye Nkone, anasema: "Nashukuru sana kupata nafasi hii ya kujumuika na waimbaji wengine na wananchi kufurahia ushindi wa Yesgu Kristo dhidi ya kifo, kama nitaifikia siku hiyo, nitarukaruka kwa furaha kubwa kwenye Ukumbi wa Diamond," anasema.
Anasema pamoja na malengo mengine ya uwepo wa tamasha hilo kwa mfano sehemu ya kile kitakachopatikana kuwafariji yatima, wajane na wengine wenye shida, anatoa wito pia kwa kila atakayefika Diamond Jubilee, autumie nafasi hiyo kusamehe wengine.
"Natoa wito kwa wote watakaofika Diamond Jubilee, kuwa na furaha pamoja na ufufuko wa Yesu Kristo kwa kungua mioyo yao wakiwasamehe wengine hata waliowakosea kwa sababu mungu anasema mpende jirani yako kama nafsi yako.
Christina Shusho kwa uopande wake, hakuna na mengi ya kusema isipokuwa amewawataka wapenzi na mashabiki wa muziki wa injili wasikose kwenda ukumbi wa Diamond Jubilee kupata baraka za Mungu kupitia uimbaji.
Viongozi wa kiroho, pia hawakubaki nyuma kulizungumzia tamasha la leo na mengine yatakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na lile la keshokutwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.
Askofu wa Kanisa la Mungu mkoani Dodoma, Donald Mhango anasema tamasha la leo na mengine, yamenekana kuwagusa wengi kwani mbali ya kueneza ujumbe wa neno la Mungu, pia sehemu ya kile kitakachopatikana kusaidia wenye shida.
Anasema, kusaidia wenye shida kama vile yatima, wajane, ni jambo jema linalopaswa kuungwa mkono na kuwataka wapenzi na mashabiki wa nyimbo za Injili kujitokeza kwa wingi.
Kauli ya Askofu Mhango, inatokana na mpango wa Kampuni ya Msama Promotions kuahidi kutumia sehemu ya kitakachopatikana watoto yatima, wajane na waathirika wa milipuko ya mabomu ya Gongo la Mboto ambayo ilitokea Februari 16, mwaka huu.
Kiongozi mwingine wa kirogo, ni mchungaji wa kanisa KKKT mkoani Dododoma, Timothy Holela ambaye mbali ya kumpongeza Msama na kamati yake, amewataka wapenzi na wadau wa muziki wa injili kujitokeza kwa wingi.
Mchungaji Holela anasema kama watu watajitokeza kwa wingi katika ukumbi wa Diamond, uwanja wa Jamhuri na Kirumba, itakuwa faraja kwa waandaaji wa matamasha hayo kufikiria kuendelea na huduma hiyo yenye maana kubwa.
Je, baadhi ya mashabiki wa wadau wa muziki wa injili wanasemaje? Luckresia Rainer na Angel Deodatus wa Yombo-Kigilagila,
kwa nyakati tofauti wanasema wamekuwa wakisubiri kwa hamu kubwa Tamasha la Pasaka, hivyo kesho watakuwa kati ya maelfu watakaokwenda Diamond Jubilee.
Mwingine aliyelisubiri kwa hamu kubwa tamasha hilo, ni Annastazia Ferdinand Kobelo pia wa Kigilagila ambaye kwa maoni yake, uwepo wa Muhando na Mukabwa kumemvuta zaidi hasa baada ya kuimba vizuri kwenye albamu ya Kiatu.
Kwa upande wa kiingilio, Msama anasema, kiingilio katika tamasha la kesho, tiketi za viti vya kawaida, zitauzwa sh 4,000; viti vya maalumu (B) sh. 10,000 na viti maalumu (A) sh 20,000.
Aidha, kwa tiketi za viti maalumu vya VIP A zitakazokuwa kama meza za familia, wenye kuzitaka wapige simu 0713 383838, 0786 383838 na 0786 373737 kwa ufafanuzi zaidi kwani hazitapatikana getini.
Kiingilio cha matamsha mengine mawili ya Jamhuri- Dodoma na CCM Kirumba, Mwanza, kitakuwa ni cha aina moja yaani shilingi 3000 kwa lengo la kuwezesha wengi kupata nafasi ya kushuhudia uhondo huo wa nyimbo za injili kutoka kwa waimbaji mahiri kutoka ndani na nje ya nchi.
 
Starehe yako isiwe kero kwa wengine
ban.blank.jpg


Barnabas Maro​

amka2.gif
STAREHE ni kukaa au kuishi bila ya kuwa na shida au usumbufu; kuwa na raha. Fanya au kuwa na mambo ya anasa; andisi, burudika.
Muziki ni mpangilio wa sauti za ala, uimbaji au vyote viwili, unaoleta athari fulani kwa kiumbe, wimbo. Muziki unaopigwa kwa sauti ya chini, ala na maneno ya wimbo husikika vizuri. Watu walio eneo hilo huzungumza na kusikilizana bila kuumiza makoo kwa kutoa sauti kubwa. Aidha, mawasiliano ya simu huwa rahisi.
Kelele ni sauti kubwa, hasa isiyokuwa na maana yoyote au ya kukirihisha. Ghasia, fujo, chachawizo, ngenga, nyange, rabsha, mayowe, vishindo, kukurukakara.
Mtu anapopiga muziki kwa sauti ya juu sana, hata kama yumo nyumbani mwake, huwa kero kwa wengine. Kuna wagonjwa, watu waliopumzika au wanaofanya kazi zinazohitaji utulivu. Hawa huathiriwa sana na muziki unaofunguliwa kwa sauti kubwa.
Vijana wa zama hizi, kwao muziki ni kelele. Hufurahia sana midundo ya sauti kubwa &#8211; iwe majumbani, ndani ya magari au kwenye kumbi za starehe. Hawana habari kwamba sauti kubwa huathiri ngoma za masikio na hata kusababisha uziwi!
Unapokuwa kwenye kumbi za starehe, ni kero tupu. Hao waitwao ma-DJ wamelemaa kwa muziki wa sauti kubwa. Wao hudhani sauti kubwa ndio furaha kumbe ni karaha. Kweli, mzoea udalali duka haliwezi!
Majuzi nilikuwa kwenye sherehe ya harusi ya mjukuu wangu kwenye moja ya kumbi zilizo katikati ya majumba wanayoishi watu jijini Dar es Salaam. DJ alifungulia muziki kwa sauti ya juu mno kiasi cha kuwakera waalikwa. Alipoulizwa anawasheresha watu wa n-nje au waalikwa, alijibu kwa kujiamini: "wote, wa n-nje na ndani."
"Waliokukodi ni wale walio n-nje au hawa waliomo humu ndani?" Akajibu: "Ni hawa walio humu ndani, ila najitangaza!" Yaani anatangaza muziki wake kwa gharama ya waliomkodi! Hapo likawa zogo kuubwa. DJ akisaidiwa na mwenziye aligoma kupunguza sauti, akasema: "tena bado; shughuli ikianza, tutaongeza sauti zaidi."
Mmoja aliyeonekana kuelewa, akapunguza sauti ikawa ya kuridhisha lakini mwenzie akapunguza zaidi akisema: "Si mnataka sauti ya chini? Basi ndio hiyo &#8230;" huku akiwa kavimba kwa hasira! Waswahili tunashindwa kabisa kubembeleza biashara. Tunapokosa watu, tunakimbilia kusema &#8216;tumerogwa' kumbe kauli zetu si nzuri.
Hakuishia hapo. Akasema amefanya shughuli kwenye harusi zisizopungua mia moja kwa hiyo hababaishwi. Mshereheshaji (MC) naye akasema ana ujuzi wa miaka kumi na kama watu hawataki sauti kubwa, basi wangeleta redio zao hapo ukumbini! Mara wakadai kuwa vyombo vyao ni vya thamani kubwa na unapopigwa muziki kwa sauti ndogo kuna vifaa vitaungua!
Hawa ni watu waliolipwa ili kuja kusherehesha katika tukio lile lakini bado walikuwa wabishi na wakali ungedhani wao ndio wenye sherehe. Kwani kuwa DJ ni lazima upige muziki kwa sauti ya juu? Nadhani anayekulipa fedha ndiye mwenye mamlaka ya kuamua sauti aitakayo; kama ni ndogo au kubwa.
Ni kutojua sheria na haki ya kila mtu. Kuna sheria inayokataza kuwa na kumbi za starehe katikati ya majumba ya kuishi, labda kumbi hizo zijengwe kwa namna isiyotoa sauti n-nje na kuwa kero kwa wengine. Hata kama ni nyumbani kwako, sheria haikuruhusu kufungua muziki kwa sauti kubwa.
Sheria hii ilikuwapo tangu wakati wa mkoloni. Si kwamba alipoondoka aliondoka nazo, hasha; bado tunaendelea kuzitumia mpaka leo. Kama mnakumbuka kuna wakati mama Kibaki aliingilia sherehe za Balozi mmoja wa n-nje jijini Nairobi akilalamikia &#8216;kelele' zilizomnyima usingizi. Ni sheria aliyotuachia mkoloni hapa Afrika Mashariki.
Sheria hii na nyingine nyingi zimo vitabuni lakini wengi hawazijui. Ndio maana unapomwambia mtu ni kosa kufungua muziki kwa sauti ya juu, hakuelewi. Tatizo ni watawala, kuanzia wajumbe wa shina, wenyeviti wa serikali za mitaa na makatibu kata kutowafasiria wananchi sheria kama hizo.
Hata ndani ya mabasi ya &#8216;daladala' ni kero tupu. Muziki hufunguliwa kwa sauti ya juu mno. Unapopigiwa simu huwa shida kusikilizana kutokana na sauti kubwa ya muziki. Dereva akiambiwa apunguze sauti utadhani ametoneshwa kidonda kwa jinsi anavyokunja uso.
Jijini Dar es Salaam, baadhi ya majumba ya starehe na vileo muziki hupigwa kwa sauti ya juu mpaka alfajiri. Hayo yakitendeka, pengine nyumba ya mjumbe wa shina, mwenyekiti wa serikali ya mtaa au katibu kata ipo jirani, lakini hawafanyi lolote kukomesha kero hiyo. Hawa nao wamekuwa sehemu ya kero kwa wananchi.
Mitaani nako ni kero tupu. Wauzaji wa kanda za muziki hufungulia sauti za juu mno ili kutangaza biashara zao. Kwa upande mwingine, magari makubwa ya wazi hupita katika mitaa mbalimbali yakitangaza bidhaa zao kwa midundo mizito inayoumiza masikio. Wanaouza dawa za kuulia panya na wadudu nao hawako nyuma kwani hupita mitaani na vipaza sauti wakinadi dawa zao. Ni fujo tupu!
Madereva wa daladala wanapodamka alfajiri hupiga honi mfululizo kuita abiria, bila kujali watu waliolala kwani si wote wanaoamka majira hayo. Hata hivyo kuna sababu gani kupiga honi kituoni wakati kila mmoja anajua kituo kilipo?
Kuna maeneo yasiyoruhusiwa kupiga honi: shule, hospitali, mahakama na nyumba za ibada. Hata kupiga honi ovyo ovyo bila sababu za msingi hairuhusiwi. Nadhani madereva wengi hawaijui sheria hii. Kama ndivyo, hizo leseni za udereva huzipataje?


h.sep3.gif

marobarnabas@yahoo.com
0784/0715 33 40 96 na 0756 85 53 14
 
Wasanii watamba kupagawisha kesho

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 22nd April 2011 @ 23:50 Imesomwa na watu: 21; Jumla ya maoni: 0



Habari Zaidi: Kocha Rwanda aipa mtihani Simba
Wasanii watamba kupagawisha kesho
Wadau waitwa Mapinduzi Stars
Kindai Shooting Stars yataja kikosi
&#8216;Jitokezeni tamasha la Marian'
Samatta azivuruga Lyon, TFF
Mwanamichezo Bora Taswa kuzawadiwa gari
Zanzibar Heroes mambo yazidi kueleweka
Maugo bado amtamani Kaseba
Mambo bado magumu Simba
Safari ya Stars Msumbiji yaiva
Gofu Province Open kuanza Mei 7
Mgosi aivuruga Simba
Wanaotaka kushiriki Miss Mbeya Vijijini wapewa somo
Kombe la CCM kuanza kesho
Tamasha la Mzalendo Halisi Juni Dar es Salaam
TFF yafuta uchaguzi Villa Squad
Mapacha, Profesa Jay kukamua pamoja
Tamasha la Pasaka mambo safi
Uwanja Simba kugharimu sh. Bil.75

Habari zinazosomwa zaidi: Balaa lingine kwa Chenge
Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
&#8216;Housigeli' anataka kuniharibia ndoa
Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
Vatican yamvua jimbo Askofu
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
WASANII watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka wametamba kuwa kesho watatoa burudani ya nguvu kwa mashabiki watakaojitokeza.

Tamasha la Pasaka litafanyika kesho kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, kisha Jumatatu Uwanja wa Jamhuri Dodoma na Jumanne Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema maandalizi yote muhimu yamekamilika na kuwa karibu wasanii wote muhimu tayari wameshafika Dar es Salaam.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari aliyoitoa Msama, inawakariri wasanii mbalimbali wakizungumzia tamasha hilo, huku wakitamba kwamba mambo yatakuwa mazuri kesho.

"Nimedhamiria kuwapa mambo mazuri mashabiki wangu, najua watafurahi sana, watakaokuja hawatajuta," ni kauli ya Rose Muhando.

Naye msanii Upendo Nkone, amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi na kuwa wana imani kubwa litakuwa tamasha la kufunga mwaka.

Wasanii wengine wa Tanzania ambao pia wamezungumzia tamasha hilo ni Martha Mwaipaja, Christina Shusho na Boniface Mwaitege, kila mmoja akitamba mashabiki watafurahi.

Wasanii wa nje ya Tanzania ambao pia wamezungumzia tamasha hilo ni Annastazia Mukabwa, Solomon Mukubwa, Pamera Wanderwa na Geraldine Odour kutoka nchini Kenya.

Wengine watakaotumbuiza kesho ni Faraja Ntaboba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo anayetamba na kibao cha Hakuna Kama wewe na Ephraem Sekeleti kutoka Zambia.
 
Wasanii watamba kupagawisha kesho

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 22nd April 2011 @ 23:50 Imesomwa na watu: 21; Jumla ya maoni: 0




WASANII watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka wametamba kuwa kesho watatoa burudani ya nguvu kwa mashabiki watakaojitokeza.

Tamasha la Pasaka litafanyika kesho kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, kisha Jumatatu Uwanja wa Jamhuri Dodoma na Jumanne Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema maandalizi yote muhimu yamekamilika na kuwa karibu wasanii wote muhimu tayari wameshafika Dar es Salaam.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari aliyoitoa Msama, inawakariri wasanii mbalimbali wakizungumzia tamasha hilo, huku wakitamba kwamba mambo yatakuwa mazuri kesho.

“Nimedhamiria kuwapa mambo mazuri mashabiki wangu, najua watafurahi sana, watakaokuja hawatajuta,” ni kauli ya Rose Muhando.

Naye msanii Upendo Nkone, amewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi na kuwa wana imani kubwa litakuwa tamasha la kufunga mwaka.

Wasanii wengine wa Tanzania ambao pia wamezungumzia tamasha hilo ni Martha Mwaipaja, Christina Shusho na Boniface Mwaitege, kila mmoja akitamba mashabiki watafurahi.

Wasanii wa nje ya Tanzania ambao pia wamezungumzia tamasha hilo ni Annastazia Mukabwa, Solomon Mukubwa, Pamera Wanderwa na Geraldine Odour kutoka nchini Kenya.

Wengine watakaotumbuiza kesho ni Faraja Ntaboba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo anayetamba na kibao cha Hakuna Kama wewe na Ephraem Sekeleti kutoka Zambia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom