Miaka mitatu ya Rais Samia hamna hata flyover moja?

Miaka mitatu ya Rais Samia hamna hata flyover moja?

Kwa kweli flyovers zaidi zinahitajika, jam bado ni tatizo hasa kipindi hiki cha mvua, kuna wakati mtu anatamani gari aliache kwenye foleni ashuke.
 
Kwahy ulitaka tuseme samia anamalizia awamu ya tano.? Hakuna kitu kinachoitwa kumalizia muhula, muhula n rais, kila rais na muhula wake na sio vinginevyo.
kama ni hivyo wangebadili na ilani kabisa, wanajaribu kutenga na yale yaliyofanyika katika enzi za bwana yule
 
Back
Top Bottom