Michango ya harusi vs graduation ceremonies!!

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,168
8,142
Ile thread iliyozungumzia michango ya harusi sijui (ya bwana harusi kuomba apewe kodi ya miezi sita) sijui imepotelea wapi!! Hat hivyo, thread hii imenikumbusha jambo linalofanana na hilo!! Nilipomaliza chuo, nilikaa mtaani karibu miezi tisa bila hata angalau ya tempo!! By the way, my first option ilikuwa ni kujiajiri mwenyewe, but i'd no capital! Wazazi nikawaomba angalau milioni moja (it was 2003) nianze na kabiashara, wakanitolea nje! Miezi 5 baada ya kumaliza chuo, kukawa na graduation ambapo family wakapanga budget ya sh. 1.5 m kwa ajili ya sherehe!!!! But still, muda huo nilikuwa mtaani!! Nikawaambia ni kwanini basi hizo pesa wasinipe mimi nianzishe biashara, hata kama ni ya kufuata mchele mkoa!! Wakanichomolea!! Hata nilipowaambia kwamba sioni maana ya mimi kuserebuka usiku halafu asubuhi naamkia mkunguni( hapa ndo kilikuwa kijiwe chetu majanki!) bado sikueleweka!!! Nami kuonesha kwamba hicho kitu hakikuwa muhimu sana kwangu as compared to my propasal, nikasusia sherehe za graduation!!! Mama yangu alinikasirikia karibu miezi miwili, lakini sikujali!!! Ni kweli, ingawaje nina elimu ya chuo kikuu lakini sijawahi kuvaa joho!! Hata hivyo, hadi leo sijajutia uamuzi wangu!!!!
 
Hapa mimi sikupongezi hata kidogo!

Wewe mkuu unaonesha ni mkatili na huambiliki. Hivi umewezaje kuwakatili wazazi wako, ndugu jamaa na marafiki waliotaka kusherehekea mafanikio yako? Unachoshindwa kuelewa ni kuwa hiyo pesa waliyochanga ni yao, na hivyo huna mamlaka nayo. Narejea tena kusema ulichofanya si sahihi.
Next time usirudie huo mchezo
 
Sherehe2 sizizoleweka ndo zinatutia Watz ktk umaskini!

We use our savings ktk sherehe! Je when shall we invest?? Say in Elimu, Biashara?
 
Ile thread iliyozungumzia michango ya harusi sijui (ya bwana harusi kuomba apewe kodi ya miezi sita) sijui imepotelea wapi!! Hat hivyo, thread hii imenikumbusha jambo linalofanana na hilo!! Nilipomaliza chuo, nilikaa mtaani karibu miezi tisa bila hata angalau ya tempo!! By the way, my first option ilikuwa ni kujiajiri mwenyewe, but i'd no capital! Wazazi nikawaomba angalau milioni moja (it was 2003) nianze na kabiashara, wakanitolea nje! Miezi 5 baada ya kumaliza chuo, kukawa na graduation ambapo family wakapanga budget ya sh. 1.5 m kwa ajili ya sherehe!!!! But still, muda huo nilikuwa mtaani!! Nikawaambia ni kwanini basi hizo pesa wasinipe mimi nianzishe biashara, hata kama ni ya kufuata mchele mkoa!! Wakanichomolea!! Hata nilipowaambia kwamba sioni maana ya mimi kuserebuka usiku halafu asubuhi naamkia mkunguni( hapa ndo kilikuwa kijiwe chetu majanki!) bado sikueleweka!!! Nami kuonesha kwamba hicho kitu hakikuwa muhimu sana kwangu as compared to my propasal, nikasusia sherehe za graduation!!! Mama yangu alinikasirikia karibu miezi miwili, lakini sikujali!!! Ni kweli, ingawaje nina elimu ya chuo kikuu lakini sijawahi kuvaa joho!! Hata hivyo, hadi leo sijajutia uamuzi wangu!!!!

Siku nyingi hili la wananchi kupenda kuchangia sherehe badala ya elimu na afya linanikera....watanzania tunatakiwa kuachana na utamaduni wa kijinga ...
 
Hapa mimi sikupongezi hata kidogo!

Wewe mkuu unaonesha ni mkatili na huambiliki. Hivi umewezaje kuwakatili wazazi wako, ndugu jamaa na marafiki waliotaka kusherehekea mafanikio yako? Unachoshindwa kuelewa ni kuwa hiyo pesa waliyochanga ni yao, na hivyo huna mamlaka nayo. Narejea tena kusema ulichofanya si sahihi.
Next time usirudie huo mchezo

...Mkuu, Heshima mbele! naheshimu mawazo yako lakini naomba kutofautiana. Ni lazima tufike mahali tuwe na msimamo kwa mambo ambayo hayana faida sana kwetu. Huyu Bwana amejaribu kuwaonyesha wazazi wake kuwa hata asipovaa joho elimu yake iko pale pale ila hizo hela walizopanga kunywa na kula (haijalishi kama ni zao maana kama ni hivyo si wangechanga tu wakazinywa bila kusubiri sherehe ya jamaa?) wangempa yeye kama mtaji ambao pengine kuna siku ungesimama angeweza kuamua kufanya sherehe kubwa zaidi kwa mafanikio aliyopata!
 
...Mkuu, Heshima mbele! naheshimu mawazo yako lakini naomba kutofautiana. Ni lazima tufike mahali tuwe na msimamo kwa mambo ambayo hayana faida sana kwetu. Huyu Bwana amejaribu kuwaonyesha wazazi wake kuwa hata asipovaa joho elimu yake iko pale pale ila hizo hela walizopanga kunywa na kula (haijalishi kama ni zao maana kama ni hivyo si wangechanga tu wakazinywa bila kusubiri sherehe ya jamaa?) wangempa yeye kama mtaji ambao pengine kuna siku ungesimama angeweza kuamua kufanya sherehe kubwa zaidi kwa mafanikio aliyopata!

Nakuelewa mkuu.

Tatizo linakuja kwamba watu huwa tunaangalia tu monetary value, rather cost, ya sherehe. Hatuangalii factors nyingine. Tuna zi-ignore, kitu ambacho si kizuri.

Sasa angalia kama huyu mdau, hakufikiria kabisa hisia za wazazi wake waliomtangulia kuliona jua. Wametaabika kumlea na kumsomesha, sasa roho zimetulia walau wanaona kijana amepevuka na mbali zaidi amepata cheti au shahada juu. Wanataka walau washerehekee mafanikio yake ambayo pia ni yao, ili kujituliza na kujipongeza.. lakini kijana anawakatili..hii si kadhia ya kuifagilia..!
 
Hapa mimi sikupongezi hata kidogo!

Wewe mkuu unaonesha ni mkatili na huambiliki. Hivi umewezaje kuwakatili wazazi wako, ndugu jamaa na marafiki waliotaka kusherehekea mafanikio yako? Unachoshindwa kuelewa ni kuwa hiyo pesa waliyochanga ni yao, na hivyo huna mamlaka nayo. Narejea tena kusema ulichofanya si sahihi.
Next time usirudie huo mchezo

Mkuu, umenikumbusha kitu!!! Miongoni mwa watu ambao alinilaumu sana ni Bro wangu!!! Kama zilivyo hisia zako, aliona ni kama nawasaliti!!! Kumbuka kwamba, sherehe hii ilikuwa ni ONLY six months baada ya kuhitimu! Bro wangu yuleyule ambae alinilaumu siku moja akaja home na kuniambia hivi " Dogo, hivi sasa ndio nimeelewa ni kwanini ulisusa ili sherehe!! For sure, kama hali yenyewe ndio hii basi ulifanya right decision!!" Unajuwa nini mkuu, bro alifikia kuyasema hayo baada ya kuona nazidi kusota mtaani, at last alielewa! But anyway, huo ni msimamo wako na huu ndio msimamo wangu na ndio maana nasema hadi leo sijajutia uamuzi huo!
 
Mkuu, umenikumbusha kitu!!! Miongoni mwa watu ambao alinilaumu sana ni Bro wangu!!! Kama zilivyo hisia zako, aliona ni kama nawasaliti!!! Kumbuka kwamba, sherehe hii ilikuwa ni ONLY six months baada ya kuhitimu! Bro wangu yuleyule ambae alinilaumu siku moja akaja home na kuniambia hivi " Dogo, hivi sasa ndio nimeelewa ni kwanini ulisusa ili sherehe!! For sure, kama hali yenyewe ndio hii basi ulifanya right decision!!" Unajuwa nini mkuu, bro alifikia kuyasema hayo baada ya kuona nazidi kusota mtaani, at last alielewa! But anyway, huo ni msimamo wako na huu ndio msimamo wangu na ndio maana nasema hadi leo sijajutia uamuzi huo!

Duh ..haya bwana gudluck!
 
NasDaz, ni bora hata ungewaambia wazazi wapunguze bajeti ya sherehe yako halafu nyingine ungeanzia biashara uliyotaka. Let say 500,00/- graduation the rest 1M kwa biashara uliyokuwa unaiwazia.
Mzazi mwingine hata kama hana uwezo sana,anajibana kidogo kidogo mpaka siku ya sherehe muhimu ya mwanawe kama hiyo uliyokataa. Je walijisikiaje ulivyowakatalia sherehe? Raha ya mzazi ni kuona kalea mtoto, amesoma kuanzia msingi mpaka chuo kikuu ni faraja sana kwake na wana kila haki ya kufurahia na ndugu+jamaa zake kumpongeza mtoto wao.
Naamini hawakuchangisha watu hizo 1.5M kwa sherehe yako.
 
kwa kweli tuendelee kuelimishana..wabongo kwenye issue ya starehe over financial security bado tuko nyuma sana...hatuna culture ya kuona mbali ya kufikiria kesho nikivunjika miguu au kufukuzwa kazi kama maisha yatabaki kwa hali ile ile..lets invest according na uwezo wetu tusijute mbeleni!
here is another example aunt yangu mmoja who makes abt 600,000tsh after taxes alichukua mkopo wa million 16 kununua prado!!!( nilimpongeza kwa kuweza kupata mkopo mkubwa hivyo kwa hali ya bongo) tuligombana sana kuhusu ununuzi wa gari, nilijaribu kumshauri kwanini asingetumia million saba on a corrolla and the rest on a small business anayoielewa and let the business pay back the loan...wapi akanunua prado yake na ofisini kwake wanamkata 400,000tsh....kwaiyo kwa miaka kadhaaa anaishi kwa laki mbili kwa mwezi...hata nimekata mawasiliano nae kwa sababu ya huu upuuzi...nasikia kila kukicha ni kuomba ndugu na jamaa kumsaidia na pango na maintanance ya nyumba na hiyo hiyo gari...ndo mambo ya kitu roho inapenda au ni ujinga! (excuse the harshness but inaboa sana...mimi huwa nikiona mtu ambaye juzi kanipiga mzinga...nikikutana nae bar kesho yake siongei nae na nakata mawasiliano)
Matatizo mengine ni ya kujitakia na kujitesa bila sababu!
 
kwa kweli tuendelee kuelimishana..wabongo kwenye issue ya starehe over financial security bado tuko nyuma sana...hatuna culture ya kuona mbali ya kufikiria kesho nikivunjika miguu au kufukuzwa kazi kama maisha yatabaki kwa hali ile ile..lets invest according na uwezo wetu tusijute mbeleni!
mkuu hizi zipo sana nchi hii....nilishawaambia watu siwezi kucnagia harusi ila nitampa kama hongera wana harusi ambayo sio lazima iwe siku hiyo wanafunga ndoa....pili vipaimara,ubarikio,graduation sichangii kamwe.....

...sorry ndugu zetu wachaga wanazo sana.....kuna jamaa alifia kcmc kwa kukosa msaada wa kifedha lakini siku ya msiba zilichangwa milioni nyingi sana na amzishi ya kifahari....wenzetu wakenya wana harambee anachangiwa kijana akasome havard univ tofauti sana na sisi.....
..
.....kuvaa joho sio kipimo cha kuhitimu degree degree ni kichwa chako ndio kitajulisha una degree au kihiyo....
 
kwa kweli tuendelee kuelimishana..wabongo kwenye issue ya starehe over financial security bado tuko nyuma sana...hatuna culture ya kuona mbali ya kufikiria kesho nikivunjika miguu au kufukuzwa kazi kama maisha yatabaki kwa hali ile ile..lets invest according na uwezo wetu tusijute mbeleni!
here is another example aunt yangu mmoja who makes abt 600,000tsh after taxes alichukua mkopo wa million 16 kununua prado!!!( nilimpongeza kwa kuweza kupata mkopo mkubwa hivyo kwa hali ya bongo) tuligombana sana kuhusu ununuzi wa gari, nilijaribu kumshauri kwanini asingetumia million saba on a corrolla and the rest on a small business anayoielewa and let the business pay back the loan...wapi akanunua prado yake na ofisini kwake wanamkata 400,000tsh....kwaiyo kwa miaka kadhaaa anaishi kwa laki mbili kwa mwezi...hata nimekata mawasiliano nae kwa sababu ya huu upuuzi...nasikia kila kukicha ni kuomba ndugu na jamaa kumsaidia na pango na maintanance ya nyumba na hiyo hiyo gari...ndo mambo ya kitu roho inapenda au ni ujinga! (excuse the harshness but inaboa sana...mimi huwa nikiona mtu ambaye juzi kanipiga mzinga...nikikutana nae bar kesho yake siongei nae na nakata mawasiliano)
Matatizo mengine ni ya kujitakia na kujitesa bila sababu!

Nimejaribu kuwahimiza watu wasome kitabu cha akina Robert Kiyosaki na Donald Trump ambacho kimo pia humu jamvini. Hatuwezi ku-afford kungoja Financial education itolewe mashuleni; ni bora kila mzazi ahangaike kumpatia mwanae elimu hii sasa.
 
Ile thread iliyozungumzia michango ya harusi sijui (ya bwana harusi kuomba apewe kodi ya miezi sita) sijui imepotelea wapi!! Hat hivyo, thread hii imenikumbusha jambo linalofanana na hilo!! Nilipomaliza chuo, nilikaa mtaani karibu miezi tisa bila hata angalau ya tempo!! By the way, my first option ilikuwa ni kujiajiri mwenyewe, but i'd no capital! Wazazi nikawaomba angalau milioni moja (it was 2003) nianze na kabiashara, wakanitolea nje! Miezi 5 baada ya kumaliza chuo, kukawa na graduation ambapo family wakapanga budget ya sh. 1.5 m kwa ajili ya sherehe!!!! But still, muda huo nilikuwa mtaani!! Nikawaambia ni kwanini basi hizo pesa wasinipe mimi nianzishe biashara, hata kama ni ya kufuata mchele mkoa!! Wakanichomolea!! Hata nilipowaambia kwamba sioni maana ya mimi kuserebuka usiku halafu asubuhi naamkia mkunguni( hapa ndo kilikuwa kijiwe chetu majanki!) bado sikueleweka!!! Nami kuonesha kwamba hicho kitu hakikuwa muhimu sana kwangu as compared to my propasal, nikasusia sherehe za graduation!!! Mama yangu alinikasirikia karibu miezi miwili, lakini sikujali!!! Ni kweli, ingawaje nina elimu ya chuo kikuu lakini sijawahi kuvaa joho!! Hata hivyo, hadi leo sijajutia uamuzi wangu!!!!


Bravo NasDaz.
Hata hivyo, mbinu yako ya kuwashawishi wazazi wakuunge mkono kwenye shughuli zako za maendeleo kifedha, umeiboresha?
Nini ungefanya tofauti leo ukilinganisha na ulivyojieleza kwao wakati huo?
 
Ile thread iliyozungumzia michango ya harusi sijui (ya bwana harusi kuomba apewe kodi ya miezi sita) sijui imepotelea wapi!! Hat hivyo, thread hii imenikumbusha jambo linalofanana na hilo!! Nilipomaliza chuo, nilikaa mtaani karibu miezi tisa bila hata angalau ya tempo!! By the way, my first option ilikuwa ni kujiajiri mwenyewe, but i'd no capital! Wazazi nikawaomba angalau milioni moja (it was 2003) nianze na kabiashara, wakanitolea nje! Miezi 5 baada ya kumaliza chuo, kukawa na graduation ambapo family wakapanga budget ya sh. 1.5 m kwa ajili ya sherehe!!!! But still, muda huo nilikuwa mtaani!! Nikawaambia ni kwanini basi hizo pesa wasinipe mimi nianzishe biashara, hata kama ni ya kufuata mchele mkoa!! Wakanichomolea!! Hata nilipowaambia kwamba sioni maana ya mimi kuserebuka usiku halafu asubuhi naamkia mkunguni( hapa ndo kilikuwa kijiwe chetu majanki!) bado sikueleweka!!! Nami kuonesha kwamba hicho kitu hakikuwa muhimu sana kwangu as compared to my propasal, nikasusia sherehe za graduation!!! Mama yangu alinikasirikia karibu miezi miwili, lakini sikujali!!! Ni kweli, ingawaje nina elimu ya chuo kikuu lakini sijawahi kuvaa joho!! Hata hivyo, hadi leo sijajutia uamuzi wangu!!!!

This is not good kwa wazazi wako na walezi wako. ni sawa na vijana wengi wanaokoka na wanawakataa wazazi wao.
Kwa umri wako na kwamba umemaliza chuo, ungepaswa kuji establish na kutafuta links mbalimbali kama vijana wengi wanavyofanya na si kutegemea wazazi wetu "masikini" 100% mnakuwa na mvutano usio na sababu na hata wazazi wanaona shule haijakusaidia.
unaweza kupinga michango ya harusi na graduation lakini kwa namna nyingine (it is a social issue, very complicated) si rahisi kama unavyofikiria. uliza wanaosoma social antropology au masomo mengine ya social.
you seem anti-social. next time ukiona mnatofautiana sana na wenzio sometimes unakuwa flexible
 
..
.....kuvaa joho sio kipimo cha kuhitimu degree degree ni kichwa chako ndio kitajulisha una degree au kihiyo....

Hizi habari za vipimo vya digirii zinaingiaje humu wajameni? au kuna thread mpya imeanza?
 
This is not good kwa wazazi wako na walezi wako. ni sawa na vijana wengi wanaokoka na wanawakataa wazazi wao.
Kwa umri wako na kwamba umemaliza chuo, ungepaswa kuji establish na kutafuta links mbalimbali kama vijana wengi wanavyofanya na si kutegemea wazazi wetu "masikini" 100% mnakuwa na mvutano usio na sababu na hata wazazi wanaona shule haijakusaidia.
unaweza kupinga michango ya harusi na graduation lakini kwa namna nyingine (it is a social issue, very complicated) si rahisi kama unavyofikiria. uliza wanaosoma social antropology au masomo mengine ya social.
you seem anti-social. next time ukiona mnatofautiana sana na wenzio sometimes unakuwa flexible

Sidhani kama yeye ni anti-social kama unavyofikiria, tatizo alilokuwa nalo kwa wakati ule ni uwezo wa kujipatia kipato baada ya kuhitimu elimu yake ya chuo kikuu. Sidhani kama kuna maana endapo watu wengine wafurahi kwa kula na kunywa wakati wewe muhusika unamawazo mengi tu yanakusumbua kuhusu mipango ya maisha yako ya mbeleni.

Jamii yetu ya kitanzania inapenda sana mambo ya starehe/mlo pamoja na viburudisho kuliko kusaidiana wenzetu kuwajengea uwezo wa kujipatia kipato.Tunatakiwa kubadilika kutokana na wakati tulio nao.
 
Ile thread iliyozungumzia michango ya harusi sijui (ya bwana harusi kuomba apewe kodi ya miezi sita) sijui imepotelea wapi!! Hat hivyo, thread hii imenikumbusha jambo linalofanana na hilo!! Nilipomaliza chuo, nilikaa mtaani karibu miezi tisa bila hata angalau ya tempo!! By the way, my first option ilikuwa ni kujiajiri mwenyewe, but i'd no capital! Wazazi nikawaomba angalau milioni moja (it was 2003) nianze na kabiashara, wakanitolea nje! Miezi 5 baada ya kumaliza chuo, kukawa na graduation ambapo family wakapanga budget ya sh. 1.5 m kwa ajili ya sherehe!!!! But still, muda huo nilikuwa mtaani!! Nikawaambia ni kwanini basi hizo pesa wasinipe mimi nianzishe biashara, hata kama ni ya kufuata mchele mkoa!! Wakanichomolea!! Hata nilipowaambia kwamba sioni maana ya mimi kuserebuka usiku halafu asubuhi naamkia mkunguni( hapa ndo kilikuwa kijiwe chetu majanki!) bado sikueleweka!!! Nami kuonesha kwamba hicho kitu hakikuwa muhimu sana kwangu as compared to my propasal, nikasusia sherehe za graduation!!! Mama yangu alinikasirikia karibu miezi miwili, lakini sikujali!!! Ni kweli, ingawaje nina elimu ya chuo kikuu lakini sijawahi kuvaa joho!! Hata hivyo, hadi leo sijajutia uamuzi wangu!!!!

Uliwauliza kwa nini wazazi wako wamekuchomolea huo mtaji? Lazima uangalie kwa upande zote, ndo uelewe kwa nini mambo yanakuwa namna fulani. Hapa hujatupa sababu za wazazi, na hivyo siwezi kusema kama umetoa uamuzi sahihi au la (kwa maoni yangu).
 
Back
Top Bottom