Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Wazanzibar mnapiga pesa za wajinga wa bara. Hongereni sn
Hata akili ya kung'amua kilichoandikwa,tabuKuna sehemu nimeitaja "Serikali ya Tanganyika"...??
Ungejipa shida kidogo kujua wa pili alikuta nini,hadi hela ya mishahara hakuna,akawaacha watanzania wafanye biashara,alipoona wameanza kuingiza kipato,akaanzisha TRA 1995Usisahau wa tatu alikuta kapu tupu akalijaza, wa tano naye alikuta kapu tupu. Si unawajua wanachojua kushinda vibarazani
Tufanye sensa ya dini kwenye ajira serikalini,tukikuta upogo tubalansi, unasemaje?Haha umeona jibu lako ulilonijibu mwenye thread ulianzishie uzi kabisa. We pray for Dkt Samia ila ahakikishe maslahi ya wapiga kura anayazingatia na siyo kuajiri wenye majina ya kiislamu kwenye taasisi za umma halafu wanaenda na majina ya kikristo huku wanaenda msikitini. Na hii campaign ya kuifanya Tanzania dola ya kiislamu na mbinu za kutokomeza Ukristo ni mbinu chafu inaweza leta shida huko mbeleni
Kulalamika ni sehemu ya utamaduni wa wabongo wengi.Mzanzibari anaweza kuwa Mkuu wa wilaya ndani ya ardhi ya Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa hata Mtendaji wa Kata huko Zanzibar,,
Mpemba anaweza kuchaguliwa akawa Diwani, Mbunge au Rais huku Bara,, ila wewe Mnyamwezi huwezi hata penya Kura ya Maoni huko Zanzibar...
Huo ung`amuzi niliufanya kabla ndo maana nikaandika "ardhi" nilijua "vilaza" kama nyie wadandia treni kwa mbele hamkosekani humu...Hata akili ya kung'amua kilichoandikwa,tabu
Akili huna,unapolalama wazenji kupata uteuzi bara na wabara kutopata teuzi smz,ni moja kwa moja unazungumzia serikali na si ardhiHuo ung`amuzi niliufanya kabla ndo maana nikaandika "ardhi" nilijua "vilaza" kama nyie wadandia treni kwa mbele hamkosekani humu...
Muungano uvunjweMzanzibari anaweza kuwa Mkuu wa wilaya ndani ya ardhi ya Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa hata Mtendaji wa Kata huko Zanzibar,,
Mpemba anaweza kuchaguliwa akawa Diwani, Mbunge au Rais huku Bara,, ila wewe Mnyamwezi huwezi hata penya Kura ya Maoni huko Zanzibar...
Pambana na hali yako..,, naona uko external service..Akili huna,unapolalama wazenji kupata uteuzi bara na wabara kutopata teuzi smz,ni moja kwa moja unazungumzia serikali na si ardhi
huyu ana furaha ya kupitiliza1964-1985 ni miaka mingapi au wazungumzia record gani
Mapema sana..Muungano uvunjwe
Au yule DG wa mamlaka ya mapato zanzibar ni mpareKulalamika ni sehemu ya utamaduni wa wabongo wengi.
Mbona Hussein Mwinyi na Baba yake ni wa Mkuranga na wamekuwa hadi maraisi Zanzibar?
Rais Ali Mwinyi aliongoza Zanzibar akiwa na asili gani?Mzanzibari anaweza kuwa Mkuu wa wilaya ndani ya ardhi ya Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa hata Mtendaji wa Kata huko Zanzibar,,
Mpemba anaweza kuchaguliwa akawa Diwani, Mbunge au Rais huku Bara,, ila wewe Mnyamwezi huwezi hata penya Kura ya Maoni huko Zanzibar...
Rais Ali Mwinyi aliongoza Zanzibar akiwa na asili gani?
Kulalamika ni sehemu ya utamaduni wa wabongo wengi.
Mbona Hussein Mwinyi na Baba yake ni wa Mkuranga na wamekuwa hadi maraisi Zanzibar?
Baba yake Ali Hassan alifia Mkuranga, aliyehamia Zanzibar ni Ali akiwa kijana mdogo na alipelekwa kwenda kusoma dini kule but opted to do teachers training, and the rest is history. Refer his Wikipedia Ali Hassan Mwinyi - Wikipedia
- Wewe unafahamu akina nani ndo wenyeji wa Zanzibar?
- Baba yake Ally Hassan Mwinyi alihamia lini Unguja?
Tatizo umekurupuka kujibu, soma uzi tena kwa umakini. Lol1964-1985 ni miaka mingapi au wazungumzia record gani
Na tatizo kubwa zaidi ni kanisa flani kujiona mtu (muamini) wao ndo mwenye haki ya kushika nafasi ya uCEO wa kampuni yetuHongereni, wagalatia wanakwama kwa sababu ya ubinafsi wa Kanisa. Wanaona ili waendelee kuila na kuitafuna nchi hii lazima Waccompromise na wavaa kobazi. Na wavaa kobazi wanajua kabisa akili za kuongoza hawana lakini lazima wapewe tu hijo hiyo.Ndiyo maana wakiongoza fulu kufuja mirathi. Matatizo ya Nchi hii mzizi ni ubinafsi wa Kanisa.
Baba yake Ali Hassan alifia Mkuranga, aliyehamia Zanzibar ni Ali akiwa kijana mdogo na alipelekwa kwenda kusoma dini kule but opted to do teachers training, and the rest is history. Refer his Wikipedia Ali Hassan Mwinyi - Wikipedia
Haibadilishi ukweli kuwa kwao ni Mkuranga, wala sio Zanzibar.
- Wewe unafahamu akina nani ndo wenyeji wa Zanzibar?
- Baba yake Ally Hassan Mwinyi alihamia lini Unguja?