Mo pal-mo
Senior Member
- Jan 16, 2021
- 176
- 243
Natumaini mu buheri wa afya wanajukwaa!
Baada ya kuhitimu chuo miaka michache iliyopita, nilikuja Kahama mjini mkoa wa Shinyanga kupambana. Miaka inazidi kukatika huu mwaka wa pili sasa lakini bado mbele naona giza. Nimetafakari nikagundua kuwa, bado sijatengeneza marafiki ambao huenda kupitia wao naweza kupata mwanga.
Nimejitokeza hapa jukwaani nikitafuta marafiki ndani na nje ya Kahama, ambao tunaweza kushauriana pamoja na kupeana mbinu za kukabiliana na maisha zikiwemo na connection mbalimbali.
Natanguliza shukrani
Baada ya kuhitimu chuo miaka michache iliyopita, nilikuja Kahama mjini mkoa wa Shinyanga kupambana. Miaka inazidi kukatika huu mwaka wa pili sasa lakini bado mbele naona giza. Nimetafakari nikagundua kuwa, bado sijatengeneza marafiki ambao huenda kupitia wao naweza kupata mwanga.
Nimejitokeza hapa jukwaani nikitafuta marafiki ndani na nje ya Kahama, ambao tunaweza kushauriana pamoja na kupeana mbinu za kukabiliana na maisha zikiwemo na connection mbalimbali.
Natanguliza shukrani