Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,572
Wanabodi tarehe kama ya leo miaka minne iliyopita sitaishau kwenye maisha kwani ni siku niliyofunga ndoa na mke wangu mpendwa mrs Kurunzi nakumbuka ni mwaka mmoja baada ya kuwa member kamili hapa bodini.
Munguu mkuu katika miaka hiyo mnne tumebarikiwa kupata watoto wawili a girl 4yrs and a boy 1.5yrs.
Munguu mkuu katika miaka hiyo mnne tumebarikiwa kupata watoto wawili a girl 4yrs and a boy 1.5yrs.