J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,139
- 2,635
Wadau hili limekaaje unatakuta wameku add kwenye group la shule ya Msingi, Sekondari, Chuo, Ukoo, Mtaa, La Nzengo, La Ofisini N.k.
Sasa kivumbi kinakuja zinapostiwa nyuzi za watu kufiwa na kufa. Daftari linaanza kupita la mchango kwa picha ya marehemu kuwekwa juu kabisa. Hili limekaaje wadau?
Ni jinsi gani unaweza kuhimili hii michango? Nina uhakika gani kuwa nami nikiweka picha ya marehemu nitaweza kuchangiwa kama wenzangu nilivyowachangia?
Karibu kwa mchango wa kimawazo.
Sasa kivumbi kinakuja zinapostiwa nyuzi za watu kufiwa na kufa. Daftari linaanza kupita la mchango kwa picha ya marehemu kuwekwa juu kabisa. Hili limekaaje wadau?
Ni jinsi gani unaweza kuhimili hii michango? Nina uhakika gani kuwa nami nikiweka picha ya marehemu nitaweza kuchangiwa kama wenzangu nilivyowachangia?
Karibu kwa mchango wa kimawazo.
kwakweli haya magroup yanakera