Michango kwenye makundi ya WhatsApp

Michango kwenye makundi ya WhatsApp

Since nianze kutumia WhatsApp ni magroup mawili tuu ndo niliyounganishwa, chuo na 0'level classmates. Sijawahi kukutana na hayo ya ukoo, office nk.bt mshua namsikiaga analalamika kuhusu michango ya harusi na vifo kwenye hayo magroup hadi anataman kuleft ila anachohofia ni kutengwa cz ukisoma group description zao unaweza kudhani hawa watu sio ndugu kwa jinsi sheria zilivyo za kibabe ...
Kwa hiyo inakuwa kama mfungwa vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huu upuuzi ndo siutaki. Kwanza huwa najiambia bila whatsapp kila mtu angekuwa kivyake. Hii WhatsApp group ni kutiana umasikini tu. Watu tuliosoma wote primary group la nini. Inshort sina group la msingi mpaka chuo. Hata la kazini simo. Nilishawahi kuadiwa kipindi kile unaadiwa tu bila idhini yako. Nili left. Mara mtu niliemaliza nae form six eti kazaa mchango. Kwanza sitaki kudweli kwenye past. I prefer physical contacts. Mtu hatujaonana miaka 10 eti kajifungua umchangie. Binafsi nikijifungua wala sifikirii mtu tuliesoma wote chuo yupo Katavi huko eti anichangie.
Alafu ni hatari sana mtu mmeachana miaka hiyo yote huwezi jua mabadiliko ya mtu kitabia miaka inabadilisha sana watu. Unaweza kupigwa na bonge la tapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu ni kwa bahati mbaya sana kwenye hayo makundi ya whassap kuna tatizo la “ majority ignorance “

Yani watu wamekariri mambo sijawahi onaga.

Mfano kuna mtu amefiwa au kafa eti wanalazimisha kupanga kiwango fulani cha mchango kuanzia mfano 50,000/- na kuendelea

Ukiwauliza kwanini mnapanga hivyo hawana jibu la maana ni ushabiki usio na maana hasa.

Mimi huwa nawauliza kwani maana ya neno rambi rambi ni nini hasa?

Kama siyo mchango wa hiyari wa pole kwa kadri mtu alivyojaliwa?

Kwanini mtake kuweka viwango fixed?

Kila mtu kwa nyakati mbali mbali anaweza kupitia mambo kadhaa mwingine anauguliwa, anajenga, ana mikopo n.k

Kwanini ushabikie michango ya lazima.?

Wapumbavu sana!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣😂
Na mkome wasapu wasapu mnajiunga mavitu mengine hamjui hata ya kazi gani nawe umo tu ndo mpambane na hali zenu..😎
Mjumbe haujiungi bali mtu anaunda group kisha anaku add alafu unakuta mna heshimiana sana ku left unaona soo kana kwamba ataona umemdharau. Alafu unaweza left mkavunjiana heshima kabisa hata msisalimiane kabisa.
 
Mjumbe haujiungi bali mtu anaunda group kisha anaku add alafu unakuta mna heshimiana sana ku left unaona soo kana kwamba ataona umemdharau. Alafu unaweza left mkavunjiana heshima kabisa hata msisalimiane kabisa.
Acha kutumia wasapu kama huiwezi kuepuka Mambo hayo!
Au tumia akili ya ziada ktk kutumia
 
Halafu ni kwa bahati mbaya sana kwenye hayo makundi ya whassap kuna tatizo la “ majority ignorance “

Yani watu wamekariri mambo sijawahi onaga.

Mfano kuna mtu amefiwa au kafa eti wanalazimisha kupanga kiwango fulani cha mchango kuanzia mfano 50,000/- na kuendelea

Ukiwauliza kwanini mnapanga hivyo hawana jibu la maana ni ushabiki usio na maana hasa.

Mimi huwa nawauliza kwani maana ya neno rambi rambi ni nini hasa?

Kama siyo mchango wa hiyari wa pole kwa kadri mtu alivyojaliwa?

Kwanini mtake kuweka viwango fixed?

Kila mtu kwa nyakati mbali mbali anaweza kupitia mambo kadhaa mwingine anauguliwa, anajenga, ana mikopo n.k

Kwanini ushabikie michango ya lazima.?

Wapumbavu sana!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hatare. Hao unakuta ni wanachama wa chama pendwa.
 
Bila kupepesa macho, wewe ni antisocial
Hapana. Mimi naishi kwenye present zaidi. Watu imagine tumesoma primary miaka 20 iliyopita yaani ni vile tu WhatsApp imetukutanisha tena sio physical contact. Wanataka tuishi kama vile tupo kijiji kimoja sijui michango ya harusi sijui rambirambi.Wakati nina watu tunasaidiana katika hayo physically.
 
Hapana. Mimi naishi kwenye present zaidi. Watu imagine tumesoma primary miaka 20 iliyopita yaani ni vile tu WhatsApp imetukutanisha tena sio physical contact. Wanataka tuishi kama vile tupo kijiji kimoja sijui michango ya harusi sijui rambirambi.Wakati nina watu tunasaidiana katika hayo physically.
Bibie hujambo?
 
Back
Top Bottom