LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 121
Najivunia kuzaliwa kabla ya mapinduzi ya teknolojia ya simu za mkononi/mitandao ya kijamii kwa ujumla.
FACTS
• 70% of Tanzania population ni vijana under 24yrs.
• Nguvu kazi ya taifa ni vijana (40m)
• Ukosefu wa ajira bado upo
• Over 40m people use mobile phone
• Kila kijana anataka mafanikio.
BETTING IS A NEW CANCER IN TZ
Tangu 2014-2016 Betting company zimekusanya OVER 30BILLION tsh
• Nguvu ya matangazo ni kubwa
• Ushawishi ushameza vijana wengi
Sasa basi
Hili tabaka lisilo na kipato cha uhakika limeshamezwa na hii addiction.
vijana washaingia kwenye future of permanent credit crisis.
KINACHOFUATA.
• Depression
• Violence
• Corruption
• Strong unemployment
Naisikitikia nchi yangu.
UTAKUA MJINGA WA KUTUPWA KWA KUTEGEMEA MAFANIKIO KUPITIA KAMALI
FACTS
• 70% of Tanzania population ni vijana under 24yrs.
• Nguvu kazi ya taifa ni vijana (40m)
• Ukosefu wa ajira bado upo
• Over 40m people use mobile phone
• Kila kijana anataka mafanikio.
BETTING IS A NEW CANCER IN TZ
Tangu 2014-2016 Betting company zimekusanya OVER 30BILLION tsh
• Nguvu ya matangazo ni kubwa
• Ushawishi ushameza vijana wengi
Sasa basi
Hili tabaka lisilo na kipato cha uhakika limeshamezwa na hii addiction.
vijana washaingia kwenye future of permanent credit crisis.
KINACHOFUATA.
• Depression
• Violence
• Corruption
• Strong unemployment
Naisikitikia nchi yangu.
UTAKUA MJINGA WA KUTUPWA KWA KUTEGEMEA MAFANIKIO KUPITIA KAMALI