mkuu usemalo ni kweli binadamu ni failed project ya viumbe kutokea sayari ya nibiru
Miungu wetu walitutengeneza tuwe manpower kuwachimbia madini ili warecover sayari yao walivyomaliza wakakacha wakatuacha hatuna jipya hai ndio waliojenga piramid na kuanzisha acient civilization Kama Sumerian, Assyrian,misri, Babylon, Aztec,nk
Waliondooka ndio binadamu tukaanza kuwaabudu na blaa blaa za duniani sio kwetu kwetu mbinguni nk
Hata yule jamaa anayeitwa nabii Elia alikua alien 👽 ndio maana aliondoka na space shuttle ila kutokana na watu pori wa uyahudi wakasema ameenda na gari la Moto mbinguni!🚀🚀🚀
😂😂😂😂🖕