Damian Godifrey Chami
Member
- Sep 13, 2017
- 52
- 21
Mwanaume unapomtongoza mwanamke 100% unakuwa unategemea nini kutoka kwake? Maana naonaga 100% wanaume wenzangu wanatongoza wanawake wanakuwa wamewatamani tuu wanahitaji ngono tuu, sasa naomba kuwaambia vijana wenzangu huo sio ujanja ni upumbavu.
Ujanja ni kuwa na mwanamke wako mmoja anayejitambua kingine miaka ya sasa ukiwa na wanawake zaidi ya mmoja wewe kutoka kimaisha ni ngumu sana maana 89.7% wanawake wa sasa hawana ndoto za kuolewa wapo kimaslahi zaidi.
Badilikeni jamani
Ujanja ni kuwa na mwanamke wako mmoja anayejitambua kingine miaka ya sasa ukiwa na wanawake zaidi ya mmoja wewe kutoka kimaisha ni ngumu sana maana 89.7% wanawake wa sasa hawana ndoto za kuolewa wapo kimaslahi zaidi.
Badilikeni jamani