Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,829
- 5,270
Brand nyingi zinazotumia mfumo endeshi wa Android hazina tofauti sana, zaidi ya mabadiliko (updates) kwenye hardware, mimi natumia Samsung Galaxy S2 ni toleo la 2011 miaka 7 nyuma, lakini nimeweza kui-root n natumia Lineages OS 7.1.2 Nougat.
Ina 1Gb RAM, storage ni 16gb na Processor ni 1.2Ghz dual processor, na update ya Oreo(8) ikiwa tayari nita-update pia.
Ukweli specification zake haziko tofauti sana na simu nyingi zinazotoka wakati huu, kwangu bado ni simu bora inayotumia mfumo wa Android.
Kwa hiyo huwa sioni cha ajabu sana, labda kwenye simu zenye Os tofauti kama iphone.
Ina 1Gb RAM, storage ni 16gb na Processor ni 1.2Ghz dual processor, na update ya Oreo(8) ikiwa tayari nita-update pia.
Ukweli specification zake haziko tofauti sana na simu nyingi zinazotoka wakati huu, kwangu bado ni simu bora inayotumia mfumo wa Android.
Kwa hiyo huwa sioni cha ajabu sana, labda kwenye simu zenye Os tofauti kama iphone.