King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,613
- 94,408
Wadau sijamsikia huyu mshikaji kitambo sana na zembwela jana aliulizwa na msikilizaji m1 hv akatoa jibu tata kwamba kabla ya wao kuja kwenye kipindi hicho kulikua na watu wakaondoka na pia ile sauti ya baruti wakati wanamaliza washaiondoa,Je jamaa ameacha kazi au nivije?