Miaka ya mbele sayari ya marsi kutengenezwa dunia

Miaka ya mbele sayari ya marsi kutengenezwa dunia

mkuu usemalo ni kweli binadamu ni failed project ya viumbe kutokea sayari ya nibiru
Miungu wetu walitutengeneza tuwe manpower kuwachimbia madini ili warecover sayari yao walivyomaliza wakakacha wakatuacha hatuna jipya hai ndio waliojenga piramid na kuanzisha acient civilization Kama Sumerian, Assyrian,misri, Babylon, Aztec,nk
Waliondooka ndio binadamu tukaanza kuwaabudu na blaa blaa za duniani sio kwetu kwetu mbinguni nk
Hata yule jamaa anayeitwa nabii Elia alikua alien 👽 ndio maana aliondoka na space shuttle ila kutokana na watu pori wa uyahudi wakasema ameenda na gari la Moto mbinguni!🚀🚀🚀
😂😂😂😂🖕
Probability ya unachokisema Ni more likely Na Ni kubwa kuliko probability Kuwa Dunia ilianza Na binadamu wawili bustanini wakilana matunda wakiwa uchi
 
Kweli kuna wakati mawazo ya mwanadamu yanakuwa hasi sana katika kufikiri na kuuona mpango wa Mungu katika maisha yake.hivi kweli kama kungekuwa na kwenda kuishi sayari hiyo alikuwa na sababu ipi ya kumleta kwetu Yesu kristo kama Bwana na mwokozi wetu?
Kwani nyie mnadhani Yesu hawezi kwenda huko Mars
Ilimradi ni binadamu, atawafuata hukohuko Mars mpaka wamalizane
 
Sawa hapo nimeassume hiyo connection ikivunjika..
mfano waende watu wawili lakini roket ipate ajali na kusiwepo connection na duniani...Duniani tutajua watu hao wamekufa..na hatutapeleka wengine kwa muda mrefu.

Sasa wao kwasababu roket imeharibika wataanza kuishi kama cavemen..Yaani watáanza kuzaliana na maisha yataanza upya kama dunia ya 5000BC.
Wataambia watoto wao kuwa kuna mtu duniani anaitwa Elon Musk ipo siku atatuijia kutupeleka mahali pazuri penye bahari 70% na majengo ya hewani(magorofa)

Maana maendeleo yote walioacha duniani hayatakuwepo meaning hata baada ya miaka mia hakutakuwa na Neurosientists,Nuclear physics,Doctors,Teachers,Engineers nk.

so katika circumstamce kama hiyo watu wa huko wakirudi kwenye mabaki ya ile roketi wakakuta jina Elon Musk na kukumbuka mababu zao wa kwanza walisema Elon ndo aliwaleta...Watasema Elon ni Mungu na Mbinguni(Duniani) ana malaika wengi(binadam wenzie)

Na ipo siku atakuja kutuokoa kwenye hii sayari ya jangwa ila atachukua wale wenye matendo mema tu maana rocket hazitotosha.
Endelea ku "assume"
 
Unasahau kila scientifical discovery Ina step moja kubwa inaitwa experimentation....Ndege ilifanyiwa majaribio Zaidi ya mara 1000 mpaka ikaja Kuwa hii Ndege tunayoijua leo ..Mars watafanya majaribio Gani?watapeleka nyani?unahisi watu wa haki Za Wanyama wataruhusu?

Ila nakuapia Kuna watu kibao waliochoka Na Maisha (ikiwemo billionea mmoja wa China Na 98% ya raia wa North Korea) wameshakubali kujitolea kama panya wa maabara wafanyiwe majaribio ya Kwanza kupelekwa Mars.
Sasa Hao ndo project itafail kwao Na duniani tutajua wote walikufa Na tutacancel huo mpango wa kwenda tena kumbe Kuna vichotara viwili vya kikorea Ke Na Me vimesurvive .

We unahisi duniani tulitokea wapi?
Sisi ni matokeo ya failed project.
Uko too scientific, NASA wakikuona tu,unalienable nao upande wa strategic planning
 
Back
Top Bottom