Mkuu mijajadala hapa jukwaani siku zote huwa ya upande mmoja na wala hatuwezi kulizuia suala hilo, maana wanajamvi watatoa ushauri kulingana mada husika, hatuwezi kusubiri upande wa pili maana twajua hautakuja hapa ili kukanushaNaona uelekeo wa mjadala uko katika kumhukumu na kumuona huyo dada ndo alikuwa Msaliti na ya kwamba anastahili hiyo mitihani anayo pitia Kwa sasa! Lakini Mimi Kwa mtazamo wangu naona siyo Sawa kumhukumu huyo dada unless tungeweza kupata ukweli toka pande zote husika, pia jamani Kwenye mahusiano ya kimapenzi kuachana ni jambo la kawaida wala siyo big issue, wanaachana wanandoa ambao wanatambulika kisheria sembuse hayo mahusiano yasiyo rasmi? Hayo yalitokea Na wengine huamini kuwa pengine haikupangwa wawe wanandoa!
Analaumiwa dada kwa kuwa mtoa mada anatuhumiwa kuwa ni mchawi baada ya mambo yake kuharibikaNaona uelekeo wa mjadala uko katika kumhukumu na kumuona huyo dada ndo alikuwa Msaliti na ya kwamba anastahili hiyo mitihani anayo pitia Kwa sasa! Lakini Mimi Kwa mtazamo wangu naona siyo Sawa kumhukumu huyo dada unless tungeweza kupata ukweli toka pande zote husika, pia jamani Kwenye mahusiano ya kimapenzi kuachana ni jambo la kawaida wala siyo big issue, wanaachana wanandoa ambao wanatambulika kisheria sembuse hayo mahusiano yasiyo rasmi? Hayo yalitokea Na wengine huamini kuwa pengine haikupangwa wawe wanandoa!
Nimeshtuka sana wakuu na pia nimekosa raha, kwa sababu sina kabisa
mambo ya kishirikina.
Ni miaka mingi sasa imepita toka nimchumbie yule binti, si hivyo tu nilimlipia
ada ya chuo baada ya wazazi wake kushindwa, tena nilijibana kwelikweli kwani
nilitegemea atakuwa mama wa watoto wangu.
Tatizo lilikuja kujitokeza alipopata kazi, kuna mwarabu koko aliingilia kati uhusiano wetu
na kumnunulia gari la kutembelea. Kwa kifupi mimi nikafutwa kwenye himaya yake.
Nilipoulizia inakuwaje? Nikaambiwa nipige hesabu gharama zangu nirudishiwe,
wakuu sikudai chochote mpaka hii leo!
Juzi nimepigiwa simu na mdogo wake akiniomba kama kuna kitu nimefanya basi
nimsamehe dada yake kwani anateseka sana. Nilijaribu sana kumuuliza kimetokea nini
hakunijibu ameishia kulia tu!
Jana baada ya kufanya uchunguzi wa kina ndipo nikagundua kuwa yule binti kwa sasa
haoni na amepofuka kabisa macho yake, si hivyo tu ndoa yake na yule mwarabu imevunjika
baada ya tatizo hilo. Kinachonikera ni kuwa ndugu wote wanaamini kuwa mimi ndie
niliyemroga.
Sasa Toka mwaka 2006 mpaka leo mbona muda mrefu umepita? Mimi nilishamsahau
huyu binti kwa alichonifanyia na kwa sasa nimeoa. INANIUMA SANA WADAU.
Mh!Ungefanya mahafali mkuu kushangilia kupofuka na kuachika kwake ili umalizie kuonekana kigagula ndio hao walifurahia ndugu yao kuwa na mwarabu koko na kukuacha maana walijua wataneemeka kupitia muungano wa gegedeo la mwarabu koko na papuchi la ndugu yao