Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wana JF!
Namshukuru Mungu kwa kutujaalia uzima na afya njema! Sifa na Utukufu ni vyake yeye!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya pekee mwanetu Junior hapo kwenye avatar! Mungu mlinde na umpe uhai hata naye aje asherehekee kama mimi leo!
Wapendwa wana JF napenda kuwashirikisha kuwa ifikapo tarehe 4 April 2010 mimi na shemeji/wifi yenu tutatimiza miaka 5 ya kuishi kama Mke na mume!
Miaka 5 sio mingi ni kweli lakini pia ni mingi katika maisha ya ndoa; Wangapi hawajafika? na siwafichi it was not a smooth ride always! Ila kwa msaada wa Mungu tumepita katika milima na mabonde na leo hii kwa ushujaa tunafurahi kuwa tulivuka na tutavuka yajayo mbele yetu kwa msaada wake yeye atutiaye nguvu! Jina la Bwana Yesu libarikiwe!
Naomba nichukue nafasi hii pia kuwaombeni kila mtu kwa imani yake; Jamani tuziombee ndoa zetu na tuwaombee wanandoa wote; NDOA ndio msingi wa Familia zetu; kuanguka kwake ni anguko la Familia na mmomonyoko wa society yetu! Familia imara zitaleta Watanzania imara wa baadaye na wenye uwezo wa kuijenga nchi yao!
Kwa nini ninaituma leo hii; Nitakuwa mapumziko kuanzia kesho kwangu mimi hii ni Double celebration ; Pasaka na Miaka 5 ya ndoa!
Nawapenda nyote
Mungu awabariki!
Namshukuru Mungu kwa kutujaalia uzima na afya njema! Sifa na Utukufu ni vyake yeye!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya pekee mwanetu Junior hapo kwenye avatar! Mungu mlinde na umpe uhai hata naye aje asherehekee kama mimi leo!
Wapendwa wana JF napenda kuwashirikisha kuwa ifikapo tarehe 4 April 2010 mimi na shemeji/wifi yenu tutatimiza miaka 5 ya kuishi kama Mke na mume!
Miaka 5 sio mingi ni kweli lakini pia ni mingi katika maisha ya ndoa; Wangapi hawajafika? na siwafichi it was not a smooth ride always! Ila kwa msaada wa Mungu tumepita katika milima na mabonde na leo hii kwa ushujaa tunafurahi kuwa tulivuka na tutavuka yajayo mbele yetu kwa msaada wake yeye atutiaye nguvu! Jina la Bwana Yesu libarikiwe!
Naomba nichukue nafasi hii pia kuwaombeni kila mtu kwa imani yake; Jamani tuziombee ndoa zetu na tuwaombee wanandoa wote; NDOA ndio msingi wa Familia zetu; kuanguka kwake ni anguko la Familia na mmomonyoko wa society yetu! Familia imara zitaleta Watanzania imara wa baadaye na wenye uwezo wa kuijenga nchi yao!
Kwa nini ninaituma leo hii; Nitakuwa mapumziko kuanzia kesho kwangu mimi hii ni Double celebration ; Pasaka na Miaka 5 ya ndoa!
Nawapenda nyote
Mungu awabariki!