Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Vijana msiiache no reform no election....
Kama baba yetu alivyotulea na mimi najitahidi kuwapa wanangu zaidiKwa hili Ww ni mfano wa Baba Bora.
Na mfano wa Wanaume wanaohitajika kwenye jamii.
Ilikuwepo hii toka zaman, baba zetu na babu zetu waliwatunza sana watoto hasa wa kiume.
Kuwapa mashamba, na asset nyingne.
Ila hapa katkat, kuna wababa wamesoma wakaelimika, na wao wakasomesha pia .
Ila sasa Kuwarithisha watoto hawana huo mpango,
Wanasema nimekusomesha.(ndio urithi wako🙃🙃🙃)
Elimu hii kuna namna inaweza isimtoe/kumtoa huyo msomi (hata kama ana akili au hana )
Plan A iwepo,
Plan B na C iwepo,
Age is Real bro.
Na pia kabla hujanijibu, hebu tulia na soma tena mtoa mada ametoa hoja gani.
Ndio utagundua pia na kuelewa age ina maana sana kama kuna mambo fulan hayajaenda sawa.
Na ndio maana Kijana wa 20's hawez kudefense namna mwenye 40's atakavyodefense hii hoja...
AGE is REAL deal
Pengne (sijui) in your 20's na ushaur kama huu wa Rorscharch ungeuona na kuufuata mambo yangekuwa mengine (sina uhakika pia).
Ni kweli mkuu. Kuna mifano mingi sana ya rafiki zangu walianza vizuri miaka ile ya 2010 lakini sasa hivi wanapumulia gesi, hali tete.Maisha hayana formula mkuu, mim wakat najitafuta huko mererani kwa marehemu Erasto kuna watu walikuwa wanamiliki mabilioni, ila sasa hawana kitu na kuna watu wazima kwenye 50s ndio wamejipata saivi. Umri ni namba tu unaeza fanikiwa ukiwa mdogo, kijana, mtu mzima au hata uzeeni. Chamsingi nikuendelea kupambana.
N.B JAY Z AMEPATA MTOTO WA KWANZA AKIWA NA 40 same to J Lo na Mariah Carey.
True.Ni kweli mkuu. Kuna mifano mingi sana ya rafiki zangu walianza vizuri miaka ile ya 2010 lakini sasa hivi wanapumulia gesi, hali tete.
Maisha hayana formula