rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,854
Kwani UMELAZIMISHWAAA KUTOA????? Sijawahi kuona mtu akifatwa inbox kulazimishwa kutoa mchango kama wapo bhasi poleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo inakuwa kama mfungwa vile.Since nianze kutumia WhatsApp ni magroup mawili tuu ndo niliyounganishwa, chuo na 0'level classmates. Sijawahi kukutana na hayo ya ukoo, office nk.bt mshua namsikiaga analalamika kuhusu michango ya harusi na vifo kwenye hayo magroup hadi anataman kuleft ila anachohofia ni kutengwa cz ukisoma group description zao unaweza kudhani hawa watu sio ndugu kwa jinsi sheria zilivyo za kibabe...
![]()
Alafu ni hatari sana mtu mmeachana miaka hiyo yote huwezi jua mabadiliko ya mtu kitabia miaka inabadilisha sana watu. Unaweza kupigwa na bonge la tapeli.Mimi huu upuuzi ndo siutaki. Kwanza huwa najiambia bila whatsapp kila mtu angekuwa kivyake. Hii WhatsApp group ni kutiana umasikini tu. Watu tuliosoma wote primary group la nini. Inshort sina group la msingi mpaka chuo. Hata la kazini simo. Nilishawahi kuadiwa kipindi kile unaadiwa tu bila idhini yako. Nili left. Mara mtu niliemaliza nae form six eti kazaa mchango. Kwanza sitaki kudweli kwenye past. I prefer physical contacts. Mtu hatujaonana miaka 10 eti kajifungua umchangie. Binafsi nikijifungua wala sifikirii mtu tuliesoma wote chuo yupo Katavi huko eti anichangie.
Mdau ile misisitizo ndio hatari hadi unatamani ku left. Pia unakuwa limited hata kuchangia mawazo kwa kukuona mbaya.Kwani UMELAZIMISHWAAA KUTOA????? Sijawahi kuona mtu akifatwa inbox kulazimishwa kutoa mchango kama wapo bhasi poleni
Sent using Jamii Forums mobile app



Mjumbe haujiungi bali mtu anaunda group kisha anaku add alafu unakuta mna heshimiana sana ku left unaona soo kana kwamba ataona umemdharau. Alafu unaweza left mkavunjiana heshima kabisa hata msisalimiane kabisa.🤣😂
Na mkome wasapu wasapu mnajiunga mavitu mengine hamjui hata ya kazi gani nawe umo tu ndo mpambane na hali zenu..😎
Acha kutumia wasapu kama huiwezi kuepuka Mambo hayo!Mjumbe haujiungi bali mtu anaunda group kisha anaku add alafu unakuta mna heshimiana sana ku left unaona soo kana kwamba ataona umemdharau. Alafu unaweza left mkavunjiana heshima kabisa hata msisalimiane kabisa.
Hatare. Hao unakuta ni wanachama wa chama pendwa.Halafu ni kwa bahati mbaya sana kwenye hayo makundi ya whassap kuna tatizo la “ majority ignorance “
Yani watu wamekariri mambo sijawahi onaga.
Mfano kuna mtu amefiwa au kafa eti wanalazimisha kupanga kiwango fulani cha mchango kuanzia mfano 50,000/- na kuendelea
Ukiwauliza kwanini mnapanga hivyo hawana jibu la maana ni ushabiki usio na maana hasa.
Mimi huwa nawauliza kwani maana ya neno rambi rambi ni nini hasa?
Kama siyo mchango wa hiyari wa pole kwa kadri mtu alivyojaliwa?
Kwanini mtake kuweka viwango fixed?
Kila mtu kwa nyakati mbali mbali anaweza kupitia mambo kadhaa mwingine anauguliwa, anajenga, ana mikopo n.k
Kwanini ushabikie michango ya lazima.?
Wapumbavu sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani/sidhani...
Hapana. Mimi naishi kwenye present zaidi. Watu imagine tumesoma primary miaka 20 iliyopita yaani ni vile tu WhatsApp imetukutanisha tena sio physical contact. Wanataka tuishi kama vile tupo kijiji kimoja sijui michango ya harusi sijui rambirambi.Wakati nina watu tunasaidiana katika hayo physically.Bila kupepesa macho, wewe ni antisocial
Bibie hujambo?Hapana. Mimi naishi kwenye present zaidi. Watu imagine tumesoma primary miaka 20 iliyopita yaani ni vile tu WhatsApp imetukutanisha tena sio physical contact. Wanataka tuishi kama vile tupo kijiji kimoja sijui michango ya harusi sijui rambirambi.Wakati nina watu tunasaidiana katika hayo physically.
Sijambo.Bibie hujambo?