Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #41
Natumaini mahesabu ya sms yatapatikana muda si mrefu. Once again.. keep the fire burning!
Asante Mzee Mwanakijiji. Nitakuunga mkono nitoe vile vile laki moja.
Ila hukuandika sahihi. Ukisema milioni 11,569,000 maana yake ni trilioni 11 na kitu. Aidha uondoe neno milioni au uandike milioni 11.569
Kuna msg niliisoma kupitia facebook kwenye page ya John Mnyika. Kuna mdau mmoja alitoa suggestion kwamba CHADEMA waanzishe bahati nasibu kwa siku hizi zilizobaki kwa njia ya sms.
Wawe wanatoa screen 20, 21' kila siku kwa siku 20 ili kupata fedha za kutosha kuwalipa mawakala.
Ukifanya promo na wakaijtokeza watu 100,000 kucheza hiyo bahati nasibu kila siku na bei ya sms moja ni 350/= basi break down yake itakuwa hivi:
100,000*20*350 = 700,000,000/=
ambapo ukitoa gharama nyingine zote lazima watabaki na zaidi ya million 300 ambazo zitasaidia sana kwenye kulipa mawakala.
Hili wazo nalisupport 101% maana CHADEMA inawapenzi zaidi ya hao 100,000 naamini wanaweza kuhit billions! Wahasuki lifanyieni kazi hili wazo.
Na mimi na familia yetu zile milioni 2 nilizotuma kwa njia ya voda pesa sijui mumezipata? Sio baada ya uchaguzi kuisha mujekutuambia majambazi yalivamia hazina ya chadema na kutoroka na pesa zote!!!
Hata kama mimi sio chadema lakini nadhani naruhusiwa kuchangia maana hata yule mhindi wa ccm si alichangia milioni 100?
Sisi huwa tunachangia chama chochote kinapoomba msaada lakini sharti fedha zionekane zinafanya kazi! Sio mtu kama mbowe anaedaiwa mamilioni ya mkopo wa benki azitumie fedha zetu kulipia madeni yake! Kwa kweli mutaturudishia fedha zetu kama mutazifisidi maana binaadamu yoyote anaasili ya uroho!!
Hayo yameshatokea ktk nchi zilizoingia ktk uchaguzi na kuleta uongozi mpya matokeo yake ufisadi uliongezeka maradufu! Mfano, kenya, zambia, senegal,malawi, ethiopia,eritrea, nk. Hivyo chadema sidhani kama nyinyi ni malaika muliotumwa toka mbinguni tutawaamini vipi kama nyinyi hamna mafisadi?
Natumaini mahesabu ya sms yatapatikana muda si mrefu. Once again.. keep the fire burning!
Kuna msg niliisoma kupitia facebook kwenye page ya John Mnyika. Kuna mdau mmoja alitoa suggestion kwamba CHADEMA waanzishe bahati nasibu kwa siku hizi zilizobaki kwa njia ya sms.
Wawe wanatoa screen 20, 21' kila siku kwa siku 20 ili kupata fedha za kutosha kuwalipa mawakala.
Ukifanya promo na wakaijtokeza watu 100,000 kucheza hiyo bahati nasibu kila siku na bei ya sms moja ni 350/= basi break down yake itakuwa hivi:
100,000*20*350 = 700,000,000/=
ambapo ukitoa gharama nyingine zote lazima watabaki na zaidi ya million 300 ambazo zitasaidia sana kwenye kulipa mawakala.
Hili wazo nalisupport 101% maana CHADEMA inawapenzi zaidi ya hao 100,000 naamini wanaweza kuhit billions! Wahasuki lifanyieni kazi hili wazo.
HIVI HATUWEZI KUTANGAZA KWENYE HII CLIP YA DR SLAA? WATU WENGI HAWAJAFIKIWA NA HII MANENO! KWENYE MITANDAO WACHACHE WANAFIKA....NA KAMA IKIUNGANISHWA NA DROO HATA chiciemu WATATUCHANGIA SANA TU.