commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Habari wadau,naomba mwenye kuelewa hili anisaidie kuelewa,ni kawaida vyombo vya vya bara(Tanganyika)magazeti,redio na televisheni kurusha matangazo yake visiwani zanzibar na pia magazeti kuuzwa pande zote mbili za nchi.Lakini inakuwaje TELEVISHENI ZANZIBAR hairushi matangazo yake huku bara? naomba kuwakilisha!