mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 619
Aisee nimekuja fasta mpaka nimejikwaa. Khaaaa. Huyu amtake nani?
kha anaweza kukutoa jasho huyo ati
Aisee nimekuja fasta mpaka nimejikwaa. Khaaaa. Huyu amtake nani?
Hapo alipo ndo kwisha kazi
hata kimoja kufanya hawezi tena.
Duh kweli kazi ipo!na km ana mke atakua ameishakimbiwa
Hahahahahahuyo akinilalia kimbau mbau mie
Wacheni dharau na afya za watu. Ukiinama kazi nzuri inafanyika.
Hahahahaha
Baba Kijacho sipatii picha ujue
Hapo alipo ndo kwisha kazi
hata kimoja kufanya hawezi tena.
Usiniambie unatarajia
huyo akinilalia kimbau mbau mie
Hapo alipo ndo kwisha kazi
hata kimoja kufanya hawezi tena.
Ndio kesha kuambia .....nami natarajia wiki ijayo...