Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 990
Na pia alikuwa ni victim wa maradhi ya kisasa
Marekebisho: ni muda mfupi baada ya kuhojiwa na Kamati Kuu yani Central Committee au CC na sio NEC kama ulivyoandika na alipata shinikizo la damu na sio kuuwawa.
Marekebisho: ni muda mfupi baada ya kuhojiwa na Kamati Kuu yani Central Committee au CC na sio NEC kama ulivyoandika na alipata shinikizo la damu na sio kuuwawa.
Mimi ndiye nimeleta post hii, nani kasema aliuawa????.