Miaka mitatu ya Rais Samia hamna hata flyover moja?

Miaka mitatu ya Rais Samia hamna hata flyover moja?

Wapinzani wa Senegal siyo wasaliti wa nchi kama hawa wa Tanzania.

# Lisu tutashitakiwa MIGA tukidai kodi kwenye madini yetu.

# tukichimba bwawa la umeme mvua haitanyesha tena na miti millioni 3 itakatwa hivyo tutatengwa kimataifa.
 
Mbona zipo , Uhasibu ipo na inafanya kazi , mataa ya changombe ipo na inafanya kazi flyover ni vitu vidogo sana kwenye maendeleo ya nchi . Ni pesa ndogo mno kuipa umuhimu kiasi hicho
 
Mbona zipo , Uhasibu ipo na inafanya kazi , mataa ya changombe ipo na inafanya kazi flyover ni vitu vidogo sana kwenye maendeleo ya nchi . Ni pesa ndogo mno kuipa umuhimu kiasi hicho
Hizo ni za ilani ya 2015- 2020


Za ilani ya 2020 - 2025 ziko wapi?
 
Hizo ni za ilani ya 2015- 2020


Za ilani ya 2020 - 2025 ziko wapi?
Kama huu ujenzi ni ila ni ya 2015-2020 naomba screenshot au Leta kipande cha ilani ya 2015-2020 inayosema itajenga fly over uhasibu na mataa ya veta au daraja la shaurimoyo hapo bandarini puma .

Au njoo na udhibitisho wowote kuonesha hizo flyover alizojenga Samia ni ilani uliyoitaja hapo juu.
 
Huyo aliyewaambia fly over ndo maendeleo aliwajaza ujinga, hujaona alivo uprage majengo ya shule ambayo yalikua kama mabanda ya kuku, raisi samia kafanya mengi tu
Ni raisi gani ambaye hakufanya mengi?nyinyi machawa akili zenu ni kama za ngedere
 
Flyover?
Miaka zaidi ya 60 kuna watu hawana chakula, watoto shule tabu
Hela zinapigwa kama hakuna serikali halafu unawaza flyover daa
Lia na ajira na maendeleo mengine na muache wizi maana ripoti ya mkaguzi inaleta ukakasi
 
Jamaa alikuwa na kipaji cha uongo na watu wakamuamini,mambo yaliyokwisha wekwa sawa yote alidai kayafanya yeye tena bila aibu.
 
Ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa wapi? Mbona yaliyoandikwa kwenye ilani hiyo ya kurasa 303 hayaonekani kutekelezwa? Mfano ilani hiyo imetaja flyover kibao ikiwemo pale Mwenge mbona haijengwi?

Basi kama lengo la Rais Samia ni kuendeleza tu mazuri ya awamu ya tano basi kulikuwa hamna haja ya kuandika makurasa 303 kwenye ilani, badala yake wangeandika tu msitari mmoja tu kwamba 2020 - 2025 ni kukamilisha miradi ya Magufuli.
Kwani kunasiku mama ameandaa ilani nakupiga kampeni?
Naona umechanganya mambo
 
Flyover?
Miaka zaidi ya 60 kuna watu hawana chakula, watoto shule tabu
Hela zinapigwa kama hakuna serikali halafu unawaza flyover daa
Lia na ajira na maendeleo mengine na muache wizi maana ripoti ya mkaguzi inaleta ukakasi
Inaleta ukakasi kama niubwabwa basi umeingia vumbi na kitumbua kuingia mchanga
 
Maendeleo sio Mkoa mmoja tu.... Mama anajaribu kubalance na watu wa mikoani nao wale jasho la kodi yao...Awamu ya 5 kodi ilikusanywa Tz ikawa inatumika kwa % kubwa Dar na Chato....Sasa tulieni na mikoa mingine tule kodi zenu....uku mabarabara ya Lami ndo yameanza kijengwa, Mastand ndo tunaona yanajengwa, masoko yaliyoenda shule yanajengwa....Tulieni ivoivo
 
Point

Wamekaza kupigia kelel miradi ya Magufuli wao jipya hawana hata kama ni muendelezo lakini chao cha kuendelezwa na ajaye kitakuwa kipi
 
Ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa wapi? Mbona yaliyoandikwa kwenye ilani hiyo ya kurasa 303 hayaonekani kutekelezwa? Mfano ilani hiyo imetaja flyover kibao ikiwemo pale Mwenge mbona haijengwi?

Basi kama lengo la Rais Samia ni kuendeleza tu mazuri ya awamu ya tano basi kulikuwa hamna haja ya kuandika makurasa 303 kwenye ilani, badala yake wangeandika tu msitari mmoja tu kwamba 2020 - 2025 ni kukamilisha miradi ya Magufuli.
duh kwahiyo wewe flyover ndio unakiona kitu muhimu,umeona shule alizojenga? hospitali,vifaa vya mahospitali,we acha ujinga
 
Maendeleo sio Mkoa mmoja tu.... Mama anajaribu kubalance na watu wa mikoani nao wale jasho la kodi yao...Awamu ya 5 kodi ilikusanywa Tz ikawa inatumika kwa % kubwa Dar na Chato....Sasa tulieni na mikoa mingine tule kodi zenu....uku mabarabara ya Lami ndo yameanza kijengwa, Mastand ndo tunaona yanajengwa, masoko yaliyoenda shule yanajengwa....Tulieni ivoivo

Wapi huko?
 
Back
Top Bottom