mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,498
- 18,160
Kwanza niwape pole kwa yanayoendelea kwenye taifa letu . Tutapata tu jawabu .. anyway moja kwa moja kwenye mada.
Miaka hiyo niliyoitaja hapo juu naweza kusema ndicho kipindi au zama za ulimwengu wa burudani ambapo ilikuwa ni zama ya aina yake . Walioishi hiki kipindi wanaweza kubaliana nami kwamba ndicho kipindi
Miaka hiyo niliyoitaja hapo juu naweza kusema ndicho kipindi au zama za ulimwengu wa burudani ambapo ilikuwa ni zama ya aina yake . Walioishi hiki kipindi wanaweza kubaliana nami kwamba ndicho kipindi
- Miziki mizuri ulitungwa na kuimbwa na zinatesa hadi leo hii.. Mj,celine dion,etal
- Filamu maarufu duniani zote zilitengenezwa . Waigizaji walikuwa wakiuvalia uhusika ile ipasavyo. Kuanzia romance ya Titanic hadi za mapigano na kijeshi kama john rambo,true lies na commando
- Mashindano ya mbio za magari yalikuwa na hype kubwa sana duniani kama vile yale ya NASCAR na madereva mashuhuri kama kina dale earnhadt walikuwa wakizipa umaarufu.
- Ni kipindi ambapo madisco na live concert zilikuwa zikitamba duniani kote kuanzia ukumbi wa madison square garden pale marekani hadi billcanas, ddc mlimani kule dsm Tanzania. Watu walikuwa waki i feel ile burudani kutoka moyoni kabisa.