Miaka 15 ya kifo cha Horace Kolimba

Miaka 15 ya kifo cha Horace Kolimba

Leo ni March 13, 2012 ambapo tarehe kama hii kuanzia mida kama hii, Horace Kolimba alifariki ghafla saa chache baada ya kuhojiwa na NEC ya CCM kuhusu matamshi yake kuwa "CCM imekosa dira".

Tunapokumbuka siku ya leo kihistoria, basi tukio hili la kifo cha Kolimba haliwezi kuepukwa na ni kazi yetu kuweka sawa historia kwa kuikumbushakumbusha usahihi wake kama hivi.

Idumu mitandao kama JF inayofanya tuweze kufanya hivi.
Na Nyerere alikuwa hai enzi hizo. Hamna kitu kinachekesha kama wapinzani Watanzania wanavyompamba Baba wa Taifa na demokrasia kama vile hiyo demokrasia ilikuwepo enzi za Nyerere.
 
Na Nyerere alikuwa hai enzi hizo. Hamna kitu kinachekesha kama wapinzani Watanzania wanavyompamba Baba wa Taifa na demokrasia kama vile hiyo demokrasia ilikuwepo enzi za Nyerere.
Nyerere hakuwa na cheo chochote wakati huo.
 
Natumai ni wazima wote.

Leo ninaomba nijuzwe, maradhi gani yaliyompata aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM (Chama Dola) komredi Horace Kolimba mpaka kufikia kupoteza maisha ghafla. Kuna wanaosema alipatwa na Malaria kali ya ghafla na kuna wanaosema alipatwa na taifodi, mchana ule akiwa Kizota, Dodoma kwenye utetezi.

Wote tunajua, Ukiwa kiongozi wa CCM hasa kwa nafasi ya Katibu Mkuu, ni mtu mzito sana katika nchi hii. Sasa ni takribani miaka zaidi ya 22, toka afariki dunia pale Dodoma, je ni maradhi gani yalikuwa yanamsumbua mpendwa wetu?
 
MaCCM yakitoana roho sijari. Ni kizazi cha shetani hao wote.
Magufuli kama itampendeza ale tu kichwa cha Bashiru abaki na Chakubanga.
 
Back
Top Bottom