Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Miaka ya neema, miaka ya uharibifu

Kweli yani sema nini mshana ungeazisha kanisa mi ningekua muumini wako
 
Tumia sigil
Nahisi miaka yangu ya uharibifu ilianza awamu hii ya tano
IMG-20191105-WA0009.jpeg
 
Mkuu hapo hata sielewi naona kitu kama mapumbu hapo naona na kama mwanamke kachanua
 
Kati ya hizo kuna ambazo zitakuwa mwanzo wa baraka na nyingine zitakuwa mwanzo mwingine wa safari ndefu iliyojaa mashaka kushindwa na majuto mengi.. Kumbuka zinakuja bila dalili
hata ktk 'ndoa za kisulisuli' mkuu Mshana
 
Kuna baadhi ya mada hufaa kufufuliwa baadhi ya nyakati ili kuweza kutufumbua macho yaliyofumbwa na upofu wa kutojua

Jr
 
Back
Top Bottom