Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,781
Last year niliachana na mwanamke wangu wa zamani.
Baada ya kimya kirefu nikapata kitu kipya ambacho tuna mipango ya kufunga ndoa na kujenga familia imara.
Mwanamke niliyeachana naye mwaka jana, amemuadd kama rafiki huyu mchumba wangu, na amebandika kwenye ukuta wake picha ambayo tulipiga wote kipindi cha mapenzi yetu.
Kibaya zaidi ni kwamba mchumba wangu kaiona hiyo picha mchana huu na kisha nitumia msg ya kiukorofi.
Sijui jioni nkirudi home hali itakuwaje?
Baada ya kimya kirefu nikapata kitu kipya ambacho tuna mipango ya kufunga ndoa na kujenga familia imara.
Mwanamke niliyeachana naye mwaka jana, amemuadd kama rafiki huyu mchumba wangu, na amebandika kwenye ukuta wake picha ambayo tulipiga wote kipindi cha mapenzi yetu.
Kibaya zaidi ni kwamba mchumba wangu kaiona hiyo picha mchana huu na kisha nitumia msg ya kiukorofi.
Sijui jioni nkirudi home hali itakuwaje?