Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kwa wakazi wa Arusha na vitongoji vyake, kwa heshima na taazima napenda kuchukua nafasi hii kuwa karibisha leo katika mkesha kuazimisha miaka 50 ya TANGANYIKA nooo Tanzania bara kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid...
Ulizi utakuwa wa kufa mtu hatuwaogopi Al Shabaab wala kile kijikundi cha 2858....
Asanteni sana ila ikumbukwe binafsi sitakuwepo.....
Ulizi utakuwa wa kufa mtu hatuwaogopi Al Shabaab wala kile kijikundi cha 2858....
Asanteni sana ila ikumbukwe binafsi sitakuwepo.....