Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Husikii wivu?
Humuoni Shabhan??? :car:
Husikii wivu?
Thank u, thank u, thank u my queen. Kule kwetu migombani
mwanamke akikuambia sina la kusema na kicheko kingi juu
ina maana kakubali! Kamwe hutajuta my queen, nitakuwa mtiifu na
muaminifu kwako kila nikiwa karibi nawewe.
Kwa uzoefu wangu wanaume wenye maneno matamu si watekelezaji wa sera zao....:yo:
we gambachovu na konnie,acheni kutongozana kwenye uzi wangu!
Michelle uzi wa Sheby chichat title 'Queen Michelle....',umeuona? umefurahi eh? MWONE! HAMUACHANI TU?
Huwezi amini bishanga na Eliza wa Tegeta mambo yameanza kujipa upya!Nitakuwa naye Easter.
Hivi we GC are u shua unatongoza mdada? Shauri lako wenzio kwenye gari wanatembea na vikopo vya vaselini.
What duya mean meeeeen? Sijakupata hapa.