Naomba kuuliza
Minazi African tall unauzaje,Minazi chotara inauzwa sh 7000,ingawa kwasasa hatuna.
Tuna aina moja tu kwasasa mkuu(African tall)
wakuu shukrani kwa kuendelea kutuamini.
karibuni sana
Hii ndiyo hiyo minazi chotara? Mimi nataka mbegu fupi kwa ajili ya madafu tu.
Mjitahidi basi muongeze na parachichi aina ya ikulu. Ni parachichi yenye umbo kubwa! Halafu ina mbegu ndogo ukilinganisha na hass/fuerte.Tuna aina 2 za parachichi
1.Hass
2.Fuerte
Yellow guava hamna?Tuna aina mbili za pera
1.White guava
2.Red guava