acha kuamini kila ujingakwa hiyo hiyo simu na jf ni propanganda au ni ujinga unaofikiri
Yani miaka billion 3 hata ukidanganywa inabidi tu ukubali,maana miaka 200 tu akili inavurugwa...Sayansi za miaka bilioni 3 nyuma zinatusaidia nini leo?
Naona mada yako inaakisi jina lako kabisaaaHuwezi kukubali ila kubali sababu sayansi ndio imekufikisha hapa unatumia JF.
Solar system tunayoisoma leo ilikuwa tofauti miaka bilioni 3.8 kabla ya dunia tuliyopo. DUNIA ilijikuta baada ya mabadiliko ya kianga kukumbwa na meteor zilizobadilisha muonekano wa solar system.
View attachment 2483162
Kiufupi tuite kwa ujumla mawe, mawe makubwa ambayo yalikuja kubadilisha sayari nyingi zilizopo kama kila moja tukianza kuleza tutajaza JF.
Miaka bilion 3.8 solar system ilikuwa sio pana
View attachment 2483164
ukilanganisha na leo. sababu inayopelekea kutanuka ni mabadiliko ya umri wa jua unavozidi kuishi mpaka utakopofikia tamati.
miaka bilion5 huko mbele jua litakapo kuwa linaishiwa nguvu na kuwa red star basi sayari yetu dunia itakuwa karibu na jua na ukanda ambao unaitwa habitable zone yani unaweza kuishi kiumbe kwa mazingira yoyote utakuwa umesogea kufikia uranus.
View attachment 2483168
Picha ya iliyofanyiwa tafiti kulingana na chunguzi katika mfano wa taswira.
Napenda masuala ya space na space exploration ila muda mwingine wanatupiga kamba. Eti maji ya duniani yaliletwa na asteroids ila hilo bado si jibu hicho kimondo kiliyatoa wapiHuwezi kukubali ila kubali sababu sayansi ndio imekufikisha hapa unatumia JF.
Solar system tunayoisoma leo ilikuwa tofauti miaka bilioni 3.8 kabla ya dunia tuliyopo. DUNIA ilijikuta baada ya mabadiliko ya kianga kukumbwa na meteor zilizobadilisha muonekano wa solar system.
View attachment 2483162
Kiufupi tuite kwa ujumla mawe, mawe makubwa ambayo yalikuja kubadilisha sayari nyingi zilizopo kama kila moja tukianza kuleza tutajaza JF.
Miaka bilion 3.8 solar system ilikuwa sio pana
View attachment 2483164
ukilanganisha na leo. sababu inayopelekea kutanuka ni mabadiliko ya umri wa jua unavozidi kuishi mpaka utakopofikia tamati.
miaka bilion5 huko mbele jua litakapo kuwa linaishiwa nguvu na kuwa red star basi sayari yetu dunia itakuwa karibu na jua na ukanda ambao unaitwa habitable zone yani unaweza kuishi kiumbe kwa mazingira yoyote utakuwa umesogea kufikia uranus.
View attachment 2483168
Picha ya iliyofanyiwa tafiti kulingana na chunguzi katika mfano wa taswira.
ni kweli kabisa siwezi pinga.kuna element za chemical azikuwa ukanda wa anga letu ndio maana unaweza kusikia kuna astereod zenye tani za gold kuliko iliyopo dunianiNapenda masuala ya space na space exploration ila muda mwingine wanatupiga kamba. Eti maji ya duniani yaliletwa na asteroids ila hilo bado si jibu hicho kimondo kiliyatoa wapi
Sasa hayo maji yalitoka wapi?ni kweli kabisa siwezi pinga.kuna element za chemical azikuwa ukanda wa anga letu ndio maana unaweza kusikia kuna astereod zenye tani za gold kuliko iliyopo duniani
Watu wa unyumbulifu)evolution ni Kama walokole kwenye Imani,evolution ni Imani ambayo ni nadra kutumia akili,yote kukwepa uwepo wa mungu muumba wa kila kitu
Still hujanieleza hayo maji yaliyotengenexa barafu yalitoka wapkuna ukanda wa Kuiper Belt ambao una mamilioni ya theluji ziliganda zimechangamana na asterionView attachment 2483308View attachment 2483309