Miaka Miwili ya Kifo cha Albert Mangwea

Miaka Miwili ya Kifo cha Albert Mangwea

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
19,226
Reaction score
68,242
Leo ni miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha mmoja wa Wanamuziki bora zaidi kuwahi kutokea katika Bongo Fleva, Albert Mangwea.

Mengi yamezungumzwa kuhusu kifo chake, na hakika ameacha pengo kubwa katika muziki huu .

Pumzika kwa amani, Albert Mangwea.

1432799040513.jpg
 
Mtu akifa misifa kibao.Binadamuu.....(Kanumba&Ngwair).
 
R.I.P Mzee wa mikasi.Hivi Cowboy aliacha icon ya mtoto au ndio kama 2pac?
 
Ngwair Ngwair ni the best .

Dogo mmoja naona anakitu kama hiki sema hatoki tu na kama huyu dogo asipotoka basi kumpta mtu kama Ngwair tena ndo itakuwa miaka 100
 
Back
Top Bottom