Michango mifuko ya kijamii

Michango mifuko ya kijamii

Bize Bize

Member
Joined
Nov 27, 2012
Posts
29
Reaction score
9
Wadau msaada kwenye tuta!!
Nikiwa mfanyakazi wa kampuni binafsi nilikuwa nachangia na kuchangiwa ktk mifuko ya kijamii. Na nikiwa mfanyakazi nilikopa kwa mwajiri wangu. Katika namna nisiyoifikiri mwajiri kasitisha ajira yangu.
Natamani kuchukua michango yangu inifae kipindi hiki kigumu, wakati nimemshitaki mwajiri mahakamani. Na ikizingatiwa kuwa makesi haya yanachukuaga muda sana kuisha....
Sheria zinasemaje hapa!!
 
Mkuu nishawaona hawa jamaa wenye mpunga wangu! wao wananiambia kuna fomu atatoa mwajiri wangu. Sasa kama mwajiri anadai si yatakuwa yaleyale!!
Nimefikiria nitulie hadi kesi ya msingi itakapokwisha mahakamani, ingawa inaniumiza sana hii kitu.
Hawa jamaa wanaotunza mpunga wetu wangekuwa wanajua pia waajiri walivyo wababe walau ingesaidia...
 
Back
Top Bottom