Michepuko Experience: Wanaume wote tumepitia, tujadiliane!

Michepuko Experience: Wanaume wote tumepitia, tujadiliane!

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
14,683
Reaction score
20,460
By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.

Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k

Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!

Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.

Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.

Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.

Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..

Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.

Vipi wewe ulianzaje?

Michepuko ni hatari.

Tuchepuke kwa Tahadhari.
 
Wapili ni katika Mazingira ya kazi,
wakati tunafanya biashara zetu ndogondogo.
Binti tukazoeana, tukiwa kwenye kufuatilia mzigo! nikamwambia tufikie hotel moja tushare na room kukwepa gharama, akakubali! Kilichofuatia ni Histry.
 
ni tabia tu,, mimi ndoa yangu bado changa ila najicommit tu na naheshimu ndoa.
Nakubaliana na Wewe.
Ni tabia iliyoko ndani ya kila Mwanaume.
Imebebwa na nguvu ya asili.

Utajicommit kwa muda mfupi tu mkuu.

angalia vizuri usije jikuta unaanza na housegirl wako pindi my wife wako anaanza majukumu ya kulea
 
By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.

Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k

Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!

Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.

Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.

Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.

Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..

Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.

Vipi wewe ulianzaje?

Michepuko ni hatari.

Tuchepuke kwa Tahadhari.
Kuna Wadada WATATU mpaka muda huu na weka hewani hili bandiko ni Mimi tu kutoa location wapo king ila nawazaga sana BETRAYAL na CONSEQUENCES zake
mm kama kijana nashikilia rekodi mwaka wa Saba now sijawai saliti ndoa (chepuka)

Huwa naingia tamaa sometimes maana Kuna pisi kali nyingi tu zinazaliwa kama binadamu ila siku zote LOGIC Hunikumbusha the consequences za CHEATING naishia kuzuga na kupotezaa....
 
Baada tu ya kuoa nilijiwekea nia kuwa sitaisaliti ndoa yangu. 5yrs later dah! Huwa na muda tu aisee
Kama mke hakupi kero na ni mfariji mkuu....

Mimi na tatizo Moja Sijawai kumsamehe msaliti wa mapenzi hata kama tukiendelea nakua mnafiki nilimwambia wife WANGU siku aki ni Cheat nikajua siwezi kumsamehe na ndio itakua kinyongo na upendo wangu kwake uta FADE

So mm mwaka wa Saba sijawai saliti ndoa
 
Kuna Wadada WATATU mpaka muda huu na weka hewani hili bandiko ni Mimi tu kutoa location wapo king ila nawazaga sana BETRAYAL na CONSEQUENCES zake
mm kama kijana nashikilia rekodi mwaka wa Saba now sijawai saliti ndoa (chepuka)

Huwa naingia tamaa sometimes maana Kuna pisi kali nyingi tu zinazaliwa kama binadamu ila siku zote LOGIC Hunikumbusha the consequences za CHEATING naishia kuzuga na kupotezaa....
Balaa, endelea kujipa muda mwamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom