Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,710
- 54,582
Najaribu tu kukifirisha kichwa
Imagination tu hizo wala usiumize kichwa
Imagination tu hizo wala usiumize kichwa
Inawezekana na kuna theory inaitwa pamspermia inaelezea hayo.Aisee ukute na sisi tulihamishwa kutoka sehemu fulani ujue!umeelezea vizuri kabisa
mkuu si kutakuwa na connection kati ya dunia na mars.Possibly..coz just assume watu wakienda mars kupitia Yeye. halafu itokee incidence hawawezi kurudi.
Vizazi na vizazi huko vitakuwa vinaimba sifa zake ...wataanza kidogo kidogo kwa kumuita founder/pioneer kizazi kinachofuata watamuita genious kinachofata watamuita mtume/mteule kinachofata watamuita Alien kinachofata watamuita Nabii kinachofuata watamuita Mungu.
Kama ambavyo sisi tynajiuliza duniani tulikujaje Tunakosa majibu wengi wanasema tuliumbwa na Mungu basi hata wao Wakianza kujiuliza sisi tumekujaje hapa Mars wengi wataamini Mungu wao Elon Musk aliwaleta
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah sahara desert ipo afrika hivyo itakuwa vizuri kusema sahara desert imewashinda africans.Sahara Deser tu imewashinda wataweza Mars ambako hata gas inahitaji itengenezwe au wasafiri nayo?
Ukitoa bara la antarctica, Sahara ndiyo worst place on earth hizo arabian deserts hazioni ndani...yeah sahara desert ipo afrika hivyo itakuwa vizuri kusema sahara desert imewashinda africans.
dubai ni desert vilevile.
muda ndio utasema.
Sawa hapo nimeassume hiyo connection ikivunjika..mkuu si kutakuwa na connection kati ya dunia na mars.
hawezi kuitwa mungu.
Nenda kituo chochote kilicho karibu naweSawa hapo nimeassume hiyo connection ikivunjika..
mfano waende watu wawili lakini roket ipate ajali na kusiwepo connection na duniani...Duniani tutajua watu hao wamekufa..na hatutapeleka wengine kwa muda mrefu.
Sasa wao kwasababu roket imeharibika wataanza kuishi kama cavemen..Yaani watáanza kuzaliana na maisha yataanza upya kama dunia ya 5000BC.
Wataambia watoto wao kuwa kuna mtu duniani anaitwa Elon Musk ipo siku atatuijia kutupeleka mahali pazuri penye bahari 70% na majengo ya hewani(magorofa)
Maana maendeleo yote walioacha duniani hayatakuwepo meaning hata baada ya miaka mia hakutakuwa na Neurosientists,Nuclear physics,Doctors,Teachers,Engineers nk.
so katika circumstamce kama hiyo watu wa huko wakirudi kwenye mabaki ya ile roketi wakakuta jina Elon Musk na kukumbuka mababu zao wa kwanza walisema Elon ndo aliwaleta...Watasema Elon ni Mungu na Mbinguni(Duniani) ana malaika wengi(binadam wenzie)
Na ipo siku atakuja kutuokoa kwenye hii sayari ya jangwa ila atachukua wale wenye matendo mema tu maana rocket hazitotosha.
Ngoja nisogee hapa karibu kuna kituo Cha polisi.Nenda kituo chochote kilicho karibu nawe
Then NASA wasingeweka international space station wala wewe usingetumia internet kuperuzi jf.Hiyo mission ya kwenda mars haitakamilika, itakuwa kama mnara wa Babeli..
Hiyo inaapply kwa africans tu.Kweli kuna wakati mawazo ya mwanadamu yanakuwa hasi sana katika kufikiri na kuuona mpango wa Mungu katika maisha yake.hivi kweli kama kungekuwa na kwenda kuishi sayari hiyo alikuwa na sababu ipi ya kumleta kwetu Yesu kristo kama Bwana na mwokozi wetu?
Nah only mwafrika atafikiria mambo ya dini.Kwa maana hiyo Elon musk atakuwa mesiah huko Mars?
The Apollo landing on the moon in 1969 program's total cost was about $25.4 billion, about $152 billion in today's dollars.Si ajabu kuona leo tuna tumia simu janja miaka ya sasa ila ingekuwa miaka 1200 B.c (kabla kristo) kingekuwa kinaelezwa tungemchukulia chizi kwa kuwa uwezi kukubali ujakiona.
Matajiri wakubwa kama Elon musk wa space X kujitolea kuboresha usafiri wa anga ya mbali kufikia sayari hiyo inayotajwa kutwa na mchana.
View attachment 1644803
Na tajiri mkubwa wa amazon jeff bezos naye kuamua kujikita kwenye makazi ya huko
View attachment 1644805
Na wengine.huku mashirika makubwa yakiendelea kujikita kabisa tutaishi vipi huko kupitia baba lao NASA na wengine wanao boresha leo na kesho.
Lakini cha kushangaza kwa nini mars ina asilimia 95 kuwa kama dunia yetu
View attachment 1644807
Wanasayansi wamegundua mfumo wa kikemia jinsi ya kutenganisha gesi ili kupata hewa ya oxygen na mafuta .
Je hewa hiyo inaweza kupatikanaje wakati asilimia 0.1 ndio kundi lilopo oxygen ndani.
View attachment 1644811
Sayari ya marsi ina zingilwa na hewa ya carbon dioxide
View attachment 1644812
Kikemia ni kampaundi inayounganisha atomi mbili za oksijeni na atomi moja ya kaboni katika molekuli. Fomula yake ya kikemia ni CO₂
Tunajua vyote tunavo tumia plastic,pombe,mafuta,virutubisho,mbolea,uchafuzi wa mazingira n.k asilimia kubwa vinaundwa na carbon.
Asilimia 90 ya vitu vingi carbon inatumika sana (organic chemistry)
View attachment 1644817
tawi la sayansi ya Kemia linalochunguza kampaundi za kikemia zinazojengwa na kaboni. Inaitwa pia kemia ogania kwa sababu miili ya viumbehai wote inafanywa kwa maji na kampaundi ogania ya kikaboni.
Lakini sayansi hii inaweza kusibitisha kama hewa hiyo ya kikaboni mfano duniani bila miti hatuwezi kupata hewa hiyo japo inachakatwa na miti.
View attachment 1644819
Kama wataweza kuchakata basi inaweza kusaidia miti itakayo pelekwa huko kupata hewa na kugeuza kuwa dunia,kwa sababu marsi inatabia zote za kidunia ila ina jangwa View attachment 1644830
Naomba tujadili kitalaamu tupate mawazo
View attachment 1644831
Kama asingetaka binadamu akaishi huko, kulikuwa na sababu gani ya kumpa akili na maarifa hadi aweze kutengeneza vyombo vya kumwezesha kufanya hivyo?Kweli kuna wakati mawazo ya mwanadamu yanakuwa hasi sana katika kufikiri na kuuona mpango wa Mungu katika maisha yake.hivi kweli kama kungekuwa na kwenda kuishi sayari hiyo alikuwa na sababu ipi ya kumleta kwetu Yesu kristo kama Bwana na mwokozi wetu?
Musk ame base sana jinsi ya kupunguza gharama kama kurudia Booster ambazo aloshazitumi Booster moja ina Cost maBillion sasa NASA wakootumia ndio basi So kimahesabu imepunguza gharama sana za safari hata za MarsThe Apollo landing on the moon in 1969 program's total cost was about $25.4 billion, about $152 billion in today's dollars.
I wonder how it would cost a landing on Mars today and who will finance such a project
Elon musk na spaceX lazima wafike mars.The Apollo landing on the moon in 1969 program's total cost was about $25.4 billion, about $152 billion in today's dollars.
I wonder how it would cost a landing on Mars today and who will finance such a project
Tatizo LA sahara desert sio technology uwezo upo wa kutransform the while desert into a forestSahara Deser tu imewashinda wataweza Mars ambako hata gas inahitaji itengenezwe au wasafiri nayo?
Asiyekuwepo na lake halipo