Miaka 54 ya uhuru lakini mambo si mambo

Miaka 54 ya uhuru lakini mambo si mambo

gspain

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,942
Reaction score
6,133
Habari ndugu zangu wa JF,

Me ni mgeni kwa maana ya kuandika uzi lkn ni mkongwe kwa kufatilia jf naomba kwa akili ya chini kabsa tutafakari haya kwa miaka 54 ua uhuru.

Ukienda shule kuna walimu ila hakuna elim hospital kuna wauguzi lkn hakuna tiba, mashambani kuna wakulima ila hakuna kilimo, airports kuna viwanja ila ndege hatuna, mahakamani kuna sheria lkn hakuna haki, polisi kuna askari lkn hakuna usalama, maofisini kuna watumishi lkn hakuna huduma, madukani kuna bidhaa lkn pesa hatuna, ukisafiri njia zipo ila barabara ndo hakuna. Hata haya nayo hatujiongezi, bado tunahitaji darubini kuona?

Ama calculator kung'amua? It doesn't need a rocket science to understand, sawa watanzania akili hatuna,hata macho jamaniii?
 
Bora ungeendelea kuwa mkongwe wa kusoma tu!
 
nlijua jingalao utakua wa kwanza kureply coz ukwel unauma this tym wananch wamegoma..
 
Where have you been? Una vitu chanya katika kuchangia ukombozi. Funguka na sambaza kwingne zaidi
 
tubko pamoja mkuu, mabadiliko: lazma
 
Nia tunayo,uwezo tunao na sababu tunazo za kumchagua MAGUFULI, HAPA_KAZI_TU!
 
Viroba vinasumbua sana. Hawa mnaosema kuwa wanakos ajira pamoja na kusoma kwao wamepata wapi elimu unayosema hakuna?
 
Vijana wa Lumumba bana,Povu linawatoka.Eti kila kitu Hapa Kazi tu,ukiwafwatilia hata wao wanataabika isipokuwa wamekunywa maji ya Bendera.Hii nchi haibadiliki kwa ajili ya vijana kama hawa eti Hapa Kazi Tu hata haya hawana.

Mabadiliko lazima,na kwa kuwa CCM imeshindwa chini ya mfumo wao miaka 50 sasa,wapishe wengine.
 
Habari ndugu zangu wa jf,
me ni mgeni kwa maana ya kuandika uzi lkn ni mkongwe kwa kufatilia jf naomba kwa akili ya chini kabsa tutafakari haya kwa miaka 54 ua uhuru....
Ukienda shule kuna walimu ila hakuna elimu,
hospital kuna wauguzi lkn hakuna tiba,
mashambani kuna wakulima ila hakuna kilimo,
airports kuna viwanja ila ndege hatuna,
mahakamani kuna sheria lkn hakuna haki,
polisi kuna askari lkn hakuna usalama,
maofisini kuna watumishi lkn hakuna huduma,
madukani kuna bidhaa lkn pesa hatuna,
ukisafiri njia zipo ila barabara ndo hakuna........
Hata haya nayo hatujiongezi???
bado tunahitaji darubini kuona??
Ama calculator kung'amua??
It doesn't need a rocket science to understand...
sawa watz akili hatuna,hata macho jamaniii?!!

Kama mahakamani hakuna haki mbona nyie mnataka wenye ule ushahidi fulani waende? sasa mnawatuma kwa makusudi huku mkijua hawatapata haki ama? Wenzako wote wana imani na mahakama umebaki wewe.
Kama barabara hakuna mbona mnapita na Magari madogo hadi vijijini kufanya kampeni? Tatizo lako darubini yako ina uwezo mdogo wa kuona yaani focus capacity ni ndogo. Nunua ingine huna hoja.
 
Duuuu! Kweli umenifumbua kuliko kawaida ndugu yangu. Ngoja MAGAMBA waje uone walivyojazwa ufisi kichwani. Wao hawaoni hayo kabisi.
 
serikali hasa ya awamu ya nne imefanya mambo ya kawaida sana huku ikiwaacha wananchi taabani hakuna ajira elimu bora wakulima wanakopwa mazao kifupi watz kama yatima tu kila mtu kulalamika
 
Kama mahakamani hakuna haki mbona nyie mnataka wenye ule ushahidi fulani waende? sasa mnawatuma kwa makusudi huku mkijua hawatapata haki ama? Wenzako wote wana imani na mahakama umebaki wewe.
Kama barabara hakuna mbona mnapita na Magari madogo hadi vijijini kufanya kampeni? Tatizo lako darubini yako ina uwezo mdogo wa kuona yaani focus capacity ni ndogo. Nunua ingine huna hoja.
Nadhani imekurupuka. Ungepitia kwa makini uzi wa mleta uzi ingeelewa zaidi. Ila kwa kuwa ndivyo ulivyofundishwa na huo ndo msingi wako toka shuleni, SIONI AJABU SANA!
 
Nia tunayo,uwezo tunao na sababu tunazo za kumchagua MAGUFULI, HAPA_KAZI_TU!

hata huyo magufuli anakiri anaitaji mabadiliko alichosahau ni kua anatakiwa kuyapata nje ya ccm kama alivyowaasa Nyerere na ndio maana kwenye mabango yake kaandka chagua magufuli na si ccm anajua haina uwezo
 
Kama mahakamani hakuna haki mbona nyie mnataka wenye ule ushahidi fulani waende? sasa mnawatuma kwa makusudi huku mkijua hawatapata haki ama? Wenzako wote wana imani na mahakama umebaki wewe.
Kama barabara hakuna mbona mnapita na Magari madogo hadi vijijini kufanya kampeni? Tatizo lako darubini yako ina uwezo mdogo wa kuona yaani focus capacity ni ndogo. Nunua ingine huna hoja.
fisadi wameharibu mahakama kwa rushwa halafu wanawaambia wananchi waende mahakamani au wafunge mdomo kuwazuia wasiingie ikulu
 
Viroba vinasumbua sana. Hawa mnaosema kuwa wanakos ajira pamoja na kusoma kwao wamepata wapi elimu unayosema hakuna?
Ni kweli kabisa wamepata elimu lkn WAMEPATA BORA ELIMU TU ILI KUFUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE kwa watoto wa WAPIGA KURA. Na miongoni mwao ni pamoja na wewe USIYEJITAMBUA HATA KIDOGO.
 
Viroba vinasumbua sana. Hawa mnaosema kuwa wanakos ajira pamoja na kusoma kwao wamepata wapi elimu unayosema hakuna?

umeambia elimu ipo ila sio bora ni bora elim chumba kimoja cha darasa wanafunzi 250 foleni masaa5 hospital dawa hamna kama huyajui hayo labda unaishi tz tofauti ya yetu
 
Habari ndugu zangu wa jf,
me ni mgeni kwa maana ya kuandika uzi lkn ni mkongwe kwa kufatilia jf naomba kwa akili ya chini kabsa tutafakari haya kwa miaka 54 ua uhuru....
Ukienda shule kuna walimu ila hakuna elimu,
hospital kuna wauguzi lkn hakuna tiba,
mashambani kuna wakulima ila hakuna kilimo,
airports kuna viwanja ila ndege hatuna,
mahakamani kuna sheria lkn hakuna haki,
polisi kuna askari lkn hakuna usalama,
maofisini kuna watumishi lkn hakuna huduma,
madukani kuna bidhaa lkn pesa hatuna,
ukisafiri njia zipo ila barabara ndo hakuna........
Hata haya nayo hatujiongezi???
bado tunahitaji darubini kuona??
Ama calculator kung'amua??
It doesn't need a rocket science to understand...
sawa watz akili hatuna,hata macho jamaniii?!!

Hivi na uchumi nao ulisoma wapi rafiki? Kama samaki afuatavyo mkondo wa maji ndivyo na bidhaa sokoni hufuata wanunuzi. Hivi darubini yako haioni vitu vilivyojazana madukani huku wauzaji kila siku wakipanga foleni airport kwenda Singapore na dubai kuleta vingine? Hivi wakivileta huwa wanamuuzia nani? Hivi huoni shamrashamra za magraduation na maharusi ya bei mbaya? Hivi unadhani wanatumia nini kama siyo pesa? Tatizo liko kwako kwamba hukutumia fursa tele kwa sababu una shida ya darubini yako kwamba haina focus nzuri. Ama huna jitihada unasubiri pesa zijazwe mfukoni kwako. Punguza kulala usingizi, sasa amka, changamka, jichanganye, pambana. Hata ulaya baadhi ya wasomi wanaosha masufuria. Kuna factors nyingi sana za ku analyse kwa nini uko au tuko hivi tulivyo. Lipi tumechangia mimi na wewe na kipi kimechangiwa na yule na wale. Hakuna serikali duniani inayokuja eti na majawabu. Serikali inaweka mazingira halafu wewe na mimi tunatakiwa kuyaona na kuyatendea haki. "Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa". "Millions saw apple fall but only newton asked why". Hivi ulikuwa kundi gani enzi hizo?!
 
Back
Top Bottom