gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,942
- 6,133
Habari ndugu zangu wa JF,
Me ni mgeni kwa maana ya kuandika uzi lkn ni mkongwe kwa kufatilia jf naomba kwa akili ya chini kabsa tutafakari haya kwa miaka 54 ua uhuru.
Ukienda shule kuna walimu ila hakuna elim hospital kuna wauguzi lkn hakuna tiba, mashambani kuna wakulima ila hakuna kilimo, airports kuna viwanja ila ndege hatuna, mahakamani kuna sheria lkn hakuna haki, polisi kuna askari lkn hakuna usalama, maofisini kuna watumishi lkn hakuna huduma, madukani kuna bidhaa lkn pesa hatuna, ukisafiri njia zipo ila barabara ndo hakuna. Hata haya nayo hatujiongezi, bado tunahitaji darubini kuona?
Ama calculator kung'amua? It doesn't need a rocket science to understand, sawa watanzania akili hatuna,hata macho jamaniii?
Me ni mgeni kwa maana ya kuandika uzi lkn ni mkongwe kwa kufatilia jf naomba kwa akili ya chini kabsa tutafakari haya kwa miaka 54 ua uhuru.
Ukienda shule kuna walimu ila hakuna elim hospital kuna wauguzi lkn hakuna tiba, mashambani kuna wakulima ila hakuna kilimo, airports kuna viwanja ila ndege hatuna, mahakamani kuna sheria lkn hakuna haki, polisi kuna askari lkn hakuna usalama, maofisini kuna watumishi lkn hakuna huduma, madukani kuna bidhaa lkn pesa hatuna, ukisafiri njia zipo ila barabara ndo hakuna. Hata haya nayo hatujiongezi, bado tunahitaji darubini kuona?
Ama calculator kung'amua? It doesn't need a rocket science to understand, sawa watanzania akili hatuna,hata macho jamaniii?