- Thread starter
- #21
Ndio maana hata Makamu Mwenyekiti wa Bodi Victoria alipata ujumbe wa Bodi ya World Vission kwa connection wakati kichwani hamna kitu ni upepo tu!!!Posts kwao ni mpaka connection ya nguvu, siyo?
Ndio maana hata Makamu Mwenyekiti wa Bodi Victoria alipata ujumbe wa Bodi ya World Vission kwa connection wakati kichwani hamna kitu ni upepo tu!!!Posts kwao ni mpaka connection ya nguvu, siyo?
Umenena ukweli mkuu,Dah hili shirika lilikuwa zuri na serious likaja vamiwa na wahuni sikuhizi lina hadi sifa ya rushwa
Kwanini?Ukifanya kazi world vision jiandae kuwa maskini mtarajiwa.
Aisee!Wale ni majambazi wà ligi Daraja la Kwanza.
World Vision walikwenda Haiti. Kule Haiti wanaamini voodoo pamoja na Ukristu. Walawaambia Wahaiti,"Kwa mini ninyi Wanaiti mnakuwa mafuska Sana na hii dini yenu ya voodoo. Soo vizuri namna hii. Acheni Mambo hsya au Mungu atawaadhibu. Acheni ufuska au mtaadhibiwa na Mungu.
Colabo,nakwambia Vatican,CIA na World Vision wakashirikiana kupeleka AIDS Haiti. Nonaposema "AIDS",nina màna ukimwi,siyo msaads.
CIA Director,sijui alikuwa nani wakati ule. William Colby,nadhani,alipiga kambi katika Dominican Republic,ambayo inapakana Haiti. CIA Chief alikuwa anakaa katils Dominican monastery amevàa Dominican monk's garb.
AIDS imepelekwa na meli kutoka Florida,imepakiwa Florida latika container clearly marked "World Vision".
Why do I waist time writing this. No one will believe me.
Hakuna maana kujidai mjanja halafu kudukuliwa wiki ijayo.
dada maarufu kwa robbing, hana lolote....ni mtu wa njama njama sanaNdio maana hata Makamu Mwenyekiti wa Bodi Victoria alipata ujumbe wa Bodi ya World Vission kwa connection wakati kichwani hamna kitu ni upepo tu!!!
Inasikitisha sanaUmenena ukweli mkuu,
Pale hupati tenda hata ukidhi vigezo vyote..ni mwendo wa kutanguliza Rushwa tu .
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app