Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Mkutano Mkuu wa CAF waanza Sudan Send to a friend Tuesday, 22 February 2011 20:31

KHARTOUM, Sudan
MKUTANO mkuu wa 33 wa Shirikisho la soka Afrika, CAF, unaanza leo kwenye mji wa Khartoum nchini Sudan huku ukishirikisha viongozi mbalimbali wa vyama vya michezo kutoka kila kona ya Afrika.

Mkutano huo ni mkutano halali wa CAF, ambao pia utapitia taarifa ya fedha pamoja na kuchagua wajumbe wa Kamati ya Utendaji pamoja na kuzungumzia maendeleo ya mchezo huo Afrika.

Wajumbe watakaochaguliwa watakuwa wakiiwakilisha Afrika katika mikutano ya FIFA na Kamati za Utendaji za CAF.

Kwa Kamati ya Utendaji ya CAF, Kanda ya Kaskazini inawaniwa na Hani Aboo Rida (Misri), aliyejitoa pamoja na Tarek Bouchamaoui wa Tunisia ambaye kwa sasa anawania nafasi hiyo bila kuwa na mpinzani.

Almamy Kabele Camara wa Guinea anawania bila kuwa na mpinzani kwa Kanda ya Magharibi A na Anjorin Moucharafou (Benin), Kwesi Nyantakyi (Ghana), Tata Adaglo Avlessi (Togo) na Hima Souley (Niger), ambaye amejitoa, huku wengine wakiwania nafasi ya Kanda ya Magahribi B outgoing member General Seyi Memene (Togo).

Constant Omari (DR Congo) hana mpinzani na aanawania kumrithi Thierry Kamach (Afrika ya Kati) kwa Ukanda wa Kati, pmoja na Leodegar Tenga (Tanzania) anapambana na Celestin Musabyimana wa Rwanda kwa tiketi ya Afrika Mashariki na Kati.

Mjumbe anayemaliza muda wake wa Ukanda wa Kusini, Dk. Molefi Oliphant (Afrika Kusini) nafasi yake inawaniwa na Adam Mthethwa (Swaziland), Kalusha Bwalya (Zambia), Danny Jordan (Afrika Kusini), Walter Nyamilandu (Malawi), John Muinjo (Namibia) na Justino Fernandes wa Angola.

majina ya watu sita, Ibrahim Galadima (Nigeria), Jacques Bernard Anouma (Cote díIvoire), Danny Jordan (Afrika Kusini), Kalusha Bwalya (Zambia) aliyejitoa, Mohamed Raouraoua (Algeria) na Suketu Patel (Shelisheli) wanawania nafasi ya kuiwakilisha Afrika katika Kamati ya Utendaji ya FIFA. Dk. Amos Adamu (Nigeria) na Jacques Bernard Anouma (Cote díIvoire) wanamaliza muda wao.

Hii ni mara ya tatu kwa Sudan kuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa CAF, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1970 na 2007.

Katika hatua nyingine, wakati mkutano ukianza na kutarajiwa kufanyika kwa uchaguzi, Kanda ya Kusini mwa Afrika chini ya Shirikisho la Soka Kusini mwa Afrika, COSAFA, limegawanyika.

Mkutano wa 33 wa CAF, unafanyika Friendship Hall mjini Khartoum huku mlengo hasa ukiangalia kujaza nafasi mbalimbali za uongozi katika shirikisho hilo na zaidi ni nafasi nne za u wakilishi FIFA.

Lakini, mbali na hilo, wajumbe 14- wa Ukanda wa Cosafa wamekuwa na wakari mgumu baada ya kuingiza wajumbe wawili katika nafasi moja, mkongwe wa soka Zambia, Kalusha Bwalya, Walter Nyamilandu wa Malawi, Rais wa Cosafa, Suketu Patel na John Muinjo pamoja na Adam Mthethwa ni miongoni mwa wanaowania ukanda huo.

Danny Jordaan, mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya maandalizi ya Fainali za Kombe la Dunia 2010 amejitoa kuwania nafasi ya ujumbe na sasa anawania uwakilishi Fifa.

Jordaan,59, ambaye alikuwa gumzo baada ya kuamua kufanya hivyo kuwania nafasi hiyo ya Fifa, moja ya nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Amos Adamu wa Nigeria ambaye amesimamishwa na Fifa kwa kile kilichodaiwa kulamba mshiko wa kura yake kwa waliokuwa wanawania kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia 2018 na 2022 .

Katibu Mkuu wa zamani wa Cosafa, Ashford Mamelodi alisema kuwa hali ya mgawanyiko pekee, itawafanya wajumbe 53 wanachama wa Caf kushindwa kuwaelewa.

Mamelodi alionya kuwa Ukanda wa Cosafa ulikuwa ukihitaji kujipanga tangu Septemba mwaka jana kwa kuunganisha nguyvu na Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati badala ya kulalamikia mataifa ya Magharibu na Kaskazini kuwa yanapendelewa.

"Kama Katibu wa heshima wa Cosafa,sidhani kama tunaihujumu timu yetu. Cosafa ina nchi 14 na Cecafa 13 kama wangeunganisha nguvu, kati ya wajumbe 50 wa Caf, muungano wa ukanda huo ungekuwa na nguvu.

"Kaskazini una mataifa ya Misri, Algeria, Tunisia, Morocco na Libya na Magharibi kuna A na B na wana wawakilishi wawili CAF.

"Wako wapi viongozi wa kupigania yao? Nafikiri kuna haja ya kuwa angalizo katika hili," Mamelodi alisema.

Lakini mjumbe huyo wa FIFA wa maendeleo ya soka Kusini mwa Afrika alisema wajumbe wa Cosafa wakiwa na akili zao timilifu na huko wataamua kama ni kumwachi Rais wa Chama cha Soka Zambia, Bwalya na Patel wa Shelisheli.

 
Gattuso afungiwa mechi nne Send to a friend Tuesday, 22 February 2011 20:29

LONDON, England
KIUNGO mkongwe wa AC Milan, Gennaro Gattuso amefunguiwa mechi nne na Shirikisho la Ulaya, UEFA, baada ya kumpiga kichwa kocha msaidizi wa Tottenham, Joe Jordan.

Gattuso alimtwanga kichwa Jordan baada ya timu yake kufungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa San Siro lakini baadaye mchezaji huyo akaomba radhi.

UEFA ilitangaza adhabu hiyo baada ya kikao chake cha juzi Jumatatu. Milan imesema haitakata rufani kuhusiana na uamuzi huo wa UEFA.

Mchezaji huyo wa zamani wa Rangers sasa atakosa mechi ya marudiano kwenye Uwanja wa White Hart Lane Machi 9 na nyingine zitakazofuata.

Jordan na Gattuso walikwaruzana uwanjani baada ya mpira kumalizika na Gattuso alisema: "Nilishindwa kujizuia. Hakuna mjadala kwa kile nilichofanya. Najijutia kwa kilichotokea.

"Nilikasirika sana. Wote tunazungumza lugha moja, niligundua hivyo tulipokutana Glasgow, lakini ndiyo hivyo, imeshakuwa.

"Sikutaka kubishana na wachezaji, lakini nikafanya nilichofanya na nikagundua imekuwa siyo. Sina jinsi, nitasubiri."

 
Gomis levels as Lyon draws 1-1 with Real Madrid


storypage_APlogo_01.png




PRINT RSS



Updated Feb 22, 2011 6:02 PM ET
Striker Bafetimbi Gomis scored a late equalizer Tuesday as Lyon drew 1-1 with Real Madrid in the first leg of their last-16 meeting in the Champions League, denying the Spanish team its first win against the former French champions.
Brazilian defender Cris headed on a free kick and Gomis clipped the ball past goalkeeper Iker Casillas in the 83rd minute. Karim Benzema scored for Madrid against his former club in the 65th, a minute after coming off the bench.
Lyon eliminated Madrid from the same stage of the competition last season and is unbeaten against Madrid in seven meetings.


Benzema looked set to end that record when he cut inside the penalty area with his first touch, weaved past three defenders and calmly beat goalie Hugo Lloris.
Lyon had the better of a physical first half, but coach Jose Mourinho's players stepped up a gear after the break.
Cristiano Ronaldo struck the post with a free kick in the 49th and Sergio Ramos hit the crossbar a minute later.
Emmanuel Adebayor started instead of Benzema, and Gomis led Lyon's line as both teams started with a lone center forward.
Mourinho preferred Adebayor's ability to play with his back to goal and his added physical presence, but his lack of movement made him easy to mark and Madrid's attack looked predictable until Benzema came on.
He got a warm reception from his former fans, but they were soon stunned into silence.
Benzema picked up the ball, span quickly, glided past two defenders, dropped his shoulder to shoot before taking it round another and picking his spot for the game-winner.
The match had started frenetically in front of 40,000 fans at Stade Gerland.

Tue., Feb. 15
AC Milan 0-1 Tottenham | Recap
Valencia 1-1 Schalke | Recap
Wed., Feb. 16
Arsenal 2-1 Barcelona | Recap
AS Roma 2-3 Shakhtar | Recap
Tue., Feb. 22
Copenhagen 0-2 Chelsea | Recap
Lyon 1-1 Real Madrid | Recap
Wed., Feb. 23
Marseille vs. Man Utd | Preview
Inter vs. Bayern Munich | Preview
CL Scores | Tables | Fixtures

Brazilian winger Michel Bastos sprinted down the right in the fourth minute and tried to shoot from an awkward angle, rather than pulling the ball back to the unmarked Yoann Gourcuff near the penalty spot.
Top scorer Cristiano Ronaldo almost broke through in the 14th minute, but German referee Wolfgang Stark whistled for a push on Cris.
Although Madrid right back Sergio Ramos picked up an early yellow card for hacking down Cesar Delgado as he sprinted down the left, Lyon were the far more physical team in a tense first half.
Several Madrid players complained to Stark after some heavy challenges, and even Mourinho threw his arms up in the air with his trademark panache.
Both teams seemed scared of conceding, and there was little attacking invention in the first half.
With 30 minutes played, Mourinho pulled a note pad out of his pocket and flicked the pages over quickly, as if he were looking for a secret formula he had overlooked on how to penetrate Lyon's organized midfield.
A minute later, Ronaldo almost provided the breakthrough with a well struck free kick that Lloris pushed away near his right post.
Bastos was involved in Lyon's best move of the half, as he led a counterattack up the field after Lyon had cleared a corner in the 35th.
Gomis collected the ball near the halfway line, span and flicked it to Bastos who rushed past the Madrid bench with Mourinho screaming for his defenders to drop back.
Bastos then clipped a teasing cross over to Gourcuff, forcing goalie Iker Casillas to come for the ball. He flapped at it and dropped it at the feet of Gomis, but the former France striker was off balance and whacked it over from 12 yards (meters) out.
Madrid seemed to rely on hopeful quick breaks, but Adebayor did not do enough to make his presence felt - although Mourinho certainly did, remonstrating with the fourth official after an offside call late in the first half.
Madrid showed much more urgency after the restart and, after Bastos was booked for fouling Angel Di Maria, Ronaldo's curling effort from just outside the left edge of the penalty area hit Lloris' right post.
Madrid won a corner a minute later and Ramos timed his run perfectly only for his header to loop onto the bar.
Neither side could force the chance to get the winning goal in the closing stages
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom