kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
Pole. Pamoja na ushauri wote ulioupata nakushauri pia uende kanisani uombewe. You never know, may be God has allowed it for a reason. Usikate tamaa, kuna watu walipata watoto baada ya muda mrefu wa ndoa. Miaka 3 mbona kidogo aiseee. Kwenda nje ya ndoa kutakuletea majuto ya milele mpaka siku unaenda kaburini. VIPI KAMA MKEO NAE AKISEMA ATOKE NJE YA NDOA ILI APATE MTOTO? Hiyo ndoa itabaki salama.
unaweza toka nje ya ndoa na bado usipate mtoto na hata akipatikana utajuaje ni wa kwako maana ni nje ya ndoa...
unaweza toka nje ya ndoa na bado usipate mtoto na hata akipatikana utajuaje ni wa kwako maana ni nje ya ndoa...