uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,683
- 20,460
By the way, kati ya Wanaume 100 tulioko kwenye ndoa 99 tumechepuka.
Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k
Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!
Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.
Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.
Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.
Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..
Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.
Vipi wewe ulianzaje?
Michepuko ni hatari.
Tuchepuke kwa Tahadhari.
Ni hivi hali ya kuchepuka inategemeana sana na Mazingira, Ofisini, field n.k
Kwa sasa na amini hii ni nguvu ya asili!
Hali ya kuwa na matamanio na hitaji hilo muhimu.
Hebu Wanaume tuelezane experience zetu za kwanza kwenye kuchepuka.
Mimi nilianza few days tu baada yakuingia ndoani miaka kadhaa iliyopita, na nilichepuka na my best friend. Kumbe alikuwa ananipenda sana ila ndiyo ile hakutaka kabisa kunionyesha.
Tulifanya tu mara moja!
once for All, and distance keeps us apart..
Huyo ndio mchepuko wangu wa kwanza.
Vipi wewe ulianzaje?
Michepuko ni hatari.
Tuchepuke kwa Tahadhari.


