Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,368
- 7,611
1. EAGT ya Mosses Kulola ilisema Bikira Maria ni Bahasha tuu na hafai kuheshimiwa Kama wafanyavyo wakatoliki. Iweje unataka mke wake aheshimiwe?
2. EAGT ya Mosses Kulola ilisema wakatoliki wanamwabudu PAPA iweje mnataka yeye aenziwe si waumini watasema anaabudiwa?
3. EAGT ya Mosses Kulola ilisema kanisa Katoliki ni "njia ile pana iendayo kuzimu" (kwa sababu ta watu wengi kuelekea humo kufanta ibada) huku ikijitapa kuwa yenyewe ni "njia ile nyembamba iendayo uzimani" (vile walikuwa na Nyumba ndogo za ibada na waumini wachache).
Sasa hapo si EAGT unga LTD ikijaa Mwinjilist ataona imekuwa njia pana. Happy hata mtoa mada utaona kuwa EAGT ishakuwa "njia pana iendayo kuzimu".
Mrudi Kanisa Katoliki.
2. EAGT ya Mosses Kulola ilisema wakatoliki wanamwabudu PAPA iweje mnataka yeye aenziwe si waumini watasema anaabudiwa?
3. EAGT ya Mosses Kulola ilisema kanisa Katoliki ni "njia ile pana iendayo kuzimu" (kwa sababu ta watu wengi kuelekea humo kufanta ibada) huku ikijitapa kuwa yenyewe ni "njia ile nyembamba iendayo uzimani" (vile walikuwa na Nyumba ndogo za ibada na waumini wachache).
Sasa hapo si EAGT unga LTD ikijaa Mwinjilist ataona imekuwa njia pana. Happy hata mtoa mada utaona kuwa EAGT ishakuwa "njia pana iendayo kuzimu".
Mrudi Kanisa Katoliki.