Ndani ya kanisa, hata uwe jambazi wa kutisha huwezi kutoa sadaka ya mtutu,
Karibu kwenye ukumbi wa kasheshe,
Uchumi umeshuka tunakula vumbi mpaka cheche,
Mapenzi ya sikuhizi.. bila kugombana yanakua hayana stimu/
Pia ni ruksa kushikana lakini sio kushikiana simu/
Fid q - Bongo Hip Hop
marapa wana simanzi ka nafsi iliyokosa mvuto/washkaji hawana wasi wala mshtuko,wanajua hata akifa NAS Hassan yupo.
japo najua kupeta inachekesha eti nyumbani hawapiki eti kisa sijaleta jiko
unataka luku zunguka kama panya buku
vigumu kupata ujumbe kwenye mwili wa baba luku\
Songa yupo
Punch line kali sanaNipe tano leo na perform nita entertain kushinda kondom
miniko safe kushinda condom jooh
this time naanguka solo mafans wangu twitter wanani follow
nitawashika bila kasoro, paparazi nyuma wana ni silo paparazi nyuma wanipa kijicho
Colnel mustafa