niimbie usiulize ya
rado TU/
mkere FIDQ/
ukiona
hainiumizi bado ujue kwako
nimefika FULL/
nimechizika BOO/
sio
kama ninapita TU/ sijajipachika kama
STICKER nimekita kama TATTOO
1.Usi ni treat kama second class person,utakuwa unafanya fist class mistake;I am profesiona by FID Q
2.Ukinicheka sokoni,mm nakucheka shambani,chuma hufua chuma,ni mwendo wa roho mkononi; NI HAYO BY PROF J/FID Q& LANGA
ni mm nasema ni hayo tu
kipofu anataka mwanga amechoka kuona giza/ nipo uwanja wa ndege na bado sijaona viza/ unaona miujiza mbona unauliza?/ feature imegoma hata ikija hutamwona Jesus/ sina sensa ya makazi na wala sina presha muda wote mi natesa na wakazi/ tenga malazi jenga kwa wazazi/ utupu mbaya ndio maana tunauremba kwa mavazi/ SONGA