Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Anaandika Ally Saleh kupitia ukurasa wake wa twitter
Watu wanne washikiliwa na Polisi Micheweni baada ya kudaiwa kumzomea dkt. Shein huko Micheweni, Pemba
1. OMAR HASSAN HAMAD (42)
2. HASSAN OMAR HASSAN (16).
3. HASSAN NASSOR HASSAN (12).
4. HAMAD NASSOR HASSAN (11).
Shauri hili limeripotiwa katika kituo cha polisi Micheweni.
Watu wanne washikiliwa na Polisi Micheweni baada ya kudaiwa kumzomea dkt. Shein huko Micheweni, Pemba
1. OMAR HASSAN HAMAD (42)
2. HASSAN OMAR HASSAN (16).
3. HASSAN NASSOR HASSAN (12).
4. HAMAD NASSOR HASSAN (11).
Shauri hili limeripotiwa katika kituo cha polisi Micheweni.