Miaka yangu 10 ndani ya JF

Tangu nijiunge Jf na mtoto wangu wa kiume wanalingana umri!
Nakumbuka nilijuunga jf 2016 kiutani utani kipindi dogo anazaliwa na changamoto mbili tatu nikaja kuombea msaada humu nikasaidika!
2024 anaingia darasa la pili

Thanks all members! Founder and all moderators
 
Hongera sana, ingawa jf siku hizi imebadilika
Mabadiliko hayana budi kutokea maana dunia haisimami inaenda mbio mbio na watu tunaongeza miaka na majukumu

Lakini pamoja na yote hayo, watu wema bado wapo na wataendelea kuwepo
 
Hongera sana milima na mabonde!
 
JF itakupatia kile unachotaka, hili ni neno la siku. Na ni la ukweli 100%

Happy new year valentina.
Kabisa my dear

Ukiwa chanya tegemea mazuri toka humu

Na ukiwa hasi ndo vile tena

Jf kuna watu wazuri sana wamoyo jamani

Kuna watu humu wamekua nami katika vipindi tofauti tofauti kila nipatapo changamoto

Wengine hatujawahi kuonana zaidi ya mawasiliano tu lakini mtu anabeba shida yako kwa moyo mmoja na kukusaidia kuvuka
 
Mabadiliko hayana budi kutokea maana dunia haisimami inaenda mbio mbio na watu tunaongeza miaka na majukumu

Lakini pamoja na yote hayo, watu wema bado wapo na wataendelea kuwepo
Ni kweli kabisa ndugu, tuko pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…