Miaka 40 ya World Vision Tanzania - Hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa Bodi

Kugosola

Senior Member
Aug 7, 2021
191
261
Leo hii tarehe 2 Septemba, 2021 Shirika lisilo la Kiserikali World Vission limeazimisha miaka 40 ya utendaji kazi yake hapa Tanzania ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu. Kwakweli naomba na mimi niungane na Watanzania wengine kuwapongeza World Vission Tazania kwa kazi nzuri waliyoifanya hapa kwetu ndani ya hiyo niaka 40

Nikiwa nawapongeza sana kwa hotuba zao nzuri; Mkurugenzi Mkuu wa World Vission pamoja na Ummy Mwalimu, ninamshangaa sana Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya World Vission Tanzania kwa hotuba yake iliyokosa weledi.

Hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa na mapungufu mengi sana kiasi kwamba kwa level kama yake asingediriki kutoa hotuba kama hiyo kwenye mkutano wa high level kama huo;

hakuzigatia weledi ktk usomaji wa hiyo hotuba, alikuwa anasoma harakaharaka tu bila ya hata kuangalia wajumbe, alikuwa anasona kama anakimbizwa - public speaking kwake ni shida kubwa

Katika hotuba yake hajaweza kuainisha vizuri miradi iliyowaifanywa na World Vission hapa Tanzani ndani ya miaka 40 - hii ni weakness kubwa sana

Kwa miradi michache aliyoiainisha hajaonyesha gharama ya hiyo miradi, huku ni kukosa weledi

Hata kwenye hotuba yake imekosa mpangilio, hajaonyesha changamoto zao hata matizamio ya badae

Hii inaweza kuthibitisha kuwa malalamiko yaliyowaitolewa na wajumbe humu JF kwamba huyu mtu amekuwa akipata kazi kiujanjaujanja inawezekana ikawa kweli, maana nilivyomsikia akiisoma hiyo hotuba ni vichekesho!!

Mwisho, ningemshauli kuwa asipende sana kujitangaza kuwa amewaifanya kazi MSD kwasababu kule aliharibu vibaya sana na pia upataji wa hiyo nafasi ilikuwa ni ujanjaujanja tu.

Pia hata huko Bodi ya Korosho aliko sasa watu wanalalamika kuwa amepewa nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha kazi ambayo hajausomea na hakuwai kuifanya, wameachwa watu wenye fani ya Fedha bila sababu yoyote
 
Ile tabia ya kusali kabla ya kazi ningewashauri waache

Wanafiki tu wale,staff siku wakiambiwa donors wanakuja kutembelea ofisini kwao wote wanaacha magari nyumbani na wanakula siku hio chakula cha kawaida kabisa/msosi local kuwazuga donors.Kuna mkoa flani wao wanakula kabisa chakula kwny majani ya mgomba siku donors wakija ili kuwazuga.

Manafiki sana yale majamaa na kusali kwao.
 
Leo hii tarehe 2 Septemba, 2021 Shirika lisilo la Kiserikali World Vission limeazimisha miaka 40 ya utendaji kazi yake hapa Tanzania ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu. Kwakweli naomba na mimi niungane na Watanzania wengine kuwapongeza World Vission Tazania kwa kazi nzuri waliyoifanya hapa kwetu ndani ya hiyo niaka 40

Nikiwa nawapongeza sana kwa hotuba zao nzuri; Mkurugenzi Mkuu wa World Vission pamoja na Ummy Mwalimu, ninamshangaa sana Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya World Vission Tanzania kwa hotuba yake iliyokosa weledi.

Hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa na mapungufu mengi sana kiasi kwamba kwa level kama yake asingediriki kutoa hotuba kama hiyo kwenye mkutano wa high level kama huo;

hakuzigatia weledi ktk usomaji wa hiyo hotuba, alikuwa anasoma harakaharaka tu bila ya hata kuangalia wajumbe, alikuwa anasona kama anakimbizwa - public speaking kwake ni shida kubwa

Katika hotuba yake hajaweza kuainisha vizuri miradi iliyowaifanywa na World Vission hapa Tanzani ndani ya miaka 40 - hii ni weakness kubwa sana

Kwa miradi michache aliyoiainisha hajaonyesha gharama ya hiyo miradi, huku ni kukosa weledi

Hata kwenye hotuba yake imekosa mpangilio, hajaonyesha changamoto zao hata matizamio ya badae

Hii inaweza kuthibitisha kuwa malalamiko yaliyowaitolewa na wajumbe humu JF kwamba huyu mtu amekuwa akipata kazi kiujanjaujanja inawezekana ikawa kweli, maana nilivyomsikia akiisoma hiyo hotuba ni vichekesho!!

Mwisho, ningemshauli kuwa asipende sana kujitangaza kuwa amewaifanya kazi MSD kwasababu kule aliharibu vibaya sana na pia upataji wa hiyo nafasi ilikuwa ni ujanjaujanja tu.

Pia hata huko Bodi ya Korosho aliko sasa watu wanalalamika kuwa amepewa nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha kazi ambayo hajausomea na hakuwai kuifanya, wameachwa watu wenye fani ya Fedha bila sababu yoyote
Leo hii tarehe 2 Septemba, 2021 Shirika lisilo la Kiserikali World Vission limeazimisha miaka 40 ya utendaji kazi yake hapa Tanzania ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu. Kwakweli naomba na mimi niungane na Watanzania wengine kuwapongeza World Vission Tazania kwa kazi nzuri waliyoifanya hapa kwetu ndani ya hiyo niaka 40

Nikiwa nawapongeza sana kwa hotuba zao nzuri; Mkurugenzi Mkuu wa World Vission pamoja na Ummy Mwalimu, ninamshangaa sana Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya World Vission Tanzania kwa hotuba yake iliyokosa weledi.

Hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa na mapungufu mengi sana kiasi kwamba kwa level kama yake asingediriki kutoa hotuba kama hiyo kwenye mkutano wa high level kama huo;

hakuzigatia weledi ktk usomaji wa hiyo hotuba, alikuwa anasoma harakaharaka tu bila ya hata kuangalia wajumbe, alikuwa anasona kama anakimbizwa - public speaking kwake ni shida kubwa

Katika hotuba yake hajaweza kuainisha vizuri miradi iliyowaifanywa na World Vission hapa Tanzani ndani ya miaka 40 - hii ni weakness kubwa sana

Kwa miradi michache aliyoiainisha hajaonyesha gharama ya hiyo miradi, huku ni kukosa weledi

Hata kwenye hotuba yake imekosa mpangilio, hajaonyesha changamoto zao hata matizamio ya badae

Hii inaweza kuthibitisha kuwa malalamiko yaliyowaitolewa na wajumbe humu JF kwamba huyu mtu amekuwa akipata kazi kiujanjaujanja inawezekana ikawa kweli, maana nilivyomsikia akiisoma hiyo hotuba ni vichekesho!!

Mwisho, ningemshauli kuwa asipende sana kujitangaza kuwa amewaifanya kazi MSD kwasababu kule aliharibu vibaya sana na pia upataji wa hiyo nafasi ilikuwa ni ujanjaujanja tu.

Pia hata huko Bodi ya Korosho aliko sasa watu wanalalamika kuwa amepewa nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha kazi ambayo hajausomea na hakuwai kuifanya, wameachwa watu wenye fani ya Fedha bila sababu yoyote
Hawa walikuwa mafisadi ya kutisha. Kama WV wangeachia angalao 50% zikafanya kazi tarajiwa tungekuwa sehemu ya neema zaidi.
 
Wale ni majambazi wà ligi Daraja la Kwanza.
World Vision walikwenda Haiti. Kule Haiti wanaamini voodoo pamoja na Ukristu. Walawaambia Wahaiti,"Kwa mini ninyi Wanaiti mnakuwa mafuska Sana na hii dini yenu ya voodoo. Soo vizuri namna hii. Acheni Mambo hsya au Mungu atawaadhibu. Acheni ufuska au mtaadhibiwa na Mungu.
Colabo,nakwambia Vatican,CIA na World Vision wakashirikiana kupeleka AIDS Haiti. Nonaposema "AIDS",nina màna ukimwi,siyo msaads.
CIA Director,sijui alikuwa nani wakati ule. William Colby,nadhani,alipiga kambi katika Dominican Republic,ambayo inapakana Haiti. CIA Chief alikuwa anakaa katils Dominican monastery amevàa Dominican monk's garb.
AIDS imepelekwa na meli kutoka Florida,imepakiwa Florida latika container clearly marked "World Vision".
Why do I waist time writing this. No one will believe me.
Hakuna maana kujidai mjanja halafu kudukuliwa wiki ijayo.
 
Leo hii tarehe 2 Septemba, 2021 Shirika lisilo la Kiserikali World Vission limeazimisha miaka 40 ya utendaji kazi yake hapa Tanzania ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu. Kwakweli naomba na mimi niungane na Watanzania wengine kuwapongeza World Vission Tazania kwa kazi nzuri waliyoifanya hapa kwetu ndani ya hiyo niaka 40

Nikiwa nawapongeza sana kwa hotuba zao nzuri; Mkurugenzi Mkuu wa World Vission pamoja na Ummy Mwalimu, ninamshangaa sana Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya World Vission Tanzania kwa hotuba yake iliyokosa weledi.

Hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa na mapungufu mengi sana kiasi kwamba kwa level kama yake asingediriki kutoa hotuba kama hiyo kwenye mkutano wa high level kama huo;

hakuzigatia weledi ktk usomaji wa hiyo hotuba, alikuwa anasoma harakaharaka tu bila ya hata kuangalia wajumbe, alikuwa anasona kama anakimbizwa - public speaking kwake ni shida kubwa

Katika hotuba yake hajaweza kuainisha vizuri miradi iliyowaifanywa na World Vission hapa Tanzani ndani ya miaka 40 - hii ni weakness kubwa sana

Kwa miradi michache aliyoiainisha hajaonyesha gharama ya hiyo miradi, huku ni kukosa weledi

Hata kwenye hotuba yake imekosa mpangilio, hajaonyesha changamoto zao hata matizamio ya badae

Hii inaweza kuthibitisha kuwa malalamiko yaliyowaitolewa na wajumbe humu JF kwamba huyu mtu amekuwa akipata kazi kiujanjaujanja inawezekana ikawa kweli, maana nilivyomsikia akiisoma hiyo hotuba ni vichekesho!!

Mwisho, ningemshauli kuwa asipende sana kujitangaza kuwa amewaifanya kazi MSD kwasababu kule aliharibu vibaya sana na pia upataji wa hiyo nafasi ilikuwa ni ujanjaujanja tu.

Pia hata huko Bodi ya Korosho aliko sasa watu wanalalamika kuwa amepewa nafasi ya Ukurugenzi wa Fedha kazi ambayo hajausomea na hakuwai kuifanya, wameachwa watu wenye fani ya Fedha bila sababu yoyote
Wazanzibari tumetengwa kwenye hilo shirika, why?
 
Wale ni majambazi wà ligi Daraja la Kwanza.
World Vision walikwenda Haiti. Kule Haiti wanaamini voodoo pamoja na Ukristu. Walawaambia Wahaiti,"Kwa mini ninyi Wanaiti mnakuwa mafuska Sana na hii dini yenu ya voodoo. Soo vizuri namna hii. Acheni Mambo hsya au Mungu atawaadhibu. Acheni ufuska au mtaadhibiwa na Mungu.
Colabo,nakwambia Vatican,CIA na World Vision wakashirikiana kupeleka AIDS Haiti. Nonaposema "AIDS",nina màna ukimwi,siyo msaads.
CIA Director,sijui alikuwa nani wakati ule. William Colby,nadhani,alipiga kambi katika Dominican Republic,ambayo inapakana Haiti. CIA Chief alikuwa anakaa katils Dominican monastery amevàa Dominican monk's garb.
AIDS imepelekwa na meli kutoka Florida,imepakiwa Florida latika container clearly marked "World Vision".
Why do I waist time writing this. No one will believe me.
Hakuna maana kujidai mjanja halafu kudukuliwa wiki ijayo.
Aiseeeee

Unanikumbusha uandishi wa member aliitwa Ganesh humu ndani kabla hajaverify 😂😂😂😂
 
Wale ni majambazi wà ligi Daraja la Kwanza.
World Vision walikwenda Haiti. Kule Haiti wanaamini voodoo pamoja na Ukristu. Walawaambia Wahaiti,"Kwa mini ninyi Wanaiti mnakuwa mafuska Sana na hii dini yenu ya voodoo. Soo vizuri namna hii. Acheni Mambo hsya au Mungu atawaadhibu. Acheni ufuska au mtaadhibiwa na Mungu.
Colabo,nakwambia Vatican,CIA na World Vision wakashirikiana kupeleka AIDS Haiti. Nonaposema "AIDS",nina màna ukimwi,siyo msaads.
CIA Director,sijui alikuwa nani wakati ule. William Colby,nadhani,alipiga kambi katika Dominican Republic,ambayo inapakana Haiti. CIA Chief alikuwa anakaa katils Dominican monastery amevàa Dominican monk's garb.
AIDS imepelekwa na meli kutoka Florida,imepakiwa Florida latika container clearly marked "World Vision".
Why do I waist time writing this. No one will believe me.
Hakuna maana kujidai mjanja halafu kudukuliwa wiki ijayo.
AIDS ikapelekwa kwa meli?
 
Zile contaminated stuff zilikuwa zinapakiwa Florida kwenye meli kupelekwa Hai
From there(Haiti) ,AIDS ikaja sub-saharan Africa imeletwa na nani,nani maana yake WHO katika chanjo ya smallpox katika miaka ya sabini.
But how can WHO do such a terrible thing,you ask? Wao si ndio wauguzi wa dunia.?
Indeed,why! Lazima ukumbuke there is hysteria kuhusu population ya dunia. Watu wengine wanasema idadi ya watu imezidi. Watu wanasema vita ambayo walikuwa wanaitegemea kurekebisha idadi ya watu duniani imewasikitisha sana. Haikupunguza idadi kwa kufuata matarajio.
 
Back
Top Bottom